Kama tunakwenda Tanga nilikuwa nauliza kama kuna nafasi kwenye gari. Ili kwenda kwenye hizo operesheni Sangara nafasi ya gari ilikuwa haikosekani. Nilikuwa nachukua pocket money ambayo nilikuwa napewa na wazazi wangu
Pia nilikuwa na marafiki ambao niliwaambia kuwa nimejiunga na siasa walikuwa wakinisapoti. Nilikuwa nikienda kwenye safari najilipia chumba cha kulala (hotel). Najihudumia kila kitu ili lengo nipate hiyo nafasi ya kushiriki na nafasi ya kuonekana.
Nilianza kupewa kazi ya kutangaza mkutano kwenye gari na kuita watu. Unaitwa watu waje kwenye mkutano lakini ukifika uwanjani hakuna watu na kipindi hicho CHADEMA ilikuwa haijakua kiasi hicho. Baadaye ndio Mwenyekiti anakuja na chopa na watu wanakuja kusikiliza ujumbe.
Nimesema hili jambo ni mubashara. Mwenye nafasi anaweza kusikiliza, asiye na nafasi halazimishwi. Sio jambo la Siri utake nikuletee kinachojadiliwa huko ndani. Acha kupanick, unasema huna nafasi ya kusikiliza ila uko jf unajadili!
Nimesema hili jambo ni mubashara. Mwenye nafasi anaweza kusikiliza, asiye na nafasi halazimishwi. Sio jambo la Siri utake nikuletee kinachojadiliwa huko ndani. Acha kupanick, unasema huna nafasi ya kusikiliza ila uko jf unajadili!
Umesema LIVE, basi let updates za nini anaongea. Nyuzi zingine hazina content, unataka tujadili nini kama hakuna chochote unachotujulisha kuhusu hayo mahojiano.?