kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Ukweli mchungu. Sie tunaona CHADEMA Kama chama Cha siasa, mbowe anaona CHADEMA Kama chama Cha siasa na biashara.... Kumbuka pale Kuna mamilioni ya ruzuku Toka serikalini achilia mbali misaada ya wazungu na michango ya wanachama.. mbowe ni mfanya biashara lakini pia mbowe ni 'mchaga' zingatieni hilo