Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Urusi anaeneo kubwa kigiographia kuliko nchi yoyote.Yaani ni nchi kubwa Sana kijiographia yaani marekani karibu mara 2 ndo unapata urusi Kwa hiyo sidhani kama urusi anataka eti kuvamia Ukraine ili kuongeza eneo lake ni kwamba USA anataka Ukraine ajiunge NATO ili USA waweke makombora yao Ukraine ili kuizunguka Urusi.acha tuishie hapo Tu.
Wapi US anataka Ukraine ajiunge na NATO? Ukraine ndio anataka hata leo awe sehemu ya NATO isipokuwa US ndio hawana huo mpango kwa sasa kuwakubali hao Ukraine. Fanya research kabla ya kuandika. Soma hapa kwa maelezo marefu.
 
Wapi US anataka Ukraine ajiunge na NATO? Ukraine ndio anataka hata leo awe sehemu ya NATO isipokuwa US ndio hawana huo mpango kwa sasa kuwakubali hao Ukraine. Fanya research kabla ya kuandika. Soma hapa kwa maelezo marefu.
Sasa kwanini NATO wanaingilia huo ugomvi kama hawataki Ukraine ajiunge nao?urusi hataki sasa Kwa sababu ya usalama wao.
 
Ngoja na wewe nikujibu kitoto kama ulivyonijibu.
Marekani ili kwenda anga za mbali hutumia vyombo vyenye injini zilizotengenezwa urusi.
kwahiyo kumbe wanatuchezea akili zetu tu, kuna wakati wanakaa meza moja wanagonga glass na kutucheka sana sisi tunavyoamini wao ni maadui, kumbe ni wachezesha dishi la maslahi tu.
 
Russia haiwezi kuivamia Ukraine kazi alishamaliza 2014 na umoja wa ulaya na washirika wake hawawezi kuipa uanachama wa NATO Ukraine wanakumbuka vizuri kilichotokea Georgia 2006. Urusi ukimbusu naye anakubusu
 
Kupeleka Jeshi nje ya Russia ni gharama kubwa sana
Na sasa nchi zote za Ulaya zinajipanga kususia gesi kutoka Russia.
Putin sio mjinga kupeleka wanajeshi Cuba kuigharimu bila sababu, hizo akili ndio ziliuwa USSR kwa kufanya vitu kiushabiki bila kuwa na mkakati wa kiuchumi.
Uchumi wa Russia kidunia ni sawa na nchi ya Spain,
 
Wapi US anataka Ukraine ajiunge na NATO? Ukraine ndio anataka hata leo awe sehemu ya NATO isipokuwa US ndio hawana huo mpango kwa sasa kuwakubali hao Ukraine. Fanya research kabla ya kuandika. Soma hapa kwa maelezo marefu.
sio hawana mpango wakuwakubali mpango wanao sana ila wakikumbuka heka heka za bwana PUTIN wanakua tu wapole yaani
 
Kupeleka Jeshi nje ya Russia ni gharama kubwa sana
Na sasa nchi zote za Ulaya zinajipanga kususia gesi kutoka Russia.
Putin sio mjinga kupeleka wanajeshi Cuba kuigharimu bila sababu, hizo akili ndio ziliuwa USSR kwa kufanya vitu kiushabiki bila kuwa na mkakati wa kiuchumi.
Uchumi wa Russia kidunia ni sawa na nchi ya Spain,
endelea kujidanganya kama kupeleka jeshi nje gharama kule SYRIA kapeleka wanafunzi au?
kama sawa na SPAIN ndio waivamie sasa waifanye iwe kama KENYA
 
Kamwe USA hawezi kuanzisha vita dhidi ya Urusi na kamwe NATO haitoibgia vitani na Urusi. Usicheze na nyuklia bomb bro. Ukililipua hewani bado unapata madhara likitua ndio usiseme.
Kumbuka Urusi ina over 6,000 nuklia bombs. Sasa nani atakubali lipigwe kwake
 
endelea kujidanganya kama kupeleka jeshi nje gharama kule SYRIA kapeleka wanafunzi au?
kama sawa na SPAIN ndio waivamie sasa waifanye iwe kama KENYA
Endelea kusoma vichwa habari kwenye meza za magazeti...
Syria ilienda kununua huduma ya kijeshi kutoka Russia, na walioenda ni mamluki..waendea bure kwani Putin amekuwa zuzu

haya kama lugha unaiweza...
 
Kupeleka Jeshi nje ya Russia ni gharama kubwa sana
Na sasa nchi zote za Ulaya zinajipanga kususia gesi kutoka Russia.
Putin sio mjinga kupeleka wanajeshi Cuba kuigharimu bila sababu, hizo akili ndio ziliuwa USSR kwa kufanya vitu kiushabiki bila kuwa na mkakati wa kiuchumi.
Uchumi wa Russia kidunia ni sawa na nchi ya Spain,
😄😄😄 Russia akifunga bomba lake la gas hata kwa siku 1 tu Ulaya watakufa Kama kuku.
 
Endelea kusoma vichwa habari kwenye meza za magazeti...
Syria ilienda kununua huduma ya kijeshi kutoka Russia, na walioenda ni mamluki..waendea bure kwani Putin amekuwa zuzu

haya kama lugha unaiweza...
Ukiwekewa habari ambayo source yake Ni kutoka RT media nawe utakua tayari kuipokea?
 
Ukiwekewa habari ambayo source yake Ni kutoka RT media nawe utakua tayari kuipokea?

😀😀
Ulaya nzima wanailaumu Germany kuwa tegemezi kwa gesi ya Russia
Wanamwambia ni weakest link....
Sasa Germany kajitutumua na juzi kaifungia chaneli ya udaku ya Russia RT, eti na Russia kafungia DWelle ya Germany..😂😂
Kama unafuatilia biashara ya energy sector, Antlantic ocean imejaa meli za US zinaleta liquidified gas kwa nchi za Ulaya...
Na Qatar ambaye ni major gas producer katika mashariki ya kati, kajifunga kibwebwe kuwamwagia gesi ya kutosha kwa mabeberu..
Hapo ndio utajua Putini anabipu lakini hana bando la kupiga simu na kuongea......
 
Back
Top Bottom