Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba Zittow na huyo Peneza Wana tofauti Gani?
Weka swali lako vizuri, maana kama ni tofauti ziko nyingi, mmoja ni me na mwingine ni ke. Tofauti kwenye nini hasa?
 
Huwezi kualika mtu mmoja kuongelea wengine wakati hao wanaoongelewa hujawaalika waweze kujitetea. Hiyo ni nia ovu.
Umeongea jambo jema sana. Huwezi kutoa shutuma kwenye media bila kuwapa nafasi ya kujibu unaowatuhumu.

Hawa Clouds wajitafakari na huu ndio umekuwa utaratibu wao, ingawa sijawahi kusikia wakifanya hivyo kwa watu wa serikali na CCM.
 
Kwa nini hakusema haya hadhara ni wakati akiwa CHADEMA?
Huu ni unafiki pro max
Hakuna uwezekano wa yeye kusema ukweli akiwa ndani ya cdm. Lakini hiyo haiondoi ukweli sasa kuwa Kuna baadhi ameongea ya kweli. Ni juu ya cdm kama taasisi kufanyia kazi mapungufu aliyosema, Ili cdm iwe taasisi bora zaidi.
 
Weka swali lako vizuri, maana kama ni tofauti ziko nyingi, mmoja ni me na mwingine ni ke. Tofauti kwenye nini hasa?
Swali LANGU ni kuwa,

Ikiwa hakupenda Utaratibu huo wa kuchangisha wabunge kiasi Fulani Cha pesa kubaki kuendesha chama,

Kwanini asipinge Utaratibu huo akiwa CHADEMA?

Naongelea point ya hypocrisy!!
 
Ni kweli Chadema kule kukua Ni juhudi binafsi ya Upendo Peneza Hilo halina ubishi
 
Umeongea jambo jema sana. Huwezi kutoa shutuma kwenye media bila kuwapa nafasi ya kujibu unaowatuhumu.

Hawa Clouds wajitafakari na huu ndio umekuwa utaratibu wao, ingawa sijawahi kusikia wakifanya hivyo kwa watu wa serikali na CCM.
Nadhani haikuwa mdahalo Bali alialikwa yeye kwenye kipindi. Hata watu wa cdm tumekuwa tukiwaona wakialikwa bila uwepo wa watu wa vyama vingine. Hiyo Redio ipo, mwanacdm yoyote aliyeona upotoshaji anaweza kwenda na kuweka rekodi sawa.
 
Swali LANGU ni kuwa,

Ikiwa hakupenda Utaratibu huo wa kuchangisha wabunge kiasi Fulani Cha pesa kubaki kuendesha chama,

Kwanini asipinge Utaratibu huo akiwa CHADEMA?

Naongelea point ya hypocrisy!!
Huo ndio utaratibu wa chama ambao alipaswa kuufuata. Na anasema hakuwa na tatizo na kutoa hiyo pesa, bali matumizi hayakuendana na malengo.
 
Political prostitution ,hamna jipya hapo anajua mwaka wa nne huu mwakani uchaguzi na mpaka anaongea hivyo kashapata bwana mwingine (chama)
Ni haki yake kisiasa, tufanyie kazi ukweli aliosema.
 
Huo ndio utaratibu wa chama ambao alipaswa kuufuata. Na anasema hakuwa na tatizo na kutoa hiyo pesa, bali matumizi hayakuendana na malengo.
Ndio nasemaje,

Huo Utaratibu ikiwa hakupendezwa nao,na matumizi hakuyapenda,

Kwann hakuhoji ndani ya chama au aitishe mkutano au press kama Lissu Ili aseme Kweli kama Lissu alivyokemea Rushwa?
 
Upendo Peneza angejikita kueneza itikadi ya chama chake kipya. Anachokifanya ndo kinasababisha vijana wasiaminike na mwishi wa siku watu kama kina Mzee Wasira kuendelea kupeta. Asichokijua ni kuwa CCM hasa ya sasa haiteui kabisa wahamiaji hovyohovyo. Mfano mzuri ni Suphian Juma. Hadi leo anatapatapa. Lakini siwezi kudharau POWER OF PUSSY kwahiyi huenda akalamba teuzi.
 
Ndio nasemaje,

Huo Utaratibu ikiwa hakupendezwa nao,

Kwann hakuhoji ndani ya chama au aitishe mkutano au press kama Lissu Ili aseme Kweli kama Lissu alivyokemea Rushwa?
Mkuu Nini huelewi hapo, kasema hakuwa na tatizo na utaratibu wa kuchangia chama, bali pesa haikutumika kwa mujibu wa malengo. Kama ni kuhoji utajuaje kama alihoji huko vikaoni na hakukuwa na maelezo sahihi?
 
Back
Top Bottom