ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,984
- 360
Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.