Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema,alitumia mapenzi yake kwa chamaKwa ufupi tu kwa kumskia upendo aliliwa mnooooooo NYUCHI na makamanda
Nikanyumbu tu,sema chadema ilikapaisha sanayule dogo ni nyumbu jike
Naona unachanganya chuki na misimamo yangu. Tafuta popote ninapomtukana Mbowe, hadi useme nikiona anatukanwa napata faraja. Suala la Mimi kutokubaliana na kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10 ni la principle zaidi. Kwenye hili sihitaji support ya yoyote, au kukubalika kwa yoyote.We jamaa una chuki sana na Mbowe sijui alikufanya nini.
Wewe ni miongoni mwa wanachadema wachache wanaofurahia Mbowe akitukanwa hadharani kwa tuhuma ambazo hazijawahi thibitishwa.
Unadhani kwa kufanya hivyo ndiyo utaonekana objective humu Jamii Forum.
Acha hizo.
Wafuatilie vizuri hao viongozi, aidha wanaharibu mazuri yao, ama wanatawala kwa mizengwe. Hata hivyo hiki ninachoamini sio lazima kiwe sahihi 100%, lakini kwa kiwango kikubwa ni hivyo.Una maoni gani kuhusu rais wa sasa wa Uturuki, wa China na wa Urusi ?
Katafute mjinga wa hivyo, ama unadhani hatukuona kipi kulikuwa kinaendelea kwenye ile hadaa ya kuunga mkono juhudi?Asingeweza; hakuwa na mamlaka hayo. Teknik ya hayati JPM ya kuufuta upinzani ilikuwa ni utendaji kazi uliotukuka, uliokuwa unapelekea wapinzani wahame wenyewe kutoka upinzani kurudi CCM
Kwani ametukana wapi? Au kwakuwa kusema ukweli huko ccm kunachukuliwa kama matusi? Naona unalazimisha dhana zako kufit inn kwenye mahojiano ya Upendo.CHADEMA wavumilie kwasababu wao ndo wamemfundisha huyo Peneza matusi. CHADEMA ni chama kikuu cha matusi. Acha Peneza awape dawa.
Haya mambo ni ya kizamani mno. Haya mambo ya kutoka chama A na kukishambilia baada ya kutoka yalikuwa yanashangiliwa wakati wa ile miaka ya akina Mkapa. Mimi mtu hawezi kukaa kwenye chama kwa muda mrefu tu halafu atoke aanze kusema ubaya wa chama wakati muda wote alikuwa huko.Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Kwanini Mbowe anakutumia sana kuliko sisi wewe chama, huoni uo ni ujuha, Mbowe washikilie hapo hapo,Mbowe yupo kibiashara zaidi. Ndio maana, hataki kuachia uenyekiti. Yupo hiari haya mambo ya CCM na ufisadi wao uendelee, huku yeye anaendelea na biashara yake ya ruzuku na wabunge.
Yaan akipata wabunge let say 100.Kila mbunge akatoa one million kwa mwezi, ni 100,000,000 kwa, mwezi. Kwa mwaka anapata 1.2 billion. Kwa five years anapata 6 billion. Kwann atoke kwenye uenyekiti??? Hapo bado ruzuku ya 2 billion.
Hongera unajitambuaAlichoongea Peneza ni upuuzi mtupu. Kwa mfano kasema kuwa alikuwa mdogo na CHADEMA walikuwa hawampi nafasi ya kwenda naye kwenye mikutano ya operesheni Sangara ila akawa anafosi hadi kwenda huko kwa kujilipia mwenyewe. Kimsingi unaona hapo CHADEMA hawakuwa na kosa kubebabana na binti mdogo kwenye harakati zao ambaye anatakiwa awe chini ya uangalizi wa wazazi. Peneza anadhihirisha tabia yake mbovu aliyokuwa nayo kwa muda mrefu. Mimi ni mwanaCCM damu ila Peneza hana maadili kabisa.
Hapa sasa.Hawezi kuwa anaongea ya uongo yote. Suala la Mbowe na kina Mdee amesema kweli.
Uzi umeenda mbali huu, kuna post yangu humu humu nimeweka alichosema kuhusu hilo. Ila anaonyesha shaka ya dhahiri kuhusu Mbowe na Mdee Hadi kufikia kualikana binafsi kwenye sherehe, na michango madhabahuni. Kikubwa ni mwenendo wa cdm kwenye kesi ya hao COVID 19.Hapa sasa.
Ningejuwa kaongea nini juu ya hili, nadharia yangu ingekamilika kabisa. Kwa bahati mbaya sipo karibu na 'CLOUDS' kwa sasa.
Ungetoa mstari mmoja tu, alichosema juu ya hili, ingesaidia sana mkuu 'Tindo'.
Mbowe alishafanya makubwa sana ndani ya CHADEMA, ambayo yangempa heshima kubwa katika historia ya chama hicho na Tanzania kwa ujumla.
Kuendelea kung'ang'ania kuwa kiongozi wakati huu, kutamwondolea sifa zote, na huenda akakiua chama chenyewe.
Kwani macho yako hayawezi kuona mbali zaidi ya ncha ya pua yako? CCM inahangaika sana wakati huu.Mambo ya kizamani hayo🐼
Nautafuta "mchango huo."Uzi umeenda mbali huu, kuna post yangu humu humu nimeweka alichosema kuhusu hilo. Ila anaonyesha shaka ya dhahiri kuhusu Mbowe na Mdee Hadi kufikia kualikana binafsi kwenye sherehe, na michango madhabahuni. Kikubwa ni mwenendo wa cdm kwenye kesi ya hao COVID 19.
Aangalie hasira zisije zikamuharibia future yake. Sijamsikiliza kwa kweli ila sijui kama alishawahi kuuliza kwenye vikao vyao kwa kuwa nae alikuwa kiongozi mkubwa tu. Au kwa sababu alkkuwa ndani aliogopa kutingisha ndevu za boss.Amesema kuhusu pesa walizokuwa wanachangishwa wao kama wabunge, hawafahamu zimetumika kufanya Nini. Na ni kweli hizi pesa zimekuwa zikitolewa porojo. Huyu Upendo kwakuwa ana hasira ataongea mengi ya hasira, lakini humo ndani tutapata ukweli.
Ameongea nini cha maana? Mbowe hana time naye hata kdgDada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
UWT acheni kununua watu, mpk nyie wenyewe mnaona aibuMambo ya kizamani hayo🐼