Then you are naive ikiwa unafikiri ufisadi unaondoka na hao walioondoka! Ufisadi huko emboded into the utteries of our system, you need to break it before it is treated. Hivi kweli unafikiri ufisadi mkubwa mkubwa uliolikumba hili taifa ulikuwa wa mtu mmoja mmoja...ingekuwa hivyo ungeshaisha zamani sana.To me that is positive na ndio mabadiliko tunayotaka. Maana ni wazi kuwa ufisadi ndiyo uliofikisha taifa ili hapa. CCM walitakiwa wauepuke kama chama zamani sana. ILA chadema kuukumbatia sasa hivi ndiyo mbaya zaidi. That is why we say ccm is becoming better without them in comprison to Chadema with them.
Acha mastory ya vitabu, talk of realities!
KANU ilifia mikononi mwa Arap Moi naiona CCM ikifia mikononi mwa Vasco da Gama.
Mkuu tupo wamoja kama Lowasa na watanzania
mwanza mkuu kwa kina ngosha the donKesho wapi??
ha ha ha!bora kutokuwa mshabiki wa mwanasiasa.watu wa kanda ya kaskazin kwa ujiko,hatar!mwaka huu lowasa akishndwa mtajinyonga..!
MUSOLLIN5@
Kijana umetuangusha sana, Hivi unajua mateso unayo tupa sie wa mikoani? kama kuna msaada unahitaji ungesema ili tupate hizo picha na update nyingine tafadhali
UKAWA.....ukawa....ukawa....ukawa.....kila kona ukawa,Magazetini ukawa,radioni...ukawa.....facebook....ukawa.....twiter...ukawa....ila kwenye sanduku la mpiga kura....ni... ccm...
Hamna lolote
UKAWA.....ukawa....ukawa....ukawa.....kila kona ukawa,Magazetini ukawa,radioni...ukawa.....facebook....ukawa.....twiter...ukawa....ila kwenye sanduku la mpiga kura....ni... ccm...