heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Alichokua anafanya magu Ni hasira Ila kwa kijasusi mtu ulietaka auwawe lazima auwawe kwa gharama yoyote Kama ameshakugundua,Ila kwa hili magu alichafuliwa na ilikua kipindi anasimamia sakata la madiniMagufli huyuhuyu ambaye baada ya lisu kipigwa risasi alisema ukiwa unalima ukikutana na nyoka unamkata kichwa unaendelea kulima.
Magufuli huyu huyu ambaye alikataza watu kwenda kumtembelea list
Magufuli huyuhuyu alieyetoa maelekezo lisu avuliwe ubunge wake.
LiMagu lilikuwa shetani na liuuaji likubwa wacha liendelee kuungua huko motoni lilipo.
Jamaa liliharibu sana hii nchi kwa kutumia wapumbavu kama mfungwa sabaya