Urais wa Tanzania hautafutwi kwa nguvu ya pesa wala upendeleo

Urais wa Tanzania hautafutwi kwa nguvu ya pesa wala upendeleo

..sanduku la kura linaheshimwa kulingana ns matakwa ya Mwenyekiti.

..Kilichotokea 2015 ni kwamba Mwenyekiti alimpinga zaidi Lowassa, kuliko alivyokuwa na interest kwa Membe.
Wewe ni mwanademokrasia,

Usibebwe na hizi dhana za Urais wa kurithishana.

Wananchi ndiyo asili ya uongozi wa juu wa Nchi.

Wapo ambao Huwa wanafanya tafiti Kwa maslah ya nchi.

Ndo hao waliona Magu anafaa kutuvusha.

Hizo zingine ni story tu.

KIKWETE hakumsaliti Lowassa!!
 
Rais Mkapa ndiye aliyelipa madeni yote ya mikopo ya watangulizi na hakukopa hata mia.

Na alikabidhi hazina ikiwa na Mzigo wa kutosha.

Endeleeni kuutafuta Urais kama mtaupata😀😀
Makamba jr, majaliwa, madelu sikia hii 👆
 
Salaam, Shalom!!

Tangu uhuru, wote walioutamani Urais, Urais uliwakimbia. Kwa kadri unavyozidi kuutamani Urais wa Nchi hii ambayo Nyerere alikuwa mwasisi wa mifumo ya uongozi na utawala, Kwa spidi hiyo hiyo ya kuutafuta, utateleza mikononi mwako usiamini kilichotokea.

1. Rais Mwinyi, hakuwahi kuutafuta Urais, Urais ulimtafuta.

2. Rais Mkapa hakujulikana, Wala hakuwahi kuutafuta Urais, Urais Ulimtafuta.

3. Rais KIKWETE hakutumia pesa kuusaka Urais, Urais ulimtafuta.

4. Kadhalika, Rais Magufuli pia hakuwahi kuota ndoto za Urais na kuzianika hadharani, Urais ulimtafuta Hadi Chato.

Hizi kelele za kuwa Marehemu Lowassa alisalitiwa na Rais KIKWETE ni unafiki tu, Urais hautafutwi Kwa pesa, na Urais haugaiwi kiurafiki Wala kindugu kwamba ukimaliza kula niachie nami zamu yangu!!


Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Amen
Ngapi hukooo🤓
 
Ndo nakwambia,

Pesa za Lowassa hazikumpa KIKWETE Urais, ni zaidi ya hapo.

KIKWETE hawezi kulaumiwa kushindwa kumkabidhi KITI Lowassa sababu Yeye hakuwa final say juu ya nani arithi KITI chake.

Acheni hizo basi,

Yaani wewe JokaKuu unaamini Kweli kuwa KIKWETE angeweza kuamua Membe awe Rais, akawa?
Inawezekana wewe hukumsikiliza Kikwete kwenye mazishi ya Shujaa Magufuli pale Chato

Alisema " Mwenyekiti wa CCM ana Nguvu kubwa sana'
 
Haina limit ndio Sababu aliweza kumpitisha Shujaa Magufuli

Na 2020 Shujaa Magufuli akatuletea Wabunge Wote hadi Covid-19 dadeki 😂😂😂
USINGIZI ulipokolea nikasikia ndotoni,

"Wengine wote mmewapa dakika 90, iweje Mimi mnipe kucheza dakika 45 pekee"

Nikastuka ndotoni, kwamba iweje mkt alalamike!!😀😀
 
Historia ya nchi hii inaonyesha, wote walioumezea mate, Urais uligeuka kambale, ukateleza mikononi mwao[emoji3][emoji3]

Ngoja tusubiri.

Muda ni mwalimu.
Hata mm naona kabisa hawezi kupata. Hata Mwenezi naona anausogelea ila kiukweli hawezi kuupata.
 
..Pesa za Kikwete na Lowassa ndizo zilizompa Kikwete Uraisi.

..Kinachofanyika ni ku-eliminate mgombea kikwazo ili mgombea aliyepangwa spite.

..Kikwete alimuengua Lowassa ili kumpendelea Membe lakini mambo yakaharibika kwenye kura.
Sema huyu Mungu kweli yupo. Yani Membe yule ndo angekua Rais wangu 2015? [emoji849][emoji849]
 
Mi ni Rais ajaye sema hamjui chochote..........
Ndo ujue Urais hautafutwi Kwa pesa au upendeleo,

Urais ukikutaka, utakutafuta uliko,

Ufalme ulipomtaka Daudi, ulimfuata porini ukamkuta anachunga Kondoo na mbuzi😀😀

Wanasiasa wa Nchi hii wajifunze somo hili Toka Kwa Rabbon
 
Back
Top Bottom