Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unaweza ukawa na uchumi mzuri na bado ukawa huna kiasi. Kwake ameona kabisa kama huko cdm anakutana na mizengwe na Hana uwezo wa kupata cheo, ni bora ahamie ccm ambako anaweza kupewa cheo amalize kiu yake.
Ndio aende huko CCM aache kelele. Akina Slaa walienda huko , ila Leo wanarudi kwa mlango wa nyuma. CHADEMA ni taasisi, wewe ondoka wengine watakuja. Mtu umepewa ubunge viti maalumu ukapewa na kugombea ubunge ila maneno mengi mdomoni, unataka Nini?. Aende akawafuate akina Rachel mashishanga.
 
Mfumo dhaifu wa Chadema ,hauwezi kubeba watu smart, unahitaji mabadiliko makubwa
Haiwezekani mamia Kama sio maelfu ya wanasiasa smart na maarufu wote waliondoka Chadema wawe wasaliti au na matatizo Kama walivyozoea kuwaita

Bahati mbaya au nzuri hata kiongozi wa juu aliwahi kuonja maumivu ya kuitwa msaliti akiwa kwenye hiyo hiyo nafasi kitendo kilichopelekea akahutubia akiwa mlevi ili kujihami

 
Mtakabidhi chama kwa mwenyekiti design ya Mashinji au Heavy Bark na kukiuua.
Chama makini kina amini kwenye mfumo sio watu
It means Mfumo wa Chama ukiwa imara utaamua pia standard ya viongozi wake
Wakiwa chini ya kiwango unawatema
 
Hakuna mtu amesema Nakupinga au nakuunga mkono kwa suala la Mwenyekiti kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi.
Hoja zako za leo hazihusuani na uongozi wa zaidi ya miaka kumi Bali zimejikita kuonesha kuwa CHADEMA kuna huo ubadhirifu,na Mbowe ndiye anayeufanya.
Unaonesha chuki na Mbowe binafsi ma siyo chuki na uongozi wa Mbowe.
By the way,hakuna mtu mwenye akili na anayejiita mwanademokrasia anaweza kukubaliana na kiongozi wa kisiasa kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi.
Hilo nakuunga mkono,lakini hili la kumchukia Mbowe binafsi na kushadadia uzushi mtandaoni ni ushenzi.
Mkuu ni rahisi kabisa, taasisi yoyote ikituhumiwa, kiongozi mkuu ndio mlengwa namba moja, kama anakaa madarakani muda mrefu kuliko kawaida, anakwepaje kuhusishwa na huo ubadhirifu? Ama ulitaka huo unadhirifu tumuhusishe Heche?
 
Hoja ya msingi ni kueleza sera za chama chake kipya na kukisaidia kiendelee kushika dola.
Kutukana au kusema vibaya alikotoka ni Dalili ya kulazimisha kukubalika ugenini,Aache porojo apige kazi Samia atamuona na atampa anacho kitaka,mambo ya CHADEMA atuachie wanachama wa CHADEMA.
Halafu uache unafki we ni mbaba mtu mzima.
naona kama akili zake haziko sawa.
ni kama hana mwanaume wa ku giji yaani ukimuona tu usoni unagundua mapungufu
 
Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Hiki ndiyo nini jamani? Siyo lazima kila mtu aanzishe thread hata kama hana data au hana uwezo wa kufafanua jambo likaeleweka.

Umekuwa na muda wa kutosha, basi ungejipa muda wa kukusanya taarifa za hicho kipindi ili ukamilishe thread kwa hoja hii uliyoitaka.

Vinginevyo ni kama kumchonganisha Upendo na Chadema kwa kuleta hapa tuhuma bila ya ushahidi wa hizo tuhuma zenyewe.

Ova
 
Me sijaona kufunguka kwake..

Naona alikuwa anajikanyaga tu kuwasema akina Mbowe na CDM kwa ujumla.

Kanishangaza sana, mpaka Sam Sasali kashindwa Kudonoa na Kudadisi kwa sababu yake lakini wapi anajizungusha tu na maneno yake ya "Umenielewa nyigi".

Cha kumwambia tu, Siasa ni kama kuoa mwanamke. Hakuna Ke asiye na kasoro..

Huko CCM alipo siyo salama kuna umafia kushinda hata huko CDM.

Naweza sema Dada kayabanangaaaaa
 
Mkuu ni rahisi kabisa, taasisi yoyote ikituhumiwa, kiongozi mkuu ndio mlengwa namba moja, kama anakaa madarakani muda mrefu kuliko kawaida, anakwepaje kuhusishwa na huo ubadhirifu? Ama ulitaka huo unadhirifu tumuhusishe Heche?
I rest my case hapa,una uhakika CHADEMA kuna ubadhirifu?mbo
CAG Amesema mara ngapi kuwa CHADEMA kuna ubadhirifu?
Je TAKUKURU Hawajawahi chunguza hayo madai yako ya ubadhirifu,walikuja na majibu gani?
You are too personal bro.
Unajua wewe kwanini unamchukia Mbowe binafsi,maana siyo kwa suala unalolisema la ubadhirifu.
 
Back
Top Bottom