Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh... Mkuu Mbogi, yaani nyie watu wa kitengo mmetapakaa hadi humu, yaani kumbe unayomatokeo!. Nimepata pressure nimeshindwa kuendelea....Nilidhani wewe ni Mzalendo kumbe kweli wewe ni msaka fursa, na hapa nahisi umeamua kuonesha uhalisia wa sura yako baada ya kunusa kuwa like jambo lako limeshabutuliwa.