Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Unaijua kazi ya shanga lakini au basi tu? Kama unajua nipe kazi 5 za shanga kwenye uwanja wa fundi seremala ndo nitajua yaliyomo yamo au hayamo.
Ha ha vaeni bhanaa zile hata ukishusha pumzi nzito mkono utabakia pale kiunoni hiyo itapelekea mizuka kludi upyaaa kwa wote