Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TUNDU LISSU ATOA USHAHIDI WA FEDHA CHAFU MBELE YA KAMATI KUU

Leo Tar 11 Kikao Cha Kamati Kuu Kimeketi na Kujadili maswala mbalimbali, Moja ya Agenda Muhimu ilikua ni Swala la Fedha Chafu ambalo liliibuliwa na Makamu Mwenyekiti Bara Mh Tundu Lissu akiwa Iringa wiki iliyopita alipofanya Mkutano wa Hadhara.

Katika Taarifa yake Mbele ya Kamati Kuu, Mh Lissu amedai Alikutanishwa na Abdul Mtoto w Rais kwa Usaidizi wa Mh Wenje Nyumbani kwake Dar Es Salaam. Na Katika Mazungumzo yake ambayo yalirekodiwa alidai amekwenda Kujitambulisha kwake. Pili anataka kudumisha Mahusiano yake kama Mtanzania kwa kuwa anaamini katika Amani na mshikamano. Hatamani uhasama na Mh Tundu. Baada ya Mazungumzo yote alidai ana shukrani kwake ya Kukubali kuongea nae, akasema anaomba kumkabidhi kiasi cha Fedha ambazo Mh Lissu hajataja Kiwango chake. Mh Lissu akahoji kwa nini apewe Peke yake? Mbona tuko wengi? Kwa nini Mimi peke yangu? Ndio Abdul mtoto wa Rais akadai kuwa wenzako tuko nao karibu, tayari mara kadhaa tumezungumza na kuna kiasi wamekubali kupokea na wanapokuwa na Changamoto tunawasiliana. Mh Lissu mbele ya Kamati Kuu akawataja Wajumbe wa Kamati Kuu Watatu akiwemo Wenje Ambae ndio alifanikisha Mpango wa Kukutana na Abduli Nyumbani kwake Tegeta Kujipatia Shilingi Milioni Mia Moja, Mh Heche Ambae alijipatia Shilingi Milion Mia Moja na Hamsini, Mh Peter Msigwa Ambae alijipatia Shilingi Milion Mia Moja, Pia Mh Joseph Mbilinyi ambae kiwango chake hakijatajwa na Mh Lissu. Ushahidi wote wa Mazungumzo yake na Abdul Mh Lissu ameutunza katika Flash Disk ambayo amedai ataikabidhi Kamati Kuu ya Chama.

Katikati ya Mjadala, Mh Peter Msigwa amedai kuwa yeye alipokea kweli na kuambiwa pia Hata Mwenyekiti wa Chama Mh Freeman Mbowe alipokea fedha Kutoka Serikalini bila kutaja ni kiwango gani.

Pia Team ya Usalama wa Chama Chini ya Shetani ilitoa Taarifa Mbele ya Kamati Kuu Kuonesha Mihamala ya Peter Msigwa ambayo imethibitisha uwepo wa Fedha Kutoka Kwa Vigogo Serikalini.

Lissu hana Rafiki kwenye Mambo asiyoyaamini
Lissu ni msaliti kwa wala rushwa wenzake. Wamfukuze CHADEMA
 
Amesema kuhusu pesa walizokuwa wanachangishwa wao kama wabunge, hawafahamu zimetumika kufanya Nini. Na ni kweli hizi pesa zimekuwa zikitolewa porojo. Huyu Upendo kwakuwa ana hasira ataongea mengi ya hasira, lakini humo ndani tutapata ukweli.
Aache uongo. Hajui zinaenda wapi?. Aongee ukweli huyo Malaya wa kisiasa.
 
Hili shtaka mbona Mwikabe Waitara aliliibua akiwa TAMISEMI nakumbuka TAKUKURU walichunguza ila wakaona hakuna ufujaji wa pesa. Same to CAG alifanya forensic audit kwa CHADEMA hiyo 2020 mbona hakupata ushahidi? Hivi JPM alivyochukia upinzani angegundua ufisadi si angekifuta chama kabisa!!
Hata Mimi nimeshangaa mbona hili lilishafanyiwa upepelelezi likapita. Leo ndio linaibuliwa Tena.
 
Hao wapo kwenye project ,kukikaribia uchaguzi ,kamati ya propaganda ya "sisiemu" inarecruit "makalai" aka ng'ombe wasio na mkia kwa ajili ya kuichafua CDM....Nashangaa hadi Marcosy nae ameingia kwenye mtego ,tatizo ukiwa na biashara ukawa mpinzani lazima watakufirisi nahisi Dr Marcosy kaogopa biashara yake ya Maji JIBU kufa.
Mkuu tuna uwezo wa kujua ukweli ni upi, na propaganda ni zipi.
 
..Upendo Peneza na Petrobas Katambi waligombea Uenyekiti wa Bavicha. Sasa hivi wote wamehamia Ccm.

..Huyu Dada kama hakuridhika na Chadema kwanini hakuhamia chama kingine cha upinzani?

..Mimi simuelewi anapojiunga na chama alichokipinga kwa muda mrefu, na chenye watu waliomdhalilisha kijinsia.
Huyo dada amefanya ujinga Sana. CHADEMA kilimpa viti maalumu na 2020 wakampitisha kugombea ubunge Geita Mjini almanusra ashinde , chama kikamsupport. Leo kageuka chama anakipiga mateke. Akumbuke Slaa alichofanya na Leo anataka kurudi kwenye chama.
 
Tangu zamani nilisema huyo mtoto ni malaya watu walinibeza...huyo akina Nusrat walikua good for nothing!!
Malaya wa Siasa au Malaya wa Ngono?

Kama ni Siasa, hiyo ni kawaida kabisa kwa wanasiasa wa Afrika hasa Tanzania ndio washika bendera ya umalaya wa kisiasa. Inafahamika.

Na hata umalaya wa kingono, kwani sio kweli kwamba ndio hitaji moja wapo la wanasiasa (wanachama na viongozi wao)? Au ni uzushi tu?

Wengine watakwambia ni usalama wa Taifa alikuwepo kwa sababu maalum.

TZ Polifixes.
 
Sahihi, yeye anasema hizo fedha 1.5 kwa wabunge wa viti maalum, na lako tano kwa Kila mbunge wa jimbo walizokuwa wanachangishwa zikafika 5b+, waliambiwa zitatumika kuwezesha wagombea wakati wa uchaguzi wa 2020. Lakini hawakuziona wakati wa uchaguzi ule. Na maelezo yake hayanyooki.
Ulitaka aseme zimetumika vizuri?. Lazima aongee negative ili apewe ukuu wa wilaya. Maana kachoka Sana.
 
Mkuu achana na Takukuru, hiyo sio taasisi unayoitegemea kufanya lolote la weledi
We jamaa una chuki sana na Mbowe sijui alikufanya nini.
Wewe ni miongoni mwa wanachadema wachache wanaofurahia Mbowe akitukanwa hadharani kwa tuhuma ambazo hazijawahi thibitishwa.
Unadhani kwa kufanya hivyo ndiyo utaonekana objective humu Jamii Forum.
Acha hizo.
 
Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Vipi kuhusu kuambatana na yule mheshimiwa wakati wa ziara za mheshimiwa kanda ya ziwa wakati ule? Mbona hazielezei? Angefunguka pia kuhusu alichokuwa amekubaliana na yule mheshimiwa wa serikali na chama tawala
 
Ni kweli mkuu, lakini haipunguzi ukweli wa baadhi ya ayasemayo.
Ukweli upi?. Ulitegemea aongee tofauti na hayo?. Lazima aikande CHADEMA.
Ni kweli, alipoulizwa kuhusu kuhamia ccm aliishia kutoa majibu ya kujiumauma na sifa zile zile za kichawa. Hakuna uwezekano wa yeye kuiponda ccm hadharani akiwa ndani ya ccm, kama ambavyo hajawahi kuiponda cdm hadharani akiwa ndani ya cdm. Kwa Sasa lazima aongee lugha itakayompa nafasi ndani ya ccm. Na sisi humo humo ndio tunaokota ya kweli.
Hakuna ukweli wowote. Ana frustrations zake zinamsumbua.
 
Kila alieondoka Chadema anamsingizia Mbowe !!!!
Najua uchaguzi uakaribia hivo watu lazma wajikombe wapate nafasi
 
Hakuna uwezekano wa yeye kusema ukweli akiwa ndani ya cdm. Lakini hiyo haiondoi ukweli sasa kuwa Kuna baadhi ameongea ya kweli. Ni juu ya cdm kama taasisi kufanyia kazi mapungufu aliyosema, Ili cdm iwe taasisi bora zaidi.
Mbona Lissu kakisema chama hadharani kuwa Kuna wagombea wamepewa pesa na mama Abdul?. Na mbona tumemuunga mkono kwa hiyo kauli. Huyo Peneza aliahidiwa cheo Sasa muda unaenda haoni kitu, ndio maana anapiga kelele wamsikie.
 
Back
Top Bottom