Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nitaggMleta mada una uhakika Magu hakuwa mkuu wa wahuni wote wa serikalini na CCM?
Swali rahisi, ni kwanini Magu aliamua kwa hali na mali hao wahuni wasiguswe wala kufuatiliwa chochote?
Aliye taka kumuua Lissu yeye ndiye kaanza kufa.Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Sabaya kasema alitumwa na Magu kufanya uhalifu.Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Magufuli hakuwahi kuwa na mtandao...hiyo ni sifa ya kutobeba wahuni!Mleta mada una uhakika Magu hakuwa mkuu wa wahuni wote wa serikalini na CCM?
Swali rahisi, ni kwanini Magu aliamua kwa hali na mali hao wahuni wasiguswe wala kufuatiliwa chochote?
Una uhakika yupo motoniMagufli huyuhuyu ambaye baada ya lisu kipigwa risasi alisema ukiwa unalima ukikutana na nyoka unamkata kichwa unaendelea kulima.
Magufuli huyu huyu ambaye alikataza watu kwenda kumtembelea list
Magufuli huyuhuyu alieyetoa maelekezo lisu avuliwe ubunge wake.
LiMagu lilikuwa shetani na liuuaji likubwa wacha liendelee kuungua huko motoni lilipo.
Jamaa liliharibu sana hii nchi kwa kutumia wapumbavu kama mfungwa sabaya
Mungu kesha mfix aliye taka kumuua Lissu.inawezekana ni wahuni wale wale!
Kwa matendo maovu aliyofanya nauhakika kabisa yupo motoniUna uhakika yupo motoni