Upo uwezekano kuwa Lissu alipigwa risasi na wahuni ili Magufuli achafuke

Upo uwezekano kuwa Lissu alipigwa risasi na wahuni ili Magufuli achafuke

Kumtenganisha Jiwe na tukio la kupigwa risasi Lissu ni sawa na kutenganisha USHUZI NA UHARO
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Sawa mbona mpaka leo hao wahuni hawajakamatwa?
Aliyeunga mkono juhudi za chizi amemuingiza mtu lichupa makalioni huko. Habari hii pia uisambaze
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Siyo wahuni sema CHADEMA
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Kama ni Wahuni kwa nini Jeshi la Polisi halijafungua Jalada Ushiriki wa Mwendazake ndio unawapa Polisi kigugumizi cha Kufungua jalada.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana na mshangao.
Wahuni gani hao wasiofahamika mpaka leo ?
 
Back
Top Bottom