Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Usiwe mbishi, raia wanaoishi mpakani wanavuka kuingia Mexico kuchukua mafuta, usiwe mbishi.

Vikwazo Russia walijua miaka 10 nyuma kwamba kuna siku kuna hili jambo litatokea, walishajiandaa kisaikolojia.

Ujinga wa US ni kuchukua hatua ambazo zinatabirika, kwa hilo watu wanajipanga na mahesabu makali, hata Putin alisema watapita sehemu ngumu lakini kwaa muda tu.

Ni mwezi mmoja to EU hali ni mbaya, sasa ngoja ipite hata miezi 6 uone EU kama hawajanunua gas kwa ruble.

Qatar wenyewe wamesema, hakuna namna ya kuziba sehemu ya Russia imeacha.
Siyo Quarter yenyewe tu, bali hata Saudi Arabia, Hungary na CHINA wamemkatalia USA kumuwekea vikwazo RUSSIA vya kibiashara hasa kutonunua gesi.
 
Unabadilika badilika kwa maelezo yako hata hujui chochote unachosimamia, we kaa kimya tu.
Wazazi wako bora wangepiga nyeto tu kuliko kutuletea takataka

Najua umechanganya watu ila kwakua adabu huna acha upigwe tu
 
Tuanzia hapa, uchumi wa Urus ni $1.4 Trillion USD
Budget ya jeshi USA ni $1 trillion .. let that sink in first

Haya tuendelee
Tatizo lako husomi , gas anayo supply Russia ulaya USA pekee anaweza i replace , kasome habari za juz na jana mpango USA kuuza gas ulaya

Hayo mataifa ya ulaya yanamtegemea USA kupitiliza ,Russia zaid ya kuwauzia vitu ambavyo wanaweza vipata pengine hakuna anachowapa,

USA Ana uwezo wa kuwaamrisha mataifa makubwa hayo yasifanye Biashara na Russia na yakatii including China

China kila mwaka anafanya Biashara USA zenye thaman ya almost $900 Bilion.. wakat huo huo china anacho faidika na Urusi n kuwakopesha tu , riba ya few $ Bilion .. sasa je, ingekua n ww , uko tayari upoteze Biashara ya almost a trillion dollars kwasababu ya riba ya dola Bilion 10??

Acha utani , USA n USA full stop
Gesi anayotaka USA kuwauzia EU itakuwa ikisafirishwa kwa meli, utalinganisha na Nord stream 1 ambayo husambaza na kuuza EU kwa zaidi ya 45%
 
Jeshi la Ukraine limefundishwa na Marekani baada ya kuvamiwa Crimea, angalia linavyowachachafya warusi. Hujawahi kusikia hata siku moja General wa Jeshi la Marekani anauwawa vitani au kushikwa mateka. Kama uko karibu na askari yeyote wa JWTZ mwulize maana ya kamanda cheo cha kanali au General kuuwawa vitani. Kurusha makombora ya mbali siyo ujuzi wa vita.
Ni kwa sababu Habari za vita za Marekani huwa haziko wazi sana. Hizi habari zidi ya Urusi zinaongezewa chunvi sana na vyombo vya habari vya USA na Ulaya.
 
Tukizama sana huku tutoka nje , PPP ina uhusiano wa moja kwa moja na GDP ya taifa , utakuta taifa lama Luxembourg wako pazuri kuliko china au USA

Inawezekana kweli technology aliyo nayo USA na Mrusi anayo, lkn n katika kiwango kipi? Na pia uwezo wa kupigana, Russia akapigana na USA leo , vita itapigwa hapo hapo Urusi, marekan yatapigwa maslah yake tu ila yenyewe iko salamaa
Muda unaoandika huu upuuzi uelewe kabisa kuwa ni RUSSIA pekee ndiye mwenye bomu la kuweza kuteketeza dunia nzima, punguza mahaba kwa USA utakufa kabla ya siku zako wewe Mmarekani toka Kigilagila [emoji28]
 
Ukifuatilia tangu awali urusi alisema anamalizana na Ukraine mapema sana na sasa umekatika mwezi. Kwa nini nisiamini kwamba Ukraine anaweza kushinda maana sijaona cha ziada kwa urusi zaudi ya kulipua makazi ya watu na baadhi ya wanajeshi wa Ukraine kuuwawa. Pamoja na hayo bado Ukraine inaua wanajeshi wa urusi na pia vifaa vyao vya kivita vinahatibiwa kila siku.
Weka huo ushahidi hapa na usitokee VOA, DW, ALJAZEERA, FRANCE 24 HRS, BBC wala CNN, maana propaganda zao za chuki toka kwa RUSSIA zinafahamika.
 
Nikishasikia mtu anajenga hoja kwa kutumia neno 'Western propaganda' naachana nae.
Mission ya Russia ni kuivamia Ukraine, hakuna sehemu Ukraine amesema anataka kuisambaratisha Russia kwa kutumia missile bali wamesema watajilinda dhidi ya uvamizi. Ndio maana battle field imekuwa hapo Ukraine.
Ndio maana Ukraine imewaacha wanajeshi wa Russia waingie Ukraine ili wachapike vizuri.
Kiuhalisia Ukraine hana uwezo wa kuivamia Russia ila mbinu za Russia kuivamia Ukraine ndizo zimewafanya wachapike vizuri.
"Eti ndiyomaana Ukraine imewaacha wanajeshi wa RUSSIA waingie Ukraine" toka wewe pepo mahaba [emoji1787]

Uko vitani unamruhusu Mtu aingie langoni pako na silaha za maangamizi bila ya kumzuia sababu hujui aina ya silaha na mbinu atazotumia, hivi ni akili zako kabisa [emoji848][emoji1787]
 
Rais wa Ukraine ata-declare neutrality, na kipande cha Ukraine kitachukuliwa na Urusi.
NATO hataki kukaa Ukraine, najua hizo ni ndoto za watu wengi lakini ni vyema kuishi katika ukweli.
Hata Kamuzu Banda alilitaka ziwa Nyasa lote, lakini ilibidi aukubali ukweli.
Hata USA operations zake zote mpaka akaanza kuingia mtaa kwa mtaa, the shortest was 42 days.
Russia ana wanajeshi 190,000 Ukraine. Jumla ya wanajeshi wake wote ni 1.1 million, na reservists about 2 million.
Tuishi kwenye ukweli.
Yani Russia ana wanajeshi 190, 000 tu kuliko Ukraine mwenye wanajeshi 2 M?
 
Tukizama sana huku tutoka nje , PPP ina uhusiano wa moja kwa moja na GDP ya taifa , utakuta taifa lama Luxembourg wako pazuri kuliko china au USA

Inawezekana kweli technology aliyo nayo USA na Mrusi anayo, lkn n katika kiwango kipi? Na pia uwezo wa kupigana, Russia akapigana na USA leo , vita itapigwa hapo hapo Urusi, marekan yatapigwa maslah yake tu ila yenyewe iko salamaa
Mbona unajidanganya?
 
Kama utakumbuka nimekuuliza. Inawezekana technology aliyo nayo USA na Mrusi anayo lkn m kwa kias gani? Inawezekana wote tuna armoured vehicles lkn ww una 1,000 mm nina 20k .. hata kama zina capacity moja nitakushinda tu

Mfumo wa urus s400 inawezekana ndio bora ila je , una uwezo wa kuhimil mashambuliz kias gani. anga la Syria linalindwa na mrusi lkn kila siku Israel anadondosha makombora tu Syria

Hiyo inatuambia kwamba hii mifumo haifanyi kazi at 100%

Yes, yana weza intercept missiles .. sawa je, zikija 20 kwa pamoja una mtambo wa kurusha kombora 20 at per ku intercept hizo? Iweze pick moja ifanye calculations za kila moja na ku pin point kila moja litakapo pita ikali intercept??

Economically , USA is superior to everyone..

Pale marekan pekee kuna majimbo yana uchumi mara tatu ya Russia , kuna majimbo matatu kama sio manne yana uchumi mkubwa kuliko Russia , huwez pigana vita ya namna hii, USA inaweza weka mezan budget ya vita vs Russia ambayo n kubwa kuliko uchumi wa Urus yote

Kitu ambacho kinaweza sababisha tusije ona vita kati ya USA na Russia n makombora ya Nuclear, Ukraine ilifanya makosa makubwa sana kumpatia Russia hayo mavitu
Nimekueleza mzee kwenye vita na nchi kama Russia huo uchumi utausoma kwenye makaratasi, nchi kama NK ni masikini lakini wanaogopwa si mchezo.

Na wanavunja sheria kila siku makusudi, Trump alienda kujipendekeza waonane na Kim kisa uoga tu, wanajua any time wakikachefua kanaweka vitu.

Russia ina silaha za maangamizi nyingi zaidi.
Quality ya silaha ndio vichekesho, hakuna sehemu US alifanya upuuzi kama lile li ndege linaitwa F35, kila siku yanaanguka ovyo, ukikuta wanaipigia domo ni hatari, ilete sasa vitani ni kopo la mkaa.

Syria hawana s400, hio wanayo Russia tu kwa ajili ya kulinda kambi yao.

Mitambo ya ngao za anga huko Saudi ni kama makopo tu, wanalipuliwa na migambo kila kukicha, base ya US kule Iraq ilipigwa na makombora ya Iran yote yalitua, sema kwa sababu Iran walitoa taarifa hivyo hakuna aliyedhurika zaidi ya vifaa kuungua.

Russia ndio nchi ya kwanza kufika mwezini, ndio nchi ya kwanza duniani na muanzilishi wa kile kituo cha anga kinaitwa ISS ambapo hivi sasa ni joint ya nchi nyingi duniani.

Russia ni mshindi wa vita kuu ya pili ya dunia.

Hivyo mkuu, wale jamaa usiwazungumzie kama umekunywa ulanzi, hao ni super power na China imejifunza vingi tokaa kwao hasa military tech.

US hana silaha Russia hana, huo ndio ukweli.
 
dah,mawazo mengine hatari sana,kuifananisha urusi na venezuela,inamaana hujiulizi hata kidogo kuwa urusi ni nani?ulaya na marekani wamemwekea vikwazo,lakini ghafla vitu vimepanda bei ulaya yote na marekani kwenyewe,mpaka wananchi wanaandama,jifikirishe walau kidogo tu,nguvu ya urusi kiuchumi hapa duniani.dunia nzima vitu vimepanda ovyo ovyo.
Hata mimi mkuu sikujua hii impact ya uchumi ingefika mpaka huku, lakini tatizo magharibi wanamiliki vyombo vya habari vikubwa na vyenye ushawishi, halafu wana umoja na wakiamua kukifanyia jambo flani campaign lazima watu waamini, wana nguvu kubwa mno ya media.

Tunaaminishwa kwamba Russia ni masikini na wana jeshi bora, lakini baada ya hizi sanctions imedhihirika kwamba Russia ni super power kiuchumi na kijeshi, huwezi kuwa huna kitu kama west wanavyosema halafu unampa Russia sanctions halafu zinakurudia.

Russia ina nguvu kubwa mno walichokosa ni nguvu ya vyombo vya habari full stop.

Ulaya hapakaliki mpaka US, madereva wa Tax wanalalama hovyo, hio ndio Russia.
 
Ni kwa sababu Habari za vita za Marekani huwa haziko wazi sana. Hizi habari zidi ya Urusi zinaongezewa chunvi sana na vyombo vya habari vya USA na Ulaya.
Siyo kweli kwa sababu kila askari wa Marekani anayeuwawa vitani lazima mwili wake urudishwa nyumbani na upokelewa na rais ambaye atakabidhi bendera ya Marekani kwa mjane wa marehemu au ndugu yake wa karibu. halafu elewa pia kuwa wakati wa mapambano, wamarekani huruhusu waandishi wa habari kuwafuatilia. Siypo Putin anayefich hata hataki kupokea miili ya wanajeshi wake waliouwawa vitani. Sasa hivi kapiga marufuku kuwa mtu akisema kuna vita ukraine, atafungwa miaka 15 jela !
 
Anga linafungwa na nini? Kufuli za Solex ama?

Kuna nchi za kufungia anga kama Libya ila sio Russia.

Unaifahamu Tu-160? Ka google usome, hio ni bomber ambayo supersonic inapiga mach 2.05 at altitude.

Inabeba ton 20 ya free falling body ikiwemo silaha za nuclear cause ni nuclear capable bomber.

Ndio ndege yenye kasi zaidi, kubwa zaidi ya kijeshi na nzito zaidi kuwahi kuruka ambayo ina sweep wing.

Nimesema hio ndege ni supersonic kwenye speed kali licha ya ukubwa wake, mbawa zake huwa zinarudi nyuma inakua kama Mig.
Ikiwa slow inapanua mbawa zake kama Boeing 787 au ndege ya abiria ya kawaida.

Hio ndege ina uwezo wa kuipiga Kiev kukabaki shimo baadae kizazi kijacho wakaja kudhani kuna kimondo kilitua kama kule Arizona. Tena inapiga nje kabisa ya anga umbali wa km 5500.

Kumbuka hizo wanazo zaidi ya 60.

Kuna kitu kinaitwa s500 kuna mdau mmoja amesema humu ina uwezo wa kuzuia hata punje ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23], mi namuunga mkono, kwa maana s500 inashusha satellite.

Kama radar inaona tone la mvua basi hata punje ya mchele ukiirusha tokea Kiev itaonekana tu ikiingia Russia.

Nato haina uwezo wa kuifungia Russia anga.

Ndio maana nikasema labda wafunge na kufuli.

Unaposikia Russia wanasema wanafanya operation ujue wanafanya operation.

Putin hataki kuichukua Ukraine iliyo vipande vipande anaitaka nzima nzima, na Ukraine.

Kwa hio mkuu Russia si nchi ya mchezo mchezo kwenye vita.

Halafu huwezi kumpangia mtu kushambulia vipi.
Wabongo kwa chai za kijinga hamjambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hazikuwapo na wala wale waasi hawakuwa wanasaidiwa na marekani. Lengo la Marekanikule ilikuwa ni kumtafuta kiongozi wa ISIS na walimpata.
Habari ya kuwasaka ISIS no cover story tu.
Mbona walikuwa wamewekeza kulinda visima vya mafuta maeneo ambayo serikali ya Syria ilikuwa imepoteza udhibiti sababu ya uasi?
 
Back
Top Bottom