SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
😴Alaf kuna kitu umenisanua kaka, inakuaje kutongoza inakuwa shida kupata mwanamke siku hizi inanifanya natafuta madada poa tu, natongoza sana wanawake wa mitaani siwapati wananipotezea.
Naona najitia mikosi, kuna kipindi nlikuwa kwenye maombi na kutumia tiba ya chumvi ya mawe mikosi ilipungua mpaka nikajikuta nimefanikiwa kwenye jambo adhim la kuendesha maisha yangu na kuweza kujitegemea mwenyewe.
Sasa naona nimezidi katika uraibu wa kupenda ngono kupita kiasi.
Hili lazma nilitafakari kuna roho chafu inanitembelea sio siri.
Akili yako bado Sana🤒🤔😂Mbona ushirikina tena
Thanks for the compliment, ila I mean no malice ni story ya siku nyingine 🤒Ujumbe mzuri Sana
Tupatie sababu ya kwanini unajiita " i mean no Malice to nobody"
Na kubeti je ??Sijawahi kuwa na addiction ya kitu/jambo lolote
Kweli Kaka, hata kupenda penda hovyo ni uraibu🤒Uraibu ni janga
Namshukuru Mungu uraibu wa kamari nimeshauacha japo haikuwa rahisiKweli Kaka, hata kupenda penda hovyo ni uraibu🤒
Na uraibu wa kujichua, Ina bidi uache🤔🤒Namshukuru Mungu uraibu wa kamari nimeshauacha japo haikuwa rahisi
Kaka sina izo nilishapita huko mda sana saivi nna uraibu wa kutafuta hela.Na uraibu wa kujichua, Ina bidi uache🤔🤒
Thanks for the compliment, na njia sahihi ni kuacha vile vitu vibaya mtu anavyo vihusuduSahihi kabisa, hongera kwa uzi mzuri. Watu wengi waliofanikiwa katika jambo fulani wana kitu in common, wengi wana uwezo wakusema "no" na "yatosha".
Kama kijana una uraibu wa kitu chochote, safari ya mafanikio umeshapishana nayo.
Za ndani Zina sema una uraibu wa kujuchubua😂😂, ndo Mana nusu albino🤒Kaka sina izo nilishapita huko mda sana saivi nna uraibu wa kutafuta hela.
😂 bado mpaka mseme na za nje.Za ndani Zina sema una uraibu wa kujuchubua😂😂, ndo Mana nusu albino🤒
Mtu gani nusu albino😂😂😂 bado mpaka mseme na za nje.
Kuna vitu viko Kiroho zaidi...omba msaada wa Kiroho utasaidikaMie nna uraibu wakupenda ngono, natokaje kwenye hali hii yaani sitosheki kila mda natamani mwanamke na nikimpata nitatafuta na mwengine sitosheki yaani
Aisee mwamba kaacha😂😂