Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hallelujah!
Mimi ni mkristo, siandiki hapa kwa lengo la kuufedhehesha Ukristo hapana.
Natamani turudi kwenye Ukristo ule ambao sifa tu inatosha kuleta uponyaji wa kimwili na kuleta bubujiko la kiroho tofauti na sasa sifa ipo tu kama desturi.
Mtu ametoka kuzini jana leo anashika mike kuongoza ibada na wala hakutani na mkono wa Mungu.
Kanisa linabidi liwe 🔥, kiasi kwamba mtu hata kama alifanya dhambi Dar es salaam akifika kanisa la Mbeya hawezi kujificha kwa namna yoyote.
Kiini cha ulaghai ni nini?
Kiini cha ulaghai kilitokea pale viongozi wa makanisa kuanza kuficha sehemu ya changizo (sadaka), tabia ikakomaa baadaye kanisa likahalalisha kuwa sadaka ni Mali ya kiongozi, kwamba yeye ana mamlaka juu ya sadaka zote.
Tabia ikakomaa zaidi wengine wakaanza kutafuta pesa na mali mifukoni kwa waumini.
Kanisa la mitume waliishi hivi 👇👇
Matendo ya Mitume 2:44-45
Leo mchungaji atatoa fedha za matibabu kwa muumini wa karibu sana na hata hivyo atahesabu yeye ndiye katoa fedha.
Atasimulia kila mahali kuwa anasaidia watu wenye shiida huku fedha ni sadaka za waumini. Kama muumini hujulikani utakufa kisa umekosa elfu 40 tu ya matibabu huku account ya sadaka ambayo mchungaji anaiita account yake ina milioni 300 .
Mungu hadhihakiwi, hawa walanguzi wa kiimani wote makazi yao ni kwenye ziwa la moto.
Mimi ni mkristo, siandiki hapa kwa lengo la kuufedhehesha Ukristo hapana.
Natamani turudi kwenye Ukristo ule ambao sifa tu inatosha kuleta uponyaji wa kimwili na kuleta bubujiko la kiroho tofauti na sasa sifa ipo tu kama desturi.
Mtu ametoka kuzini jana leo anashika mike kuongoza ibada na wala hakutani na mkono wa Mungu.
Kanisa linabidi liwe 🔥, kiasi kwamba mtu hata kama alifanya dhambi Dar es salaam akifika kanisa la Mbeya hawezi kujificha kwa namna yoyote.
Kiini cha ulaghai ni nini?
Kiini cha ulaghai kilitokea pale viongozi wa makanisa kuanza kuficha sehemu ya changizo (sadaka), tabia ikakomaa baadaye kanisa likahalalisha kuwa sadaka ni Mali ya kiongozi, kwamba yeye ana mamlaka juu ya sadaka zote.
Tabia ikakomaa zaidi wengine wakaanza kutafuta pesa na mali mifukoni kwa waumini.
Kanisa la mitume waliishi hivi 👇👇
Matendo ya Mitume 2:44-45
Leo mchungaji atatoa fedha za matibabu kwa muumini wa karibu sana na hata hivyo atahesabu yeye ndiye katoa fedha.
Atasimulia kila mahali kuwa anasaidia watu wenye shiida huku fedha ni sadaka za waumini. Kama muumini hujulikani utakufa kisa umekosa elfu 40 tu ya matibabu huku account ya sadaka ambayo mchungaji anaiita account yake ina milioni 300 .
Mungu hadhihakiwi, hawa walanguzi wa kiimani wote makazi yao ni kwenye ziwa la moto.