Upinzani ndani ya Kanisa Katoliki - Maaskofu wapinga kauli ya Papa, Poland, Kenya na Malawi wapinga

Upinzani ndani ya Kanisa Katoliki - Maaskofu wapinga kauli ya Papa, Poland, Kenya na Malawi wapinga

Naona upo nje ya mada mkuu. Ulawiti na ubakaji wa Mapadri ni changamoto za mtu binafsi sawa na Shehe au Ostadhi kubaka na kulawiti watoto Madrassa. Hakuhusini na uislam ila ni kwa mtu binafsi na hivyo ulawiti wa Mapadri hauhusiani na Kanisa wala sio justification ya kuruhusu ushoga Kanisani.

Hilo la Ushoga, litaenda leta mpasuko huko Roman na kuinua wana matengenezo wengine kama akina Luther. Kwa Umri wangu wa kuishi duniani na wa kutumika kwangu kanisani na wa kumjua kwangu Mungu, hakuna kitu kisicho na sababu chini ya jua hilo limeachwa hadharani ili lilete matengenezo mapya ndani ya Catholic. Sisi Waprotestant yetu macho mkuu.
Sasa ndio wamehalalisha sasa!!

Hivi unajua hai wenye hizo tuhuma walipaswa kuondolewa shirikani !?matokeo take mkawaatamia Kwa mbinu Ili kulinda siri za kanisa zisivuje!!?

Hakuna siri kwenye dhambi!!
 
Lazima wasemwe, eti "kanisa takatifu katoliki la mitume " Leo hii linasema tubariki wapenzi wa jinsia moja ni UPUMBAVU wa kiwango cha lami
Shida yao kubwa ni kumpa mamlaka makubwa sana Pope. Anainuliwa juu sana kuliko hata Yesu Kristo mwenyewe. Pathetic! Wanapaswa wabadili mfumo wao wa utawala kwa kumpunguzia madaraka.
 
Papa Fransisko/Pope Francis ni mliberali, mwanachama wa Jesuit Society. Ilikuwa ni suala la muda tu angeleta kizazaa ndani ya Kanisa Katoliki kwa wahafidhina kindakindaki. Huu upinzani ndani ya kanisa hilo ni shughuli pevu unaweza kuligawa kanisa hilo kubwa Duniani
 
Hivi ukatoliki ni papa? ( hapo nimesita kidogo kumuita baba mtakatifu, sijui kama Ina maana Moja na papa) lakini wakati mwingine naamini haya yote yanaweza kuwa yanatokea kwa ajili ya ya kulijenga na kuriimarisha kanisa, kwenye msafara wa mamba na kenge yumo. Ukute shetani alitumia huo mwanya kuchomeka kenge wake
 
lipapa linapenda utelezii lipigwe tuu
FB_IMG_1703333586514.jpg
 
lipapa linapenda utelezii lipigwe tuu
View attachment 2851045
Wanatumiwa na shetani hawa , kanisa hili ndilo lilianzisha imani ya yesu ni mungu, baada ya yesu na mitume wake kufa. Hata wanajitenga nalo wanaondoka na fundisho hilo,potofu. Sasa wameleta imani ya ulawiti na ufirwaji ndani ya kanisa la kristo. Apigwe tu. Kristo atamkataa siku ile
 
Baraza la maaskofu nchini Poland limekataa kutoa baraka kwa wapenzi wa jinsia moja. Hatua hii inaifanya Poland, Kenya na Malawi kuwa nchi zilizopinga agizo la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki.

SIJASIKIA kauli ya TEC, je, wanaunga mkono kubariki wapenzi wa jinsia moja au la? Au tuwaache kwanza wanashughulikia mkataba wa bandari?

Kama Baba Mtakatifu (kama mnavyomuita) anaruhusu baraka kwa wapenzi wa jinsia moja je, ana sifa za kuendelea kuitwa Mtakatifu?

Je, Yesu angekuwepo duniani zama hizi angewabariki na kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja?

Wote Mnakaribishwa.

View: https://www.youtube.com/watch?v=LxYak1FQj6s
 
Baraza la maaskofu nchini Poland limekataa kutoa baraka kwa wapenzi wa jinsia moja. Hatua hii inaifanya Poland, Kenya na Malawi kuwa nchi zilizopinga agizo la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki.

SIJASIKIA kauli ya TEC, je, wanaunga mkono kubariki wapenzi wa jinsia moja au la? Au tuwaache kwanza wanashughulikia mkataba wa bandari?

Kama Baba Mtakatifu (kama mnavyomuita) anaruhusu baraka kwa wapenzi wa jinsia moja je, ana sifa za kuendelea kuitwa Mtakatifu?

Je, Yesu angekuwepo duniani zama hizi angewabariki na kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja?

Wote Mnakaribishwa.
Acha lipasuke vipande vipande wapatikane wakwenda kwa yesu na kwa shetani, wakatoliki sijui wanataka ushahidi gani tena, hapo walipo ni kwa shetani huo ndio ukweli hata wanune poa tu
 
Hujakatazwa kuwa na dini yako mkuu. Endelea nayo tu na pia endeleeni na utamaduni wenu wa kuvaa magome ya miti na kunya kwenye mapori huku mkitawazia magunzi ya mahindi na kusugua makalio kwenye mchanga.😀😃😄😁😆

Ungejua hiyo mizimu ya Kiafrika ilivyotufanya usingetamani turudi huko. Ile mizimu ya kichaga kule kikafu imetuletea shida sana kwenye Familia za wachaga wengi.
Kwahiyo waendelee na maagizo ya Papa, kwako ndio bora , wewe nina wasiwasi utakuwa mfuasi chama cha mashoga
 
Baraza la maaskofu nchini Poland limekataa kutoa baraka kwa wapenzi wa jinsia moja. Hatua hii inaifanya Poland, Kenya na Malawi kuwa nchi zilizopinga agizo la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki.

SIJASIKIA kauli ya TEC, je, wanaunga mkono kubariki wapenzi wa jinsia moja au la? Au tuwaache kwanza wanashughulikia mkataba wa bandari?

Kama Baba Mtakatifu (kama mnavyomuita) anaruhusu baraka kwa wapenzi wa jinsia moja je, ana sifa za kuendelea kuitwa Mtakatifu?

Je, Yesu angekuwepo duniani zama hizi angewabariki na kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja?

Wote Mnakaribishwa.
Mwishon
"Kam yes angalikuwepo angewabariki hao LGBT"

JIBU NI NO
WHY. NO
Nyakat zake mashog walikuwepo haku wabark, na hilo agano la kale limepnga ushoga
 
Back
Top Bottom