miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
akiniambia vina kazi gani nitapokeaSafiii, hivi mtu akikuletea kama zawadi utapokea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akiniambia vina kazi gani nitapokeaSafiii, hivi mtu akikuletea kama zawadi utapokea?
yanakuwaga na marangi mabayaaa mtu anayeyaacha wazi must be insane lohEnzi ya cheni moja ya dhahabu hii wewe unachanganyikiwa na uchafu huo.
akiniambia vina kazi gani nitapokea
ha ha ha sawa kabisaHa ha ha, sawa, ngoja njipane.
Yaan miss chaga…………muulize ananunua wapi ukamchukulie mkeo
hihihi safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wewe unaweza nini zaidi ya kuchomeka na kulia kikwenu hihihiii na ukipiga bao na haja inakutoka kubwa hahahaha shkamoo sijui wanakufumuaga kwanza ndo unakuja kunifumua na mm lohUtajuaje mambo hayo wewe,mtu wenyewe hata ukiwa ndani 6×6 unakuwa kama gogo
ni nini tena ?Yaan miss chaga…………
sio kila mwanaume anapenda hizi takataka aisee na kuna wanaume pia wanazivaaYaani yote hayo yanitokee huku kiuno chenyewe kipo cheupe kama nipo na dume mwenzangu,Haiwezekani
kwahiyo we ndo mjanja hivyoo ?Kama mjanja wako anazivaa hizi unazoita takataka basi ujue wote nyie ni chakla
Mimi ni mmoja wao, sipendi shanga, kwangu huziona shanga kama ushirikina, nikiona ke kavaa hihisi kichefuchefusio kila mwanaume anapenda hizi takataka aisee na kuna wanaume pia wanazivaa
nashangaa watu wengine wanapenda kujumlisha kila mtu kwenye mambo wanayoyaona wao kuwa ni ya maana na wanayapendaMimi ni mmoja wao, sipendi shanga, kwangu huziona shanga kama ushirikina, nikiona ke kavaa hihisi kichefuchefu