900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
mkakati wa chama chakavuHuwezi kualika mtu mmoja kuongelea wengine wakati hao wanaoongelewa hujawaalika waweze kujitetea. Hiyo ni nia ovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkakati wa chama chakavuHuwezi kualika mtu mmoja kuongelea wengine wakati hao wanaoongelewa hujawaalika waweze kujitetea. Hiyo ni nia ovu.
Dada anafanya siasa za kindezi sana hiziDada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Nani CDM?Hapo ndipo tunakosea. Yaan CDM mnaona ni chama cha malaika. Hamtaki iguswe kabisa. Ikiguswa tu, anayegusa anatukanwa. Tukienda hivyo hatutafika.
Wakati wa mgogoro na Zitto Kabwe nilifika pale ufipa Kinondoni, nikashuhudia Dr Slaa anamtukana matusi ya nguoni jamaa mmoja ambaye alikuwa mhasibu, kwa madai kwamba anapeleka Siri kwa Zitto.Wakati huo Dr Slaa akiwa katibu mkuu wa chama.
Aikuchukua muda yule jamaa akapigwa sumu, kwenye kilevi. Lakin akapona kwa bahati. Na akakimbia, mbali na CDM. CDM sio malaika, wana mfumo wa sumu kama CCM, hauachi glass ya maji ukaenda msalani.
Mkakati mkuu, hajaitwa kufanya hiyo interview kwa bahati mbaya.Unamaana Siasa cha kuchumia Tumbo?
Alishindwa vipi kujibu kidiplomasia kwamba asingependa kuzungumzia CHADEMA na maswali yajikite kwenye mambo ya CCM kwa sasa? Wanasiasa wote makini hujikita kuongelea mambo ya vyama vyao na hata kama ni vijembe huwezi kukuta anatamka waziwazi jina la chama kingine. Peneza bado ana akili za kinyumbu.Mkuu huyo dada alikuwa kwenye kipindi, na alikuwa anajibu anachoulizwa. Hata hayo ya ccm kaulizwa, na alijibu katika mfumo uleule wa uchawa Ili apate maisha.
yule dogo ni nyumbu jikeAlishindwa vipi kujibu kidiplomasia kwamba asingependa kuzungumzia CHADEMA na maswali yajikite kwenye mambo ya CCM kwa sasa? Wanasiasa wote makini hujikita kuongelea mambo ya vyama vyao na hata kama ni vijembe huwezi kukuta anatamka waziwazi jina la chama kingine. Peneza bado ana akili za kinyumbu.
Najua wewe hapendi Mbowe aeendelee kuwa mwenyekiti wa Chadema. Mbali na hilo , una tatizo lingine binafsi na mh mbowe ?Hawezi kuwa anaongea ya uongo yote. Suala la Mbowe na kina Mdee amesema kweli.
Tindo ana chuki binafsi na mh mbowe, sijui aliwahi kufanywa nini na huyo mzee.Hili shtaka mbona Mwikabe Waitara aliliibua akiwa TAMISEMI nakumbuka TAKUKURU walichunguza ila wakaona hakuna ufujaji wa pesa. Same to CAG alifanya forensic audit kwa CHADEMA hiyo 2020 mbona hakupata ushahidi? Hivi JPM alivyochukia upinzani angegundua ufisadi si angekifuta chama kabisa!!
PJapo mimi sio shabiki wa CDM ila msaliti ni msaliti tu hupaswi kuaminiwa na yoyote
Wewe jamaa umelishwa bangi ya wapi. Yaani mtu akiongea kitu kuhusu mtu usiyemkubali basi automatically kinakuwa cha kweli. Inawezekana na wewe ndio wale wale wa Da Mange kasema.Ni kweli mkuu, lakini haipunguzi ukweli wa baadhi ya ayasemayo.
Ulichukua hatua zipi kutafuta haki ya huyo aliyewekewa sumu ? Zaidi ya kubwabwaja na ku publish taarifa za uongo mtandaoni.Hapo ndipo tunakosea. Yaan CDM mnaona ni chama cha malaika. Hamtaki iguswe kabisa. Ikiguswa tu, anayegusa anatukanwa. Tukienda hivyo hatutafika.
Wakati wa mgogoro na Zitto Kabwe nilifika pale ufipa Kinondoni, nikashuhudia Dr Slaa anamtukana matusi ya nguoni jamaa mmoja ambaye alikuwa mhasibu, kwa madai kwamba anapeleka Siri kwa Zitto.Wakati huo Dr Slaa akiwa katibu mkuu wa chama.
Aikuchukua muda yule jamaa akapigwa sumu, kwenye kilevi. Lakin akapona kwa bahati. Na akakimbia, mbali na CDM. CDM sio malaika, wana mfumo wa sumu kama CCM, hauachi glass ya maji ukaenda msalani.
Kwani TAKUKURU, hawawashughulikii ?CHADEMA WALA RUSHWA KUMBE HIVI JAMANI HAKUNA CHAMA CHA UPINZANI TANZANIA
Kwamba inawezekanaje akina Mdee wamsifie sana mwenyekiti wao kuhusu wao kuwepo bungeni? Cha kushangaza Hadi Mbowe ameonekana na Mdee wakigonga cheers kwenye sherehe fulani. Isitoshe Mbowe kafikia mahali pa kuwaalika akina Mdee kwenye harambee ya kanisa huko kwao Machame. Pia namna kesi ya kina Mdee inavyoendeshwa huko mahakamani ni kama cdm haiko serious na kesi hiyo.Amelisemaje?
Kuiponda cdm hadharani ni nguzo kuu ya kupata cheo ghafla ndani ya ccm. Na cheo kinasogea haraka sana iwapo Kuna ukweli Fulani utaongea ambao utaibeba ccm, au kuharibu haiba ya cdm.Alishindwa vipi kujibu kidiplomasia kwamba asingependa kuzungumzia CHADEMA na maswali yajikite kwenye mambo ya CCM kwa sasa? Wanasiasa wote makini hujikita kuongelea mambo ya vyama vyao na hata kama ni vijembe huwezi kukuta anatamka waziwazi jina la chama kingine. Peneza bado ana akili za kinyumbu.
Mimi sio kwamba sipendi Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa cdm, bali ni sitaki kabisa. Sina tatizo binafsi na Mbowe maana hatujuani kabisa. Mimi namjua kutokana na umaarufu na nafasi yake, lakini mimi hanijui hata kidogo.Najua wewe hapendi Mbowe aeendelee kuwa mwenyekiti wa Chadema. Mbali na hilo , una tatizo lingine binafsi na mh mbowe ?
Mwambieni Mbowe aanzishe radio yakeClouds ni tawi la CCM wamemleta mtu wao kumhoji