Ulishamgegeda?Malaya ni malaya tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishamgegeda?Malaya ni malaya tu mkuu
Hahaa bado ila iko hivyo mkuuUlishamgegeda?
Kanasumbuliwa na UTI sugu ndiyo maana uso hauna nuru tenaHahaa bado ila iko hivyo mkuu
Mbona alizuia mikutano ya siasa alikua na mamlaka hayo?Asingeweza; hakuwa na mamlaka hayo. Teknik ya hayati JPM ya kuufuta upinzani ilikuwa ni utendaji kazi uliotukuka, uliokuwa unapelekea wapinzani wahame wenyewe kutoka upinzani kurudi CCM
Hapo unashangaa kipi mbona nimarudio ya kila siku kama waliondoka makatibu wakauu wa chama na chama kikabaki imara hadi leo nae atasahaulika na tunamshukuru kwa mchango wake alipokuwepoDada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Wakati akiwa muaminifu kwa Mbowe mbona hukuyasema hayo ya habari ya uraia wake?Wamuhoji na Uraia wake maana ni Mnyarwanda ..
Anafanya kila namna ili CCM imuamini impe nyadhifa kubwa baadae aitumike Rwanda kwa mgongo wa CCM..
upendo peneza
Lakini Hayari Mawazo alikuwa anakojolea pazuri aisee. Watu wa Sombetini Hatutakaa tumsahau hayati Mawazo. Aliupiga mwingi sana.Huyo ana frustrations nyingi tu. Arudi maisha plus.
Kwani kuchangia jengo kama hatua ya kustawisha chama au taasisi yako kuna shida ganiSwali LANGU ni kuwa,
Ikiwa hakupenda Utaratibu huo wa kuchangisha wabunge kiasi Fulani Cha pesa kubaki kuendesha chama,
Kwanini asipinge Utaratibu huo akiwa CHADEMA?
Naongelea point ya hypocrisy!!
Kama walinunua jengo la ofi Mikocheni hiyo ni nzuri walifunge rasmi kwa hafra.Mbowe yupo kibiashara zaidi. Ndio maana, hataki kuachia uenyekiti. Yupo hiari haya mambo ya CCM na ufisadi wao uendelee, huku yeye anaendelea na biashara yake ya ruzuku na wabunge.
Yaan akipata wabunge let say 100.Kila mbunge akatoa one million kwa mwezi, ni 100,000,000 kwa, mwezi. Kwa mwaka anapata 1.2 billion. Kwa five years anapata 6 billion. Kwann atoke kwenye uenyekiti??? Hapo bado ruzuku ya 2 billion.
Mbona CCM ipo miaka 60 sasa km ni muumini wa kubadilishana mambo ya siasa ni magumu sana. Chadema kiko kwenue wakati mgumu sana serikali ya ccm inawawinda kuwabomoa. Mabadiliko yoyote ni ku riskMimi sio kwamba sipendi Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa cdm, bali ni sitaki kabisa. Sina tatizo binafsi na Mbowe maana hatujuani kabisa. Mimi namjua kutokana na umaarufu na nafasi yake, lakini mimi hanijui hata kidogo.
Kimsingi kabisa Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa nafasi Moja kwa zaidi ya miaka Kumi, na sababu hasa ni kuwa kiongozi akikaa zaidi ya miaka 10 kwenye nafasi Moja anaweza kuharibu mazuri, ama kuongoza kwa mizengwe. Mifano halisi ya viongozi hao ninao. Na Mbowe anaangukia kwenye hali hiyo Sasa. Hivyo hili jambo kwangu kwa Mbowe sio personal, bali ni kwa afya ya Taasisi.
Pengine Peneza amelipwa aseme hivyo kwa manufaa ya kipropaganda..Peneza mwenyewe alishawahi kusema michango ya wabunge ndio imetumika kununua Hilo jengo la makao makuu. Nashangaa Leo anapodai hajui pesa zilienda wapi. Huyo anafustrations zake tu.
Peneza pesa zake kukatwa kuchangia jengo Yeye hakupendezwa,Kwani kuchangia jengo kama hatua ya kustawisha chama au taasisi yako kuna shida gani
Inaonekana hivyo kagonjwaKanasumbuliwa na UTI sugu ndiyo maana uso hauna nuru tena
Na muogope sana mtu wa namna hiyo.Hatuwezi kumlaumu wala kumshangaa, ni haki yake. Akiondoka CCM atawasema tu vile vile kama ambavyo anawasema CHADEMA sasa hivi.