Upinzani ndani ya Kanisa Katoliki - Maaskofu wapinga kauli ya Papa, Poland, Kenya na Malawi wapinga

Sasa ndio wamehalalisha sasa!!

Hivi unajua hai wenye hizo tuhuma walipaswa kuondolewa shirikani !?matokeo take mkawaatamia Kwa mbinu Ili kulinda siri za kanisa zisivuje!!?

Hakuna siri kwenye dhambi!!
 
Lazima wasemwe, eti "kanisa takatifu katoliki la mitume " Leo hii linasema tubariki wapenzi wa jinsia moja ni UPUMBAVU wa kiwango cha lami
Shida yao kubwa ni kumpa mamlaka makubwa sana Pope. Anainuliwa juu sana kuliko hata Yesu Kristo mwenyewe. Pathetic! Wanapaswa wabadili mfumo wao wa utawala kwa kumpunguzia madaraka.
 
Papa Fransisko/Pope Francis ni mliberali, mwanachama wa Jesuit Society. Ilikuwa ni suala la muda tu angeleta kizazaa ndani ya Kanisa Katoliki kwa wahafidhina kindakindaki. Huu upinzani ndani ya kanisa hilo ni shughuli pevu unaweza kuligawa kanisa hilo kubwa Duniani
 
Hivi ukatoliki ni papa? ( hapo nimesita kidogo kumuita baba mtakatifu, sijui kama Ina maana Moja na papa) lakini wakati mwingine naamini haya yote yanaweza kuwa yanatokea kwa ajili ya ya kulijenga na kuriimarisha kanisa, kwenye msafara wa mamba na kenge yumo. Ukute shetani alitumia huo mwanya kuchomeka kenge wake
 
lipapa linapenda utelezii lipigwe tuu
View attachment 2851045
Wanatumiwa na shetani hawa , kanisa hili ndilo lilianzisha imani ya yesu ni mungu, baada ya yesu na mitume wake kufa. Hata wanajitenga nalo wanaondoka na fundisho hilo,potofu. Sasa wameleta imani ya ulawiti na ufirwaji ndani ya kanisa la kristo. Apigwe tu. Kristo atamkataa siku ile
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=LxYak1FQj6s
 
Acha lipasuke vipande vipande wapatikane wakwenda kwa yesu na kwa shetani, wakatoliki sijui wanataka ushahidi gani tena, hapo walipo ni kwa shetani huo ndio ukweli hata wanune poa tu
 
Kwahiyo waendelee na maagizo ya Papa, kwako ndio bora , wewe nina wasiwasi utakuwa mfuasi chama cha mashoga
 
Mwishon
"Kam yes angalikuwepo angewabariki hao LGBT"

JIBU NI NO
WHY. NO
Nyakat zake mashog walikuwepo haku wabark, na hilo agano la kale limepnga ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…