Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

ACCOUNT FULL

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
1,984
Reaction score
360
Habari Wakuu!

Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.

Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?

Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.

Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.

Naomba kuwakilisha.
 
Habari Wakuu!

Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.

Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?

Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.

Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.

Naomba kuwakilisha.
Mimi hua sipigi honi nashuka mwenyewe kwenda kufungua geti japo hii inaubaya wake mtu anaweza ingia kwa gari akaondoka nalo...nawaza Tu. Anyways nachukia horn Sana. Mi hua sipigagi honi kishamba. Dah watu washajua nna gari, hizi mada zingine bhana inabidi tukae kimya. Sema hamjajua Nina gar Aina gani mhaya mie, maana si kila gari ni gari
 
Tatizo sio kama mtu ana gari au hana...mimi nazungumzia huo utaratibu wa wengi ulivyo, binafsi sipigi honi nikiwa nje ya geti, siwezi kuleta usumbufu kwa majirani sababu naingia kwangu.
Mkuu ulitaka wafanyeje? Kuna mambo huwezi yaepuka. Utaumia tu. Unayafanya maisha yako yawe magumu. Kama honi tu inataka kukutoa roho, makubwa je?
 
Mimi hua sipigi honi nashuka mwenyewe kwenda kufungua geti japo hii inaubaya wake mtu anaweza ingia kwa gari akaondoka nalo...nawaza Tu. Anyways nachukia horn Sana. Mi hua sipigagi honi kishamba. Dah watu washajua nna gari, hizi mada zingine bhana inabidi tukae kimya. Sema hamjajua Nina gar Aina gani mhaya mie, maana si kila gari ni gari
Ahahah...mkuu lengo sio kujua nani ana gari nani hana....wengine hata wakirudi na usafiri wa kulipia mfano Uber nk, honi zipo pale pale
 
Mkuu ulitaka wafanyeje? Kuna mambo huwezi yaepuka. Utaumia tu. Unayafanya maisha yako yawe magumu. Kama honi tu inataka kukutoa roho, makubwa je?
Mkuu nadhani hujakutana na mtu anayepiga honi mfululizo kama anataka kugonga mtu kumbe anaingia ndani kwake!!
 
Mimi hua sipigi honi nashuka mwenyewe kwenda kufungua geti japo hii inaubaya wake mtu anaweza ingia kwa gari akaondoka nalo...nawaza Tu. Anyways nachukia horn Sana. Mi hua sipigagi honi kishamba. Dah watu washajua nna gari, hizi mada zingine bhana inabidi tukae kimya. Sema hamjajua Nina gar Aina gani mhaya mie, maana si kila gari ni gari
Kwani watu wanakujua!?. Jirani yangu anapigiaga honi watoto mpaka wafungue ndio anaacha.
 
Kero nyingine ni school bus ahsubuhi saa 11 zinapiga honi sana kwenye point zinapowachukulia watoto
Hizi mkuu ni kesi nyingine....hawa sasa dereva naona huwa hawanaga chaguo lingine, honi zitapigwa kwa dakika kadhaa, kabla dereva hajaamua kuondoka.
 
Kwani watu wanakujua!?. Jirani yangu anapigiaga honi watoto mpaka wafungue ndio anaacha.
Aisee...sasa uzungukwe na majirani watatu tu wa hivi, hapa upo ndani kwako lakini unajua fulani ndio anarudi sasa hivi.
 
Habari Wakuu!

Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.

Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?

Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.

Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.

Naomba kuwakilisha.
Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
 
Back
Top Bottom