Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Vurugu muhimuNokia83 inaonesha jinsi gani huwa unakuaga na vuruguu[emoji87] [emoji87]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vurugu muhimuNokia83 inaonesha jinsi gani huwa unakuaga na vuruguu[emoji87] [emoji87]
Hapo sawaTeh teh haya mama ,
tehehehehe teheheheheh lolQuickie huwa ina utamu zaidi unaweza kukuta kanogewa akawa anabembea kwny shanga
Umekumbuka mbaliiitehehehehe teheheheheh lol
sikutishi bby,unatakiwa uvae ili mambo yanogeMbona wantishaaa????so unanishaurijeee
Kwa kuwa wazungu wanavaa,mswahili jinga sanaShanga tena[emoji15] bora cheni ya kiuno.
#ni_mtazamo_tuu!
Hana mwenza ndiyo mmaana kauliza hukuMshirikishe kwanza mwenza wako ndo atakupa maoni yaliyo sahihi. Unaweza vaa then akakuona kama Malaya au pengine akavutiwa zaidi.
Ningekuwa mm ningekuambia vaa ila zisizidi tatu na sio kila siku uzivae[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Me am busyKwa kuwa wazungu wanavaa,mswahili jinga sana
Mi too am biziiiiiiiiMe am busy
mambo ya uswahilini hayo...
Hahahahaaaa... nilidhaniaga ni mimi tu kumbe Kuna wenzNgu!Hyo mambo ilinishindaga aisee nlikuwa nikivaa nikienda toilet navua surual unajikuta nmezivuta zimekatika nkaona hii mambo siwezi
Ma dear hiyo kitu ilinishinda kabsaaa hadi leo na keshoHahahahaaaa... nilidhaniaga ni mimi tu kumbe Kuna wenzNgu!
Yaani askuambie mtu... daah sijui nielezeje[emoji12]Umenifurahish sanaaaaaa inaonekna unapenda niniii[emoji1]
Zinavaliwa mda wa tendo la mahabat... yaezekana ukavaa full day ili kum motivate ur love, Ila sio kila siku lol..!!Nilifikiri zinavaliwa mnapokua mnaenda Kwenye shughuli tu kumbe full time.
Utakuta mwingine ameyavaa mengi mpaka kero.
Itakua huyu Yummie ni mmoja wa wale wazungu ambao wako humu jukwaani...Kiswahili huwa kinaeleweka vzr zaidi
Ushaona mangapi mpaka sasa?Kumbe unatafuta wa kumvalia? Kaazi ipo [emoji134]
Leo mpaka siku iishe tutaona mengi
Wingi si unaanzia mbili? Sasa nimeona mengi na siku bado haijaishaUshaona mangapi mpaka sasa?
Ha haa angalia usipofuke tuWingi si unaanzia mbili? Sasa nimeona mengi na siku bado haijaisha
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Ha haa angalia usipofuke tu
Naweza kukubusu?Itakua huyu Yummie ni mmoja wa wale wazungu ambao wako humu jukwaani...
Shikamoo kwake!!!