Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada




mambo ya kiroho huwezi kuyaelewa, uhusiano uliopo ni mkubwa na ndio maana wanawake wamekuwa wakisumbuliwa sn na nguvu za giza kuliko wanaume. shanga ni kitu cha sirini kama ilivyo chupi, unaponunua unanunua wazi kabsa tena kwa mwanaume, lakini unapovaa unavaa sirini. mm cjazuia kuvaa ila ni muhm kuzikomboa kwa damu ya Yesu.
 
Mi comment za humu mbavu sina.Mchungaji ni noumaaaa
 
kwanza demu akivaa shanga alafu we ukiwa na mazivu malefu huwa yanajisokota na inauma ile mbaya,
bora mtumishi uwaombee waache hizi maklitu!

Ndo uwe unafyeka hayo majani.
 

Pastor kwa hiyo ndo kusema badae utakuja kuombea chupi??
 
Bado zile culture za mkononi dadekii. Mchungaji umesahau kuongelea "vikuku"
 
Haya wadada peleni viuno kwa pastor mkatenguliwe manuizo.
 
ivi izi dini za kutoka mashariki ya kati na asia kumbe zinatufanya tuwe vipofu hivi kwa mila na desturi zetu. duuh tunadhamini tamaduni za mwarabu na myahudi huku tukiona za kwetu ni ushenzi
 


Hahaahah mleta mada you made my day....ninachokijua mm mtu ukienda kwa mchungaji akikuombea let say rozar baadae anakuvalisha.....sasa inakuwajebakimaliza maaombi kwa upande wa shanga????
 
Duuh pastor Illovo mtundu sana! Haya dada zetu pelekeni viuno vya shanga mtumishi akatoe upako!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu inaonyesha hujamuelewa kabisa mtoa mada yaani ni zero,sasa hbr hii na Umalaya vinahusiana vipi???.

Nenda kaombewe dada hakuna shida ila si unajua jamaa anaombea zikiwa zimevaliwa? Teh teh teh
 
Kakudanganya nani???mwanamke aliefundwa akafundika hawezi kuvaa cheni kiunoni, tunapokua mkoleni tunafundishwa kuvaa shanga na si cheni hao wanao vaa cheni huenda wametokea bala uko ata kufundwa hawafundwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…