Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Dada anafunguka vibaya huko kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
===
Video: Mwananchi
===
Mwanasiasa Upendo Peneza anasema wakati anaingia CHADEMA kilikuwa chama cha kawaida kabla ya yeye kukisaidia kukua kwa kasi.
Pia soma: Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA
View attachment 2991345
===
Kama tunakwenda Tanga nilikuwa nauliza kama kuna nafasi kwenye gari. Ili kwenda kwenye hizo operesheni Sangara nafasi ya gari ilikuwa haikosekani. Nilikuwa nachukua pocket money ambayo nilikuwa napewa na wazazi wangu
Pia nilikuwa na marafiki ambao niliwaambia kuwa nimejiunga na siasa walikuwa wakinisapoti. Nilikuwa nikienda kwenye safari najilipia chumba cha kulala (hotel). Najihudumia kila kitu ili lengo nipate hiyo nafasi ya kushiriki na nafasi ya kuonekana.
Nilianza kupewa kazi ya kutangaza mkutano kwenye gari na kuita watu. Unaitwa watu waje kwenye mkutano lakini ukifika uwanjani hakuna watu na kipindi hicho CHADEMA ilikuwa haijakua kiasi hicho. Baadaye ndio Mwenyekiti anakuja na chopa na watu wanakuja kusikiliza ujumbe.
Mkuu Lusungo , naomba usiniumize ...
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
- Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
- Kwa wasio mfahamu, kumfahamu zaidi na anasimamia nini, karibuni mitaa hii
P
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!