Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Wamarekani wa kwa mtogole muwe na akili hata kwa 25% kuwa bila ya misaada ya silaha za kivita na wanajeshi toka EU kama Canada, hao Ukraine wangekuwa katika hali gani hivi sasa [emoji848]

Russia hajaomba msaada kwa Taifa lolote zaidi ya kupambana kiume na USA na EU hadi sasa, na mzidishe maombi China, North Korea, Iraq na Iran wasitie maguu kumsapoti RUSSIA kama USA anavyosapotiwa na EU katika hii vita, la sivyo WWIII ina-download wakati wowote itaitika ndipo tutapozidi kuendelea kukaza mafuvu kujua uwezo wa RUSSIA kiuchumi, kiujasusi, kivita, kiteknolojia, kibiashara na hata kirasilimali duniani [emoji847]
Unapolinganisha Ukraine na Urusi, ujue kuna tatizo hapo. Elewa kuwa Ukraine ilikuwa na silaha nyingi za Nuclear baada ya USSR kuvunjika lakini walizigawa kwa urusi kwa makubaliano kuwa Urusi haitawashambulia majirani zake. Soma Budapest Memorandum iliwekwa sahihi tarehe 5 Dec 1994 hapa. Urusi imevunja mkataba huo! ndiyo maana sasa inabidi Ukraine ianze upya, na hiyo misaada wanaipata kwa kufutana na makubaliano ya hiyo Budapest Memorandum kama huji.

1648430738493.png


1648430542610.png


Na soma article hii hapa chini upate mwangaza zaidi.
 

Attachments

Hii sijui chanzo chako umetoa media gani.
Ogopa propaganda za vita.
Ukraine wanashambuliwa vibaya sana kutokea mbali.
Vita imechukua muda mrefu sababu Ukraine anasaidiwa na nchi nyingi za EU na NATO.
Mwisho wa siku nchi yao itamegwa vipande viwili na itakuwa masikini kwa muda wa miaka mingi kisha upande mmoja utapata nafuu.

Kosa walifanya wamarekani ni kumchagua Biden sababu utawala wake ndiyo ume engineer hii vita. Familia yake ina maslahi na biashara za silaha nchini Ukraine. Kijana wake wa kiume alikuwa na mradi wa silaha za kibaolojia Ukraine wakati baba yake akiwa makamu wa raisi.
Mwanzo zilipo ibuliwa tuhuma hizi na Russia ilionekana ni uzushi na propaganda lakini sasa vyombo vikubwa vya habari vya magharibi vimethibitisha mradi huo wa silaha hatari za kibaolojia.

Mtoto wa Biden aliacha /telekeza laptop yake kwa fundi siku nyingi. Humo ndipo zilikopatikana email za mawasiliano yanayo husu huo mradi.

Mradi huu ndio umemgharimu Tramp hadi akahojiwa kama ametumia madaraka yake vibaya na ndio umemuondoa.
Kuna vitu vingi vya kufikirika umeviandika hapa, sidhani kama ni mambo halisi.

Kwa mfano, kuhusu Ukraine kusaidiwa kijeshi na nchi nyingine, Russia ilishaonya toka kitambo kuwa nchi yoyote itakayojiingiza kwenye hii vita kwa kuisaidia Ukraine basi nayo itashambuliwa, sasa kwanini Russia asizishambulie hizo nchi?

Ni vipi umlaumu Biden kwenye hii vita wakati mwanzilishi wa vita ni Russia na hataki kusitisha vita?
 
Sitaki kuandika kishabiki, lakini kiuhalisi anga linaweza kufungwa kuzuia ndege za Russia kukatiza, na zikikatiza zitashushwa mara moja.

Narudi pale pale kwenye mada yangu, ukiondoa nguvu ya mashambulizi ya anga ya Russia, kwa mwenendo wa vita wa sasa ni kama Russia pumzi imekata ardhini?
Ardhini wameuwawa wengi mno; mpaka sasa hivi wanafikia Takribn 15,000 ambao ni karibu divison mbili ukijumuisha na majenerali saba pamoja na makanari wapato 20; jeshi gani hilo. Jamaa hawajui vita ya ardhini kabisa, walikuwa wanaendesha vifaru barabarani kama wako mitaanbii vikawa vinabondwa kama vibuyu.

Hata angani pia hawapeleki ndege na helicopter kwani nazo zimeangushwa kama kasuku. Wanachotumia sasa hivi ni makombora ya mbali tu, wanayarusha kutokea kwenye manowari huko Black Sea.
 
Hongera sana mtunzi wa somo hili leo hii. Urus kabla ya kuivamia Ukraine alionesha dalili za uchokozi hivyo nchi karibia zote za NATO ziliisha jiandaa jinsi gani ya kuisaidia Ukraine ili Urusi iporoke kiuchumi na kukosa dira.

kitakacho bakia sasa ni kona urusi imeshindwa vita na NATO hawatatoa Vikwazo vya kiuchumi mpaka mahakama kuu ya the hague iwashitaki watawala wa Urusi kwa makosa ya mauaji . Hitler alijinyonga sasa puttin sijui atafanyaje.

Nchi tajiri kama venezuela yenye mafuta mengi na uchumi azizi iliwekewa vikwazo vya kiuchumi na marekani na support ya EU ilihusika. Venezuela walisota raia zake mpaka watu milion sita wakakimbia nchi kama wakimbizi. yaani hata toilet paper walikuwa wananunua kwa folleni! wewe ngoja tuu athari ya vikwazo ikianza kufanya kazi Urusi, itakuja kutokea folleni hata za kununua mchicha na pilipili mbuzi!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] maneno meeeeeeeeeeeeeeeengi.
Screenshot_20220326-013126.jpg
 
Hii sijui chanzo chako umetoa media gani.
Ogopa propaganda za vita.
Nadhani anasikiliza sana BBC, VOA, na DW, ambazo Trump aliziita fake news za nchi za magharibi. Ukweli ni kwamba Ukraine inaharibiwa sana (angalia mji km Mariupol) ambapo wapiganaji wenye itikadi za kinazi walijichimbia, umeharibiwa kiasi kwamba kuujenga tena itachukua zaidi ya miaka 50!
 
Hivi unaujua ukubwa wa eneo la Ukraine mpaka ufikiri operesheni ingeisha ndani ya siku tatu?
Pia ujue kuwa hii siyo vita halisi kama USA na Iraq, hii ni operations maalumu ambayo ililenga kuondoa nguvu za kijeshi za Ukraine ambazo marekeni walikuwa wamewajengea kwa lengo la kuweka makombora ya kuilenga Urusi. Wakati Russia wanailalamikia Marekani na kutaka security assurance lengo hasa lilikuwa kutaka marekani aondoe maabara za biological weapons na aache kusuply makombora kwa Ukraine. Karibu 80% ya nguvu za kijeshi ya Ukraine imeteketezwa!
Hapo kichwan hamna kitu

Ingekua 80% ya nguvu ya jeshi ya Ukraine imeteketezwa s Ukraine yote ingekua chini ya Urus? Yani 20% ya nguvu inaizuia urusi ishindwe chukua hata mji mmoja ??

Nyie ndio mnasababisha CCM inaendelea kudunda.. ujinga mtupu
 
Anga linafungwa na nini? Kufuli za Solex ama?

Kuna nchi za kufungia anga kama Libya ila sio Russia.

Unaifahamu Tu-160? Ka google usome, hio ni bomber ambayo supersonic inapiga mach 2.05 at altitude.

Inabeba ton 20 ya free falling body ikiwemo silaha za nuclear cause ni nuclear capable bomber.

Ndio ndege yenye kasi zaidi, kubwa zaidi ya kijeshi na nzito zaidi kuwahi kuruka ambayo ina sweep wing.

Nimesema hio ndege ni supersonic kwenye speed kali licha ya ukubwa wake, mbawa zake huwa zinarudi nyuma inakua kama Mig.
Ikiwa slow inapanua mbawa zake kama Boeing 787 au ndege ya abiria ya kawaida.

Hio ndege ina uwezo wa kuipiga Kiev kukabaki shimo baadae kizazi kijacho wakaja kudhani kuna kimondo kilitua kama kule Arizona. Tena inapiga nje kabisa ya anga umbali wa km 5500.

Kumbuka hizo wanazo zaidi ya 60.

Kuna kitu kinaitwa s500 kuna mdau mmoja amesema humu ina uwezo wa kuzuia hata punje ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23], mi namuunga mkono, kwa maana s500 inashusha satellite.

Kama radar inaona tone la mvua basi hata punje ya mchele ukiirusha tokea Kiev itaonekana tu ikiingia Russia.

Nato haina uwezo wa kuifungia Russia anga.

Ndio maana nikasema labda wafunge na kufuli.

Unaposikia Russia wanasema wanafanya operation ujue wanafanya operation.

Putin hataki kuichukua Ukraine iliyo vipande vipande anaitaka nzima nzima, na Ukraine.

Kwa hio mkuu Russia si nchi ya mchezo mchezo kwenye vita.

Halafu huwezi kumpangia mtu kushambulia vipi.
Ukitoka hapa kajifunze kidogo kuhusu Venezuela alafu jipige kifua useme mjinga mm

Venezuela n taifa linaloongoza kwa reserve ya mafuta dunia ,. Lina mafuta mara nne ya Russia

Lilikua namba 5 dunian kwa uchumi .. jeur zikawapanda kichwan wakidhan hawagusiki

Wapigwa vikwazo vya uchumi kutokea 2014 leo 2022 Zimbabwe n tajiri kuliko Venezuela

Wewe ruka ruka weee na jeuri zako ila tu kikwazo baada ya kikwazo , utanyooka tu .. hayo ma supersonic yatabak kama matoi tu ya kuchezea watoto
 
Wamarekani wa kwa mtogole muwe na akili hata kwa 25% kuwa bila ya misaada ya silaha za kivita na wanajeshi toka EU kama Canada, hao Ukraine wangekuwa katika hali gani hivi sasa [emoji848]

Russia hajaomba msaada kwa Taifa lolote zaidi ya kupambana kiume na USA na EU hadi sasa, na mzidishe maombi China, North Korea, Iraq na Iran wasitie maguu kumsapoti RUSSIA kama USA anavyosapotiwa na EU katika hii vita, la sivyo WWIII ina-download wakati wowote itaitika ndipo tutapozidi kuendelea kukaza mafuvu kujua uwezo wa RUSSIA kiuchumi, kiujasusi, kivita, kiteknolojia, kibiashara na hata kirasilimali duniani [emoji847]
Hakuna taifa lenye akili timamu litakalo msapot mrusi , sana sana wata kaa kimya tu

Mmarekan kila mwaka anaingiza china sio chini ya $800 bilion , Mrusi anachoingiza china n riba ya mikopo tu ambayo haizid $10 Bilion... Yan china apoteze Biashara ya karibu $900 Bilion kwasababu ya $10 Bilion?? Hakuna mtu mjinga kias hicho ww
 
Wamarekani wa kwa mtogole muwe na akili hata kwa 25% kuwa bila ya misaada ya silaha za kivita na wanajeshi toka EU kama Canada, hao Ukraine wangekuwa katika hali gani hivi sasa [emoji848]

Russia hajaomba msaada kwa Taifa lolote zaidi ya kupambana kiume na USA na EU hadi sasa, na mzidishe maombi China, North Korea, Iraq na Iran wasitie maguu kumsapoti RUSSIA kama USA anavyosapotiwa na EU katika hii vita, la sivyo WWIII ina-download wakati wowote itaitika ndipo tutapozidi kuendelea kukaza mafuvu kujua uwezo wa RUSSIA kiuchumi, kiujasusi, kivita, kiteknolojia, kibiashara na hata kirasilimali duniani [emoji847]
Chenchen waliishia wapi?
 
Mimi binafsi sipendi vita, na katika vita vya Ukraine sitaki kushabikia upande wowote kuhusu mauaji, japokuwa siungi mkono kabisa uvamizi wa kijeshi wa Russia katika nchi ya Ukraine kwa kuwa ilitosha mgogoro huu kumalizwa kidiplomasia.

Nilihisi na hata kutamani kuona Urusi ikimaliza tukio la kuivamia Ukraine ndani ya siku tatu tu ili kuepusha mauaji endelevu ambayo yangetokana na muendelezo wa kupigana vita kwa muda mrefu. Lakini hali imekuwa tofauti sana, mpaka leo hii, takribani mwezi mmoja tangu kuanza vita vya Ukraine hali bado tete huku Russia ikishindwa kumaliza shughuli za uvamizi kwa wakati.

Ukiachilia mashambulizi kutoka angani ambayo kutwa na usiku yamekuwa yakifanywa na Russia, tena yakilenga makazi ya watu, shule, hospitali, taasisi za uzalishaji nishati na maeneo mengine ya umma, hakuna kipya, kikubwa na cha zaidi ambacho Russia inaelekea kukifanya kupitia ardhini. Nguvu ya kupigana vita vya ardhini ni kama ndogo au inakumbana na upinzani mkali kutoka kwa wanajeshi wa Ukraine. Sehemu ya askari wa Russia waliofanikiwa kuingia na kukaa katika miji ya Ukraine ni kama wametelekezwa na Russia kiasi cha kukosa chakula au kuzingirwa upya na kisha kuangamizwa na askari wa Ukraine

Nawaza tu, mara ghafla anga la Ukraine na mataifa jirani yanayozunguka Ukraine likifungwa na kuzuiwa kwa Russia kukaribia ili kuishambulia Ukraine, nini kitafuata?
Umejaribu kutaka kujificha usijulikane unashabikia upande gani lakini umefeli vibaya sana🤣🤣
 
Unapolinganisha Ukraine na Urusi, ujue kuna tatizo hapo. Elewa kuwa Ukraine ilikuwa na silaha nyingi za Nuclear baada ya USSR kuvunjika lakini walizigawa kwa urusi kwa makubaliano kuwa Urusi haitawashambulia majirani zake. Soma Budapest Memorandum iliwekwa sahihi tarehe 25 dec 1994 hapa. Urusi imevunja mkataba huo! ndiyo maana sasa inabidi Ukraine ianze upya, na hiyo misaada wanaipata kwa kufutana na makubaliano ya hiyo Budapest Memorandum kama huji.

View attachment 2166531

View attachment 2166529

Na soma article hii hapa chini upate mwangaza zaidi.
Russia kaishambulia Ukraine kwasababu Ukraine wamevuja mkataba wa kutaka kujiunga na NATO. Hizo chokochoko za kushambuliwa zimeanzishwa na wao hivyo Russia hana kosa hapo
 
Hapo kichwan hamna kitu

Ingekua 80% ya nguvu ya jeshi ya Ukraine imeteketezwa s Ukraine yote ingekua chini ya Urus? Yani 20% ya nguvu inaizuia urusi ishindwe chukua hata mji mmoja ??

Nyie ndio mnasababisha CCM inaendelea kudunda.. ujinga mtupu
[emoji16][emoji16]
Screenshot_20220327-133827.jpg
 
Ukitoka hapa kajifunze kidogo kuhusu Venezuela alafu jipige kifua useme mjinga mm

Venezuela n taifa linaloongoza kwa reserve ya mafuta dunia ,. Lina mafuta mara nne ya Russia

Lilikua namba 5 dunian kwa uchumi .. jeur zikawapanda kichwan wakidhan hawagusiki

Wapigwa vikwazo vya uchumi kutokea 2014 leo 2022 Zimbabwe n tajiri kuliko Venezuela

Wewe ruka ruka weee na jeuri zako ila tu kikwazo baada ya kikwazo , utanyooka tu .. hayo ma supersonic yatabak kama matoi tu ya kuchezea watoto
Aisee
Screenshot_20220326-014558.jpg
 
Hakuna taifa lenye akili timamu litakalo msapot mrusi , sana sana wata kaa kimya tu

Mmarekan kila mwaka anaingiza china sio chini ya $800 bilion , Mrusi anachoingiza china n riba ya mikopo tu ambayo haizid $10 Bilion... Yan china apoteze Biashara ya karibu $900 Bilion kwasababu ya $10 Bilion?? Hakuna mtu mjinga kias hicho ww
Minne tena kwa sleepy Joe.
Screenshot_20220326-090540.jpg
 
Urusi wapo vizuri tuu, shida ni Ukraini wanajeshi kujichanganya na Raia, inaleta shida kwa Urusi kufanya upembuzi yakinifu kwa vita ya aridhini. Ndio maana Urusi ameona isiwe tabu ngoja atokee angani sasa.
Raia hawapo vitani, Raia wamejificha
 
Back
Top Bottom