Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

sikubaliani na wewe, huku kwetu shanga wanaotengeneza ni kina mama wala huo uganga hawahujui.

Wajinga ndio waliwao
 

je kama nimezinunua kiwandani china moja kwa moja.

mchungaji unataka utupunguzie utam ati..
 
Mie nina duka la kutengeneza bidhaa za shanga kama sandals, handbangs, keyholders, buckles, belts na pia waist -beads.
Una maana vijana wangu wanaoifanya hiyo kazi ni waganga pia,
Maana wanawake ndio huja kuzinunua wenyewe!

Kiluuj hebu njoo kwanza nimevutiwa na biashara yako achana na huyu anayefungua milango ya PM.
 
Last edited by a moderator:
Hili kanisa lako litafanikiwa sana kama utampata mchungaji kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh.
Unataka wanawake waje kwako uziombee hizo Shanga kisha Upige test km zinafaa sio?

Nyie Watu mna laana haki ya nani.
Yaani ni ngono tu.

Hizo Shanga sisi wasukuma tunaziita Kachumbar. Na Wanawake wetu wanazaa watoto km mvua. Na ndoa zao zinadumu mpk tunazikana.

We kama unataka Kondoo wa kutafuna tafuta njia nyingine.
Mfano zile misa za jioni. Zile ni balaa kwa wake za watu. Au ile dawa ya kutafuta Uzazi ambayo lzm iingizwe kwa Kutumia kipande cha nyama.
Hio pia wameumia wengi sana.

Lkn hii hupati mtu mchungwaji.

Teh teh teh Dah..

Mtamaliza Kondoo karne hii.
 
Hili kanisa lako litafanikiwa sana kama utampata mchungaji kahtaan
Teh teh teh.
Mchungwaji anatafuta Kondoo wachanga atafune kwa kisingizio cha Shanga.

Duh....
Balaa kweli kweli hawa watu.
 
Last edited by a moderator:
Umalaya utakuua we mchungaji utakufa na ukimwi balaa wewe.
Teh teh teh.
Atakwambia " na ushindwe kwa jina la yesu" haleluyah....

Mchungaji kafungua duka mkuu. Acha akusanye kondoo kwa raha zake..
Kondoo wengi wana viburi sisi tukiwapa Daawa Sasa waache wakatafunwe na mbweha.
 
Teh teh teh.
Atakwambia " na ushindwe kwa jina la yesu" haleluyah....

Mchungaji kafungua duka mkuu. Acha akusanye kondoo kwa raha zake..
Kondoo wengi wana viburi sisi tukiwapa Daawa Sasa waache wakatafunwe na mbweha.

Hii dini ni yakufutwa kabisa katika uso wa Dunia ila siku hizi maalimu naona kama umepunguza darsa juu ya hawa viumbe sijui ndivyo ilivyo au majukumu yanabana?
 
hivi Tanzania tuna kiwanda cha kutengeneza shanga....?. au kuzitunga kwenye kamba ndo kutengeneza kwenyewe.....? mtumishi wale wanafanya assembling anachukua kamba na kuingiza zile shanga.
 
Hii dini ni yakufutwa kabisa katika uso wa Dunia ila siku hizi maalimu naona kama umepunguza darsa juu ya hawa viumbe sijui ndivyo ilivyo au majukumu yanabana?
Maalim Nilikuwa likizo kidogo na ndio nimerudi na majukumu pia ni mengi tu alhamdulillah.
Ila hawa matapeli huwa nawapa bakora japo sii sana.
Nikitulia kiduchu ntarudi ulingoni kusafidha utwaghuti wa kuabudu picha na wachungwaji.

Tuko pamoja ustaadh haa mym
 
Last edited by a moderator:

Teh teh teh Maalim unavyotangaza mapambano hapo kuna watu wanahara hovyo. Nafurahi shekh kusikia hivyo maana nikiwa bored huwa nasomaga tu reply zako kwa makafiri basi roho yangu huwa bardiiiiii kwelikweli.
 
Last edited by a moderator:
Kiluuj hebu njoo kwanza nimevutiwa na biashara yako achana na huyu anayefungua milango ya PM.

Well, kwa wageni kama wewe unaweza kuanza na kulike page yangu ya FB, 'jayzed beads products'. Japo siitumii sana utaona samples(viatu) zangu.
Baadaye nitakupatia Web Address yangu.
 
Last edited by a moderator:
wanawake mm ninawapenda na ndo maana ninawapa angalizo. ninyi wenyewe ni mashaidi ktk watu ambao wanasumbuliwa na mapepo na mashetani ni wanawake.

sasa nawapa tu maarifa na cjazuia ila pitisha kwa mchungaj ya kuvaa.
 
Well, kwa wageni kama wewe unaweza kuanza na kulike page yangu ya FB, 'jayzed beads products'. Japo siitumii sana utaona samples(viatu) zangu.
Baadaye nitakupatia Web Address yangu.

Aisee mie fb Sina account.
Nina marufuku kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…