Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Kwan Kuna shida gani? Si tulishacheza nao hao na beki hizi hizi mnazozidharau na tukawafunga?Vipi kuhusu team unazopambana nazo Champions League mkuu
Msijidanganye kuwa Yanga wana beki Bora, wakicheza kimataifa ndiyo mtaona kipigo mtakachokutana nacho.