Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Kwanini baregu safari marando mdee tundu lissu na mnyika hawafuatani na lowasa? hata mbatia naona kama analazimisha tu. It seems lowasa ana team yake tofauti na team ya chadema.
Haya ni mawazo yako tu. Huu ni wakati wa Kampeni ya ubunge ambayo kila mmoja yuko jimboni kwake. Ukizubaa kutangeneza miundo mbinu ya Ubunge wako, unaweza kushtukia umekatwa kidizaini fulani. Ndo maana hawapo.
 
Polisi wametanda MTO Nduruma kuzuia magari yenye Bendera za chadema na pikipiki zote zinazolekea KIA...

Hii inaonyesha namna gani Jeshi la polisi linavyotumika na ccm
 
Hawa jamaa wa Arusha hawafai kabisa.

Nadhan Mbeya tumewapiga bao sasa wanaogopa kuweka mahuzurio yao kwa picha.

This is shame.
 
Kwa sababu arusha hakunaga SMART PHONE ,CAMERA na UMEME ambao ungetumika kuchajia, tunawasamehe acha tuvumiliempaka taarifa ya habari ITV. Lakini kama vingekuwepo hivyo ningewatukana sana leo mfano: ningewaita mafal..a sana kwa kutuweka roho jujuu kwa kutunyima picha za matukio huko, ningewaita wapumbavu kwa kuanzisha uzi msio uweza ningewaambia ni heri msingeanzisha huu uzi, Lakini kwa sababu nilizotoa hapo juu siwezi kuwatukana.Thanks.
 
Kweli kabisa tunawategemea mvunje records zilizopita vinginevyo mtatuangusha sisi machaliiii
 
polisi waje pia tarehe 25 october wakati wa kupiga vema kwa mgombea wa chadema/ukawa wazuie
 
Shauri yao, Dar mpaka Mbeya hakuna hats MTU mmoja aliyepata hats mchubuko sasa wao wasianze na mambo yao.
 
ccm watashindana lakini hawatashinda na polisi ccm wao!
 
Back
Top Bottom