Wewe ni mwanademokrasia,..sanduku la kura linaheshimwa kulingana ns matakwa ya Mwenyekiti.
..Kilichotokea 2015 ni kwamba Mwenyekiti alimpinga zaidi Lowassa, kuliko alivyokuwa na interest kwa Membe.
Shalom brethrenπShalom aleichem brethren
Mungu yupi?Mungu ndiye amepanga Rais Samia kuongoza Taifa letu mpaka 2030
Usimuhusishe Mungu na majizi ya kura tafadhali.Mungu ndiye amepanga Rais Samia kuongoza Taifa letu mpaka 2030
Makamba jr, majaliwa, madelu sikia hii πRais Mkapa ndiye aliyelipa madeni yote ya mikopo ya watangulizi na hakukopa hata mia.
Na alikabidhi hazina ikiwa na Mzigo wa kutosha.
Endeleeni kuutafuta Urais kama mtaupataππ
Ngapi hukoooπ€Salaam, Shalom!!
Tangu uhuru, wote walioutamani Urais, Urais uliwakimbia. Kwa kadri unavyozidi kuutamani Urais wa Nchi hii ambayo Nyerere alikuwa mwasisi wa mifumo ya uongozi na utawala, Kwa spidi hiyo hiyo ya kuutafuta, utateleza mikononi mwako usiamini kilichotokea.
1. Rais Mwinyi, hakuwahi kuutafuta Urais, Urais ulimtafuta.
2. Rais Mkapa hakujulikana, Wala hakuwahi kuutafuta Urais, Urais Ulimtafuta.
3. Rais KIKWETE hakutumia pesa kuusaka Urais, Urais ulimtafuta.
4. Kadhalika, Rais Magufuli pia hakuwahi kuota ndoto za Urais na kuzianika hadharani, Urais ulimtafuta Hadi Chato.
Hizi kelele za kuwa Marehemu Lowassa alisalitiwa na Rais KIKWETE ni unafiki tu, Urais hautafutwi Kwa pesa, na Urais haugaiwi kiurafiki Wala kindugu kwamba ukimaliza kula niachie nami zamu yangu!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ.
Amen
Mungu wa mbinguni.Mungu yupi?
Inawezekana wewe hukumsikiliza Kikwete kwenye mazishi ya Shujaa Magufuli pale ChatoNdo nakwambia,
Pesa za Lowassa hazikumpa KIKWETE Urais, ni zaidi ya hapo.
KIKWETE hawezi kulaumiwa kushindwa kumkabidhi KITI Lowassa sababu Yeye hakuwa final say juu ya nani arithi KITI chake.
Acheni hizo basi,
Yaani wewe JokaKuu unaamini Kweli kuwa KIKWETE angeweza kuamua Membe awe Rais, akawa?
Nguvu hiyo Ina limit!!ππInawezekana wewe hukumsikiliza Kikwete kwenye mazishi ya Shujaa Magufuli pale Chato
Alisema " Mwenyekiti wa CCM ana Nguvu kubwa sana'
Haina limit ndio Sababu aliweza kumpitisha Shujaa MagufuliNguvu hiyo Ina limit!!ππ
USINGIZI ulipokolea nikasikia ndotoni,Haina limit ndio Sababu aliweza kumpitisha Shujaa Magufuli
Na 2020 Shujaa Magufuli akatuletea Wabunge Wote hadi Covid-19 dadeki πππ
Hata mm naona kabisa hawezi kupata. Hata Mwenezi naona anausogelea ila kiukweli hawezi kuupata.Historia ya nchi hii inaonyesha, wote walioumezea mate, Urais uligeuka kambale, ukateleza mikononi mwao[emoji3][emoji3]
Ngoja tusubiri.
Muda ni mwalimu.
Jana msibani alikwenda na kumpigia magoti mabaka mstaafu,Hata mm naona kabisa hawezi kupata. Hata Mwenezi naona anausogelea ila kiukweli hawezi kuupata.
Sema huyu Mungu kweli yupo. Yani Membe yule ndo angekua Rais wangu 2015? [emoji849][emoji849]..Pesa za Kikwete na Lowassa ndizo zilizompa Kikwete Uraisi.
..Kinachofanyika ni ku-eliminate mgombea kikwazo ili mgombea aliyepangwa spite.
..Kikwete alimuengua Lowassa ili kumpendelea Membe lakini mambo yakaharibika kwenye kura.
Urais sio uji Kila mtu aurambe!!!View attachment 2907994
Urais sio asali wala uji