Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

Badala yake Russia inazidi kukua na hao magharibi wanazidi kushuka.
 
USSR ilikua na mapandikizi ya tawala za kirumi ila Urusi yenyewe yatokea zamani haijawahi kuyumbishwa
 
Marekani angepata mapigo kama aliyopitia mrusi kwa sasa lile taifa kila jimbo lingeomba kukusanya virago vyake na kujitegemea wenyewe, mjapan tu kuwapiga kidogo jamaa wakapanic hadi kwenda kutumia bomu la nyuklia
 
Ni kwa sababu wao ndio waliopanga mashambulizi.
OK; Kama Mrusi alijua kwamba wao ndo waliopanga mashambulizi, ni kwa nini na yeye(Mrusi) hakujipanga mapema ili kutoa mrejesho (counter offensive) kwa shambulizi hilo ili kuwaonesha kwamba yy ni zaidi?
 
OK; Kama Mrusi alijua kwamba wao ndo waliopanga mashambulizi, ni kwa nini na yeye(Mrusi) hakujipanga mapema ili kutoa mrejesho (counter offensive) kwa shambulizi hilo ili kuwaonesha kwamba yy ni zaidi?
Urusi hana haja ya kujidhihirisha yeye ni zaidi, vitendo vitaongea.
 
Lakin waliwapa taarifa mapema Russia wakapuuza
Kuwapa taharifa siyo hoja hata mchawi anaye kuroga anaweza kusema kuwa mtu furani anakuroga kumbe ni yeye ila anatumia trick kijificha
 
Ana
Kwani hizo nchi za Magharibi ndizo ziliombwa zimtaje Mhusika au ni mhusika mwenyewe (ISIS) alitamka kwamba yeye ndiye amehusika? Mbona ISIS na Marekani hawaendani ni vitu tofauti?
Aliyekuambia Ugairi kwa mtindo wa kidini Marekani hahusiki nani?. Alqaeda ilikuwa imeandaliwa na wai chini ya trained CIA Osama bin Lasen. Baadae wakafanya maigizo ya kuzika baharini.
Acha watwangane.
UN imetumika kuandaa nakiwezesha shambulio la kigaidi Israel oct 7 na Jews wamekuja kujua ndio maana hawana habari na UN.
 
Badala yake Russia inazidi kukua na hao magharibi wanazidi kushuka.
Kivipi aisee? eti Rusia inakua kwa kuvamia maeneo ya jirani zake na kuwatembezea ubabe wa kivita? Huko sio kukua bali ni kuonesha Ufinyu wa akili katika dunia ya sasa.
 
Watandikwe tu hao Ukraine mpaka wataje nani kafanya shambulio la kigaidi ndani ya Russia
 
Link na picha ?
 
Tulia wewe ni lazima marekani isaidie polisi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
ISIS inapigana upande wa ukrain kuna watu wa ilo kundi sasa jiulize ni kundi la nani?
Hivi ISIS inapigana upande wa Ukraine? Je, hayo ni kweli au unatuingiza chaka?
Hebu thibitisha hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…