Mkuu unapaswa kuwa tofaut kidogo maana kuna wakat hata wewe huandika vitu kama hivi ukipeleka upande wa pili
[/QUOTE
mimi nishasema niko chadema , sasa muulize huyo mnafiki yuko chama gani ? msikilize atakachokujibu
Succession Plan ya CCM ndio ile ya kusukumizia watu uongozi? Au kwenda kwenye mkutano na majina mfukoni?
You are loosing my brother
Muonee huruma paskali, amelazimishwa aandike kuhusu chadema, huenda kuna kabahasha, sijaona akiandika kuhusu mchakato wa hovyo uchaguzi hewa wa S/mitaa.
Pascal Mayalla maswali yako ni vigumu kupata majibu. Majibu mengi utakayokutana nayo ni kama hili la huyu mchangiaji. Ni ushabiki unaokolezwa na uelewa finyu ndiyo unafanya watu wajibu hivi. Hawajua kuwa japo CCM inaweza kuwa inafanya makosa hayahaya lakini kwa vile imeshika dola haiathiriki. Sasa hawa wenzangu wao dola hawana halafu wanataka wafanye kama CCM inavyofanya. Ni majanga!Benard Membe atarusiwa kuchukua fomu 2020 kugombea nafasi ya Urais?
Watu wa mbowe na myopiakajishebedua wee kasahau hapa,
Membe ataruhusiwa kuchukua fomu 2020?
hau nafasi ya mwenyekiti wa fisiem ni ya kisultani?
Hili nalo ni jibu linawafanya wapinzani waendelee kudumaa. Kama unangojea kitu kinachoitwa ''mazingira sawa ya kisiasa'' kutoka kwenye utalawa wa CCM basi andika utasubiri mpaka kiama. Ukweli ni kwamba hata kama ingekuwa Chadema ndiyo iko madarakani isingefanya ''kosa'' la kujimaliza kama hilo. Kazi ya kuweka mazingira sawa inatakiwa ifanywe na wapinzani na siyo CCM! Hata Mbowe analijua hili ndiyo maana hawezi kuweka mazingira ya kugombea uenyekiti yawe sawa katika chama anachoongoza! Wewe enedelea kujidanganya.Ikiwa vyama vya upinzani vina matatizo kama unavyotaka kutuaminisha, Jiwe anaogopa nini kuweka mazingira sawa ya kisiasa nchini? Kila siku ni kukamata, kutishia, kuteka, kupiga, kununua, kunyanyasa wapinzani wake......! Ajaribu kuruhusu mazingira sawa ya kisiasa aone!
Alipo saivikwa tiketi ya chama gani!
Kwa hiyo unatuambia kwamba mbadala wa CCM bado hamna??Vyama havina succession plan kwa sababu wanajifunza kutoka ccm, vyama havina demokrasia kwa sababu ccm haina demokrasia ndani yake.
Haya ni matatizo yaliyetwa na ccm.
wenye uelewa mpana zaidi tunajua kuwa chama chetu CCM ndicho chenye matatizo makubwa zaidi kwani bila ya kutumia dola na intimidating politics hakiwezi kusimama chenyewe kama chama.Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
- Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
- Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
- Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
- Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
- Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
- Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
- Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
- Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
- Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
- Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
Natanguliza shukrani.
Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.
Paskali
uenyekiti wa chama taifa au uraisi?Alipo saivi
Huu ujinga upo tz pekee! Mtu anakupa ushauri wa jinsi ya kutoka hapo ulipo wewe unaleta ngonjera eti mbona kule kuko hivi.kajishebedua wee kasahau hapa,
Membe ataruhusiwa kuchukua fomu 2020?
hau nafasi ya mwenyekiti wa fisiem ni ya kisultani?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Upinzani ni wa kijinga sana.Kubadilibadili mwisho unalikwaa pandikizi kutoka ccm halafu linaua chama kama walivyokiua chama cha CUF.
Chama changu unakijua wewe Nyumbu? Mimi sio mwanachama wa chama chochote ila ni mwana mapinduzi na ningependa kuona mageuzi chanya kwenye vyama vyote vya siasa. Wakati mwingine huwa ninasikitika jinsi baadhi ya watu walivyoshikwa akili hata wakati mwingine hawawezi kufikiria nje ya box.Sina hakika kama una akili timamu!
Hivi mtu kama waitara mnaweza kumpa uongozi wa juu ktk chama chako?
Tumeshastuka hatutorudia tena 😁😁😁[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Upinzani ni wa kijinga sana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Upinzani ni wa kijinga sana.