Urais wa Tanzania hautafutwi kwa nguvu ya pesa wala upendeleo

Usijitoe ufahamu,

Kuchangiwa Nyerere nauli kwenda kudai Uhuru Si kuutafuta Urais Kwa pesa.

Kuusaka Urais Kwa pesa ni kutumia pesa kutengeneza vikundi Nchi nzima Ili kupata uungwaji mkono kuukwaa Urais.
 
Ndo ujue pia Urais hautafutwi Kwa pesa Wala upendeleo!!
Kikwete aliingia ukumbini akijua ni Lowasa kumbe wenzake wamebadili na kuwa Magufuli.
Mrema alimshinda Mkapa ambaye wakati huo alikuwa hajui siasa, mwalimu akaamuru Mkapa apewe nchi.
 
Alimsaliti 100%.Akataka Membe shemejie sijui nduguye awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia 2015 hadi 2025.
Tukisema kuwa KIKWETE alimsaliti Membe Kwa kushindwa kuhakikisha anakuwa Rais Kwa rungu la uenyekiti, ni Kweli au Si Kweli?
 
Usijitoe ufahamu,

Kuchangiwa Nyerere nauli kwenda kudai Uhuru Si kuutafuta Urais Kwa pesa.

Kuusaka Urais Kwa pesa ni kutumia pesa kutengeneza vikundi Nchi nzima Ili kupata uungwaji mkono kuukwaa Urais.
Ukiwa na pesa Nyingi unakuwa na mawazo makubwa ikiwemo kuweka Viongozi madarakani na kama Taifa limejaa Mapimbi unakaa Mwenyewe madarakani

Ndio unawaona Trump, Putin, Kiduku, Ruto, Ramaphosa, Tshekedi nk....nk hao wote wananukia Fedha

Bongo mnaweka maskini halafu wakikwapua mnaanza kulialia

Ikulu siyo Kanisani au Msikitini 🐼
 
Usijitoe ufahamu,

Kuchangiwa Nyerere nauli kwenda kudai Uhuru Si kuutafuta Urais Kwa pesa.

Kuusaka Urais Kwa pesa ni kutumia pesa kutengeneza vikundi Nchi nzima Ili kupata uungwaji mkono kuukwaa Urais.

Usijitoe ufahamu,

Kuchangiwa Nyerere nauli kwenda kudai Uhuru Si kuutafuta Urais Kwa pesa.

Kuusaka Urais Kwa pesa ni kutumia pesa kutengeneza vikundi Nchi nzima Ili kupata uungwaji mkono kuukwaa Urais.
Nyerere alitumia vikundi nchi nzima sema we hujui. na waliokuwa wanamuwezesha ni akina rupia mbowe na wazee hawa wa kkoo. Kama hujui kaa kimya chief. Kila alikoenda watu walijitolea chochote wakiamin mawazo yake. Sema kwasababu kile walichokuwa wanatoa by then kwasasa we unaiona ni kidogo. Watu walijitolea nyumba zao kuweka vikao vya mikakati na kuchangishana hela za kampein. We unafikiri Nyerere na hela zake za ualimu angeweza kufanya kampein nchi nzima acha uzuzu wewe.
 
IKULU ni Mahali Patakatifu.

Trump, Tshekedi, Ruto Si Watanzania wale. Jikite kwenye mada, historia inasemaje kuhusu wasaka Urais Kwa pesa.
 
Lakini Kikwete Urais aliotafuta kwa namna yoyote mpaka akaupata.
 
Lakini Kikwete Urais aliotafuta kwa namna yoyote mpaka akaupata.
Si Kweli,

Urais ulimtafuta kabla.

Lowwassa alikuwa na pesa za kutosha, na watu husema pesa ndo Kila kitu,

Iweje Lowassa asalimu Kwa KIKWETE asiye na pesa?

IPO mifumo isiyoonekana ikikukataa imekukataa!!
 
Tukisema kuwa KIKWETE alimsaliti Membe Kwa kushindwa kuhakikisha anakuwa Rais Kwa rungu la uenyekiti, ni Kweli au Si Kweli?
Kikwete alitaka Membe awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ila alidhibitiwa vikali na Mzee Mwinyi pamoja na Mzee Mkapa na ndipo alipoteuliwa Magufuri bila ridhaa ya Kikwete.Yale yale yaliyotokea 1995 wakati Mwinyi alipotaka kati ya Salmin,Lowasa na Kikwete mmoja awe Rais wa Jamhuri ya Muungano lakini Nyerere akakataa na kumleta Mkapa kutoka sehemu isiyojulikana.
 
Si Kweli,

Urais ulimtafuta kabla.

Lowwassa alikuwa na pesa za kutosha, na watu husema pesa ndo Kila kitu,

Iweje Lowassa asalimu Kwa KIKWETE asiye na pesa?

IPO mifumo isiyoonekana ikikukataa imekukataa!!
Mkuu wewe ni CCM damu damu kwa utetezi huo.Kauli ya Nyerere kusema,"Ikulu ni mahali patakatifu" ni kwa sababu ya Kikwete.Kikwete kama 2005 angekuwapo Nyerere asingepata Urais nakwambia.Kikwete ndiyo mcheza rafu namba moja Tanzania,anakumaliza huku akikuchekea.
 
Kwahiyo unakubali kuwa Rais anayemaliza muda wake pamoja na Rungu la uenyekiti Bado Hana maamuzi ya mwisho juu ya nani awe Rais,

Ndomana umetamka " Alidhibitiwa".

Sasa Usaliti wa JK unatoka wapi?

Tusimuonee JK katika hili.

UKWELI ni vizuri usemwe.
 
Usaliti wa Kikwete ni kuengue majina yote mazuri ya wagombea na kumwacha Membe na wanawake wawili ili Membe apite kirahisi kwa mujibu wa mila za Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…