Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Aje na yazamani itapendezaNaunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje na yazamani itapendezaNaunga mkono hoja
Alikuwa ana tafuta allowance kufukia mashimo ya kijiweni.Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Chawa wa lumumba Lucas mwashambwa amekusonya balaa🤣🤣Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Kaamsha nini?Makonda mzee wa amshaamsha
Ova
🤣Chawa wa lumumba Lucas mwashambwa amekusonya balaa🤣🤣
Anatunga Sheria ya kuteka?Usione Kobe kainama!
Nadhan issue ya Hanang ndo imemziba ikabidi amwachie airtime mkuu wake.Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Hiyo ni Roho ya Mauti. Inatakiwa aombewe.Bashite ni yuleyule
Hata akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar hakuna project aliyoianzisha akafanikiwa kuimaliza
Maboya hao achana nao!Akitulia mnasema...akikiamsha mnasema
🤣🤣🤣
Msemo wa kwenye mikokoteni huo.INAMA UPATE.Yawezekana Kobe kainama ...Anatunga sheria [emoji41]
Ova
Wacha niachane nao.Maboya hao achana nao!
yule alishafutwa na gwajiboyTatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Maigizo yake yalikuwa na maono kimo cha mbilikimoTatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
yule alishafutwa na gwajiboy
Naunga mkono hoja