Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi ona mtoto wa geti kali kavaa shanga..mambo ya uswahilini hayo...
Ungevaa cheni...maana huwa ni moja tuHyo mambo ilinishindaga aisee nlikuwa nikivaa nikienda toilet navua surual unajikuta nmezivuta zimekatika nkaona hii mambo siwezi
Wewe tuuuuNaweza kukubusu?
hata wazungu nao siku hizi huvaa kijicheni kimoja kama si siliver basi dhahabu, au hata tattoo atachora lakin hawataki kiuno kiwe cheupeee kama cha mwanaumeKwan sisi wazungu?
Zile ambazo wanavishwa kwenye Makabila ambazo wanaanza kuwavisha wakiwa wachanga si shanga kwa ajili ya mwanaume, jampo zote ni shanga, zile wanawavisha watoto wa kike wakiamini kwamba mtoto atagawanyika vizuri kiunoni, yani ni kama wanamtengeza umbo la kike, shanga ambazo wanakabidhiwa kwa ajili ya mwanaume ni pale anapovunja ungo, akienda kuchezwa kule ndo anakabidhiwa shanga kulingana na mafunzo aliyofuzu kwa lugha nyengine wanaita mizungu,Lady;
Naomba nkuulize, weye kwenye kabila lako wanazivaa?? Mtu asiniambie ati Tz hatuna kabila, hapana hizo ni siasa tu na hapa tunazungumzia habari ya shanga. Shanga zina kabila lao. Huanzwa mtoto akiwa mdogooo anakua, zinaongezwa mpaka anavunja ungo.
Sasa kutokea hapo, anakuwa anajua matumizi yake, anafundishwa namna ya kumfunza mwenza kuzichezea kwenye mechi. Kuna wachezaji wazuri tu lakini hawajui kutumia njumu zile. Hata kwenye shanga, si urembo ule, zina kaz yake maalum. Zingelikuwa urembo, tungevaa shingoni sio kiunoni. Ndo maana nkakuuliza, weye kabila gani, uliziona nani kazivaa?
Tatzo unazvalia surual...shanga vaz lake co surualHyo mambo ilinishindaga aisee nlikuwa nikivaa nikienda toilet navua surual unajikuta nmezivuta zimekatika nkaona hii mambo siwezi
Niko hapa bibie!!! Kwangu uko free kutupia utakazo!![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Natafutaa [emoji85] [emoji85] anaependaa
Jamani hivi uvaaji wa shanga ni ushamba wa kizamanii au ndo maraha? Natamani kuzivaa ila naogopa nitaonekana mshamba na nimezinunua tayari.
Ushauri wenu wa bure na sitaki matusi wala dharau kama vepe unaweza uka pita mdogo mdogo[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hawa ni wasichana wa kabila gani???? Nimevutiwa nao..Zile ambazo wanavishwa kwenye Makabila ambazo wanaanza kuwavisha wakiwa wachanga si shanga kwa ajili ya mwanaume, jampo zote ni shanga, zile wanawavisha watoto wa kike wakiamini kwamba mtoto atagawanyika vizuri kiunoni, yani ni kama wanamtengeza umbo la kike, shanga ambazo wanakabidhiwa kwa ajili ya mwanaume ni pale anapovunja ungo, akienda kuchezwa kule ndo anakabidhiwa shanga kulingana na mafunzo aliyofuzu kwa lugha nyengine wanaita mizungu,
Yani wakati wa yale mafunzo huwafunza pia jinsi ya kukatika viuono hali yakuwa ana mtu juu, kwa mfano analala chali (kifo cha mende) halaf wale manyakanga mmoja anampandia juu mfano wa mwanaume na chini anawekewa kisaani cha chai kina kaa la moto ina maana atakatika kwenda juu na kurudi chini hagusi chini wakati huo huo anaekewa shanga nyuma ya kichwa chake sasa hapo itategemea na huruma ya manyakanga kama utaekewa chini au nyakanga mwengien atasimama nayo uichukue kwa ulimi, hali yakuwa unakatika ukiipata unahesabiwa ya kwanza.
Unawekwa style nyengine na zoezi ni hilo hilo kuziokota shanga kwahiyo unaweza toka hata na shanga 5 au 6 juua wewe si mchezo, achana na vidada vya sasa mtu anaenda kwa mmasai anavaa tu hata 20 n.k.
Makabila ninayoyajua mie ambao wanachezwa, Wazaram, wandengereko, Mtwara na Lindi, Tanga hao ndo ninao wafahamu mimi ila sasa kila kabila lina ujanja wake lakin lengo linakuwa ni moja.Hawa ni wasichana wa kabila gani???? Nimevutiwa nao..
Zile ambazo wanavishwa kwenye Makabila ambazo wanaanza kuwavisha wakiwa wachanga si shanga kwa ajili ya mwanaume, jampo zote ni shanga, zile wanawavisha watoto wa kike wakiamini kwamba mtoto atagawanyika vizuri kiunoni, yani ni kama wanamtengeza umbo la kike, shanga ambazo wanakabidhiwa kwa ajili ya mwanaume ni pale anapovunja ungo, akienda kuchezwa kule ndo anakabidhiwa shanga kulingana na mafunzo aliyofuzu kwa lugha nyengine wanaita mizungu,
Yani wakati wa yale mafunzo huwafunza pia jinsi ya kukatika viuono hali yakuwa ana mtu juu, kwa mfano analala chali (kifo cha mende) halaf wale manyakanga mmoja anampandia juu mfano wa mwanaume na chini anawekewa kisaani cha chai kina kaa la moto ina maana atakatika kwenda juu na kurudi chini hagusi chini wakati huo huo anaekewa shanga nyuma ya kichwa chake sasa hapo itategemea na huruma ya manyakanga kama utaekewa chini au nyakanga mwengien atasimama nayo uichukue kwa ulimi, hali yakuwa unakatika ukiipata unahesabiwa ya kwanza.
Unawekwa style nyengine na zoezi ni hilo hilo kuziokota shanga kwahiyo unaweza toka hata na shanga 5 au 6 juua wewe si mchezo, achana na vidada vya sasa mtu anaenda kwa mmasai anavaa tu hata 20 n.k.
Ngoja nije nkubusu nishike na shanga kidogoWewe tuuuu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Ngoja nije nkubusu nishike na shanga kidogo
Pm basi kwa maujuzi zaidi,za wa masai ndo zenyewe achana na cheni[emoji125] [emoji125] [emoji125]