Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo tunakosea. Yaan CDM mnaona ni chama cha malaika. Hamtaki iguswe kabisa. Ikiguswa tu, anayegusa anatukanwa. Tukienda hivyo hatutafika.Malaya ni malaya tu mkuu
Dada kaliwa masikini, 😭😭Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Amelisemaje?Hawezi kuwa anaongea ya uongo yote. Suala la Mbowe na kina Mdee amesema kweli.
Mkuu huyo dada alikuwa kwenye kipindi, na alikuwa anajibu anachoulizwa. Hata hayo ya ccm kaulizwa, na alijibu katika mfumo uleule wa uchawa Ili apate maisha.Upendo Peneza angejikita kueneza itikadi ya chama chake kipya. Anachokifanya ndo kinasababisha vijana wasiaminike na mwishi wa siku watu kama kina Mzee Wasira kuendelea kupeta. Asichokijua ni kuwa CCM hasa ya sasa haiteui kabisa wahamiaji hovyohovyo. Mfano mzuri ni Suphian Juma. Hadi leo anatapatapa. Lakini siwezi kudharau POWER OF PUSSY kwahiyi huenda akalamba teuzi.
Unamaana Siasa cha kuchumia Tumbo?Hatuwezi kumlaumu wala kumshangaa, ni haki yake. Akiondoka CCM atawasema tu vile vile kama ambavyo anawasema CHADEMA sasa hivi.
Mkuu Nini huelewi hapo, kasema hakuwa na tatizo na utaratibu wa kuchangia chama, bali pesa haikutumika kwa mujibu wa malengo. Kama ni kuhoji utajuaje kama alihoji huko vikaoni na hakukuwa na maelezo sahihi?
Mbowe yupo kibiashara zaidi. Ndio maana, hataki kuachia uenyekiti. Yupo hiari haya mambo ya CCM na ufisadi wao uendelee, huku yeye anaendelea na biashara yake ya ruzuku na wabunge.Mkuu Nini huelewi hapo, kasema hakuwa na tatizo na utaratibu wa kuchangia chama, bali pesa haikutumika kwa mujibu wa malengo. Kama ni kuhoji utajuaje kama alihoji huko vikaoni na hakukuwa na maelezo sahihi?
Atasuguliw sanaaaaaAkapate wapi zaidi ya magoli
mademu bhana utakuta anataka ku-mblock mvulana ila kila akikumbuka alishamdinya dah anapata hasira sanaDada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Nimewahi kuona mara kadhaa ukinukuu vifungu vya sheria. Hii inanitengenezea picha kuwa angalau unatambua kuhusu haki ya asili ya kusikilizwa.Nadhani haikuwa mdahalo Bali alialikwa yeye kwenye kipindi. Hata watu wa cdm tumekuwa tukiwaona wakialikwa bila uwepo wa watu wa vyama vingine. Hiyo Redio ipo, mwanacdm yoyote aliyeona upotoshaji anaweza kwenda na kuweka rekodi sawa.
penyeza upendoWamuhoji na Uraia wake maana ni Mnyarwanda ..
Anafanya kila namna ili CCM imuamini impe nyadhifa kubwa baadae aitumike Rwanda kwa mgongo wa CCM..
upendo peneza
Mpaka atumike kwanza na mabazazi wa ccmHawaja mpa hata kacheo jamani huko
Ova
Inabidi apambane sana apate kacheo huko ccm 😄Hizo ndio siasa za bongo!
Mimi nawaogopa wanasiasa mkorogo chini kijani juu pipooozi!Inabidi apambane sana apate kacheo huko ccm 😄
Kazi kweli kweli
Ova
Nimemskiliza sana ,anaongea kwa hasira na jaziba.Mwanasiasa Upendo Peneza anasema wakati anaingia Chadema kilikuwa chama cha kawaida kabla ya yeye kukisaidia kukua kwa kasi.
View attachment 2991345