Upo uwezekano kuwa Lissu alipigwa risasi na wahuni ili Magufuli achafuke

Upo uwezekano kuwa Lissu alipigwa risasi na wahuni ili Magufuli achafuke

Waiteni FBI na CIA wawape msaada kama nyie mmeshindwa
Hao FBI na CIA wameshindwa kuchunguza yaliyotokea kwenye Capitol Riot wataweza ya Tanzania? Wapambane na hali zao.
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Watu wa magufuli mnateseka sasa hivi
 
Matendo ya Ole Sabaya alipokuwa Dc wa Hai na hatimae kufungwa kwake miaka 30 kunathibitisha bila wasiwasi wowote kuwa Magufuli ndio alikuwa Mkuu wa Wahuni.

Na Sabaya alisema hadharani kuwa alikuwa anatumwa na Magufuli.
 
..basi Magufuli ndio sponsor wa wahuni.

..Magufuli na serikali hawawezi kukwepa lawama za kuondoa walinzi area D siku ambayo Lissu alishambuliwa.
Weka ushahidi, kama huna nyamaza.
 
Hao FBI na CIA wameshindwa kuchunguza yaliyotokea kwenye Capitol Riot wataweza ya Tanzania? Wapambane na hali zao.

..at least Magufuli angewaruhusu FBI waje wachunguze, halafu wakiri kushindwa kuwabaini wahusika.

..kuondoa walinzi wa serikali area D. kukataa uchunguzi. Kumnyima matibabu. Kumchafua ktk vyombo vya habari. Kumvua ubunge. Mambo yote hayo yanaashiria kwamba serikali ya Magufuli inahusika.
 
Acha kutetea ujinga wewe boya magufuli kwa kauli yake alitamka siku moja kabla Lisu kushambuliwa kuwa anapaswa kuuwawa. Haya maupuuzi mnayoyatetea yanawashusha thamani mnaonekana watu wa hovyo.pumbavuu.
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Mungu hadhihakiwi ipo siku mtatajana tu.
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Mtasema yote, muda ni mwalimu mzuri!
 
Magufuli hakuwahi kuwa na mtandao...hiyo ni sifa ya kutobeba wahuni!
Magufuli alitumbua na kunyoosha wahuni wote ndani na nje ya chama.
Sabaya alitumwa na magufuli kuvamia maduka ya watu na kuchukua fedha unalijua hilo wewe mlamba viatu wa lumumba?
 
Mleta mada una uhakika Magu hakuwa mkuu wa wahuni wote wa serikalini na CCM?

Swali rahisi, ni kwanini Magu aliamua kwa hali na mali hao wahuni wasiguswe wala kufuatiliwa chochote?
Nilikimbilia kuusoma huu uzi. Lakini baada ya kumsoma aliyeuleta......mmmmmmmmm.. Nikajiaumu kwa kupoteza muda!
 
..at least Magufuli angewaruhusu FBI waje wachunguze, halafu wakiri kushindwa kuwabaini wahusika.

..kuondoa walinzi wa serikali area D. kukataa uchunguzi. Kumnyima matibabu. Kumchafua ktk vyombo vya habari. Kumvua ubunge. Mambo yote hayo yanaashiria kwamba serikali ya Magufuli inahusika.
Wacha pumba mkuu upo hapa kitambo, sasa huo ndio ushahidi? Tanzania at 60 years bado mnategemea wadhungu? We need to grow up, there is no free lunch.
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.

Lissu Alipigwa Risasi Na Wahuni Walio Kuwa Wana Fadhiliwa Na Jiwe
 
Back
Top Bottom