Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Nilikuomba unipe mfano mmoja tu wa "operation ya wazi" ya mashambulizi ya anga ya Uingereza nchini Syria kabla ya approval ya bunge 2015, mpaka sasa haujaleta hapa, badala yake, umeleta covert operation. Ni nani anayeleta sarakasi hapo?

Hakuna mahali niliposema kuwa serikali ya Uingereza haijawahi kufanya shambulizi lolote la kijeshi bila ridhaa ya bunge. Kwanza hakuna sheria inayoizuia serikali kufanya hivyo. Ila, shambulizi ni pale tu ambapo kutakuwa na justification ya kufanya hivyo kulingana na sheria ya kimataifa.

Nilisema, kilichokuwa kikifanyika Syria kabla ya approval ya bunge 2015, kilikuwa ni covert operations ambazo huwa hazina[ga] hata uhitaji wa ku-deploy majeshi ya nchi kwa maana ya military intervention. Ni operations za serikali ambazo ni za siri. Taarifa zimekuja kuletwa baadaye! Na nilishukuru sana pale ulipoleta ile taarifa ambayo imeonesha mfano wa covert operation.

Nafahamu kuna mjadala mkubwa kuhusu mamlaka ya bunge kuhusiana na masuala ya kijeshi, lakini huo ni mjadala ambao hauendani na siasa na uhusika wa Uingereza katika mgogoro wa Syria katika uhalisia wake.

Katika issue ya military intervention nchini Syria, bunge la Uingereza limekuwa likifanya debate na kuamua kwa kura kuhusiana na masuala ambayo tumekuwa tukijadili hapa. Huo ndio uhalisia wa mambo! Hivi ndivyo ambavyo siasa za Uingereza zimekuwa zikifanyika hususani katika kipindi cha mgogoro wa Syria.

Hii hapa ni ripoti ya operations za Iraq pamoja na Syria ya hadi mwezi Machi, 2017:

Katika hiyo ripoti kuna mahali panasema hivi, nanukuu:

"On 30 September 2014 Tornado aircraft carried out their first airstrikes on ISIS targets in Iraq (Operation Shader). RAF Tornado aircraft conducted the first offensive operation in Syria on 3 December 2015. RAF aircraft had, however, been conducting non-offensive surveillance operations over Syria since 21 October 2014."

Mwisho wa kunukuu.

Zingatia sana hapo panaposema: "first offensive operation".

Ni hivi! Baada ya lile azimio la Cameron la 2013 la kutaka Uingereza kupeleka majeshi Syria kushindikana bungeni, serikali ilisema wazi kuwa itayaheshimu maamuzi ya bunge.

Ndio maana hatukusikia deployment yoyote ile ya majeshi ya Uingereza nchini Syria ukiachana na hizo covert operations. Deployment ya kwanza ilifanyika mwaka 2015 baada ya kupigiwa kura bungeni. Muda mchache baadaye, tulianza kuona majeshi yakipelekwa Syria kwenda kupiga mabomu.

Pia, pitia taarifa hii:

Narudia! Mashambulizi ya kwanza kabisa ya majeshi ya Uingereza dhidi ya ISIL ama ISIS nchini Syria ni baada ya approval ya bunge mwezi Disemba mwaka 2015. Nilikuomba ulete ushahidi wa shambulizi moja tu la wazi la Uingereza nchini Syria dhidi ya ISIL kabla ya approval ya bunge mwaka 2015. Kwa kifupi tu, hakuna!

Jibu lako linaonesha hujasoma chochote kwenye hizo links nilizokupa sababu ungesoma usingerudia kuleta hiyo habari ya guardian ambayo pia imeelezewa tayari.

Pia Unajichanganya mno, kama ulikuwa unajua hakuna sheria inayozuia serikali kufanya mashambulizi kwanini ulisema baada ya december 2015 mashambulizi yote ni direct military intervention kwa kuwa bunge lina taarifa? Ok tufanye hukusema au kumaanisha hivyo sasa kuna utofauti gani wa hilo shambulizi lililofanyika 2018 na hayo yaliyofanyika kabla ya dec. 2015.

Unasema hili la 2018 walitoa justification ya shambulizi kwani yaliyokuwa yanafanyika kabla ya dec. 2015 kulikuwa hakuna justification?. Au hata hili lililofanyika muda mfupi baada ya bunge kuidhinisha mashambulizi, hiyo idhini siyo sehemu ya sababu kuhalalisha shambulizi.

Kwenye link ya kwanza umequote sehemu wanasema hiyo dec. 3 2015 ni first offensive operation lakini unachosahau ni kwamba kinachozungumziwa hapo ni ndege hiyo ya Raf tornardo. Lakini pia tuseme wanamaanisha jeshi la uingereza hiyo ndio first offensive operation yao na kilichokuwa kabla ya hapo ni defensive operations, je hii inabadilisha nini juu ya ushiriki wa jeshi la Uingereza nchini Syria.

Nitafupisha maelezo ya kilichomo kwenye Link ya kwanza maelezo yapo wazi kuwa Cameroon hakuwa na ulazima wa kulisikiliza bunge kwenye maamuzi ya kura zilizopigwa 2013 alichofanya yeye ni kuamua kuheshimu tu mawazo ya bunge ila sheria haimlazimishi afate maamuzi ya bunge. Theresa May kwa kutambua hiyo sheria ndomaana hakuangaika na mambo ya bunge.

Ile idhini ya dec. 2015 sio sheria kuwa inahalalalisha kila shambulizi, ilikuwa halali kwenye lile shambulizi walilolifanya muda mfupi baada ya kupiga kura basi.

Soma kwanza hizo links, ni taarifa rasmi na zinaeleza sheria za uingereza kuhusu hayo mambo ya kijeshi. Wameelezea kuanzia Iraq hadi kikao cha bunge mwaka 2013, 2015 na tukio la 2018.
 
Jibu lako linaonesha hujasoma chochote kwenye hizo links nilizokupa sababu ungesoma usingerudia kuleta hiyo habari ya guardian ambayo pia imeelezewa tayari.

Pia Unajichanganya mno, kama ulikuwa unajua hakuna sheria inayozuia serikali kufanya mashambulizi kwanini ulisema baada ya december 2015 mashambulizi yote ni direct military intervention kwa kuwa bunge lina taarifa? Ok tufanye hukusema au kumaanisha hivyo sasa kuna utofauti gani wa hilo shambulizi lililofanyika 2018 na hayo yaliyofanyika kabla ya dec. 2015.

Unasema hili la 2018 walitoa justification ya shambulizi kwani yaliyokuwa yanafanyika kabla ya dec. 2015 kulikuwa hakuna justification?. Au hata hili lililofanyika muda mfupi baada ya bunge kuidhinisha mashambulizi, hiyo idhini siyo sehemu ya sababu kuhalalisha shambulizi.

Kwenye link ya kwanza umequote sehemu wanasema hiyo dec. 3 2015 ni first offensive operation lakini unachosahau ni kwamba kinachozungumziwa hapo ni ndege hiyo ya Raf tornardo. Lakini pia tuseme wanamaanisha jeshi la uingereza hiyo ndio first offensive operation yao na kilichokuwa kabla ya hapo ni defensive operations, je hii inabadilisha nini juu ya ushiriki wa jeshi la Uingereza nchini Syria.

Nitafupisha maelezo ya kilichomo kwenye Link ya kwanza maelezo yapo wazi kuwa Cameroon hakuwa na ulazima wa kulisikiliza bunge kwenye maamuzi ya kura zilizopigwa 2013 alichofanya yeye ni kuamua kuheshimu tu mawazo ya bunge ila sheria haimlazimishi afate maamuzi ya bunge. Theresa May kwa kutambua hiyo sheria ndomaana hakuangaika na mambo ya bunge.

Ile idhini ya dec. 2015 sio sheria kuwa inahalalalisha kila shambulizi, ilikuwa halali kwenye lile shambulizi walilolifanya muda mfupi baada ya kupiga kura basi.

Soma kwanza hizo links, ni taarifa rasmi na zinaeleza sheria za uingereza kuhusu hayo mambo ya kijeshi. Wameelezea kuanzia Iraq hadi kikao cha bunge mwaka 2013, 2015 na tukio la 2018.
Nimepitia na kusoma kila link uliyoleta humu. Sijaacha chochote ndugu! Pia, nimekuambia nafahamu kuwa kuna mjadala mkubwa kuhusu mamlaka ya bunge juu ya masuala mbalimbali ya kijeshi.

Kwa kweli, sijaiona hoja ya msingi kwa hiki ulichoandika hapa kwa sasa. Mjadala ulikuwa ni kuhusu mpango wa direct military intervention wa Marekani na washirika wake katika mgogoro wa Syria. Hapo ni lazima ufuate timeline kuhusu mgogoro huo. Nimeeleza vizuri tu kwamba mpango ulikuwepo muda mrefu lakini haukuungwa mkono kikamilifu. Nimeeleza pia ni jinsi gani ulishindwa kuungwa mkono kikamilifu.

Kuhusu suala la Waziri Mkuu kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, nimeshalitolea ufafanuzi. Kwamba, operations zilizokuwa zikifanyika hapo kabla kuhusu Syria zilikuwa za siri (covert operations). Hapajawahi kuwa na deployment yoyote ile ya majeshi ya Uingereza kufanya intervention nchini Syria dhidi ya ISIS kabla ya Disemba 3, 2015.

Hiyo siku baada ya bunge kuidhinisha, ndio msingi wa uhusika wa Uingereza nchini Syria kijeshi na ndio uamuzi uliopanua wigo wa hiki kinachoitwa 'Operation Shader' dhidi ya ISIS iliyokuwa ikifanyika Iraq iweze kufanyika pia Syria. Operation zote mbili ziliidhinishwa na bunge katika vipindi viwili tofauti.

Hiyo paragraph yako ya nne inaonesha kuwa kuna haja ya kuanza kufundishana kiingereza hapa. Mjadala wa msingi tuuweke pembeni kwanza. Ndio maana nilisema upazingatie hapo sana maana nilihisi tu kwamba patakuchanganya.

Soma hiyo sentensi ya pili baada ya hiyo operation ya Iraq. Katika sentensi ya kwanza inasema hivi: "their first airstrikes". Hiyo sentensi inayofuata inasema: "the first offensive operation". Mpaka hapo bado haujaona utofauti? Tofautisha kati ya "their" na "the". Ni kiingereza rahisi tu. Kuna shida gani?

Hilo suala la airstrikes bila approval ya bunge lina mgogoro mkubwa sana nchini Uingereza. Ndio maana nilisema kuwa uhusika wa Uingereza unapaswa kutazamwa pia kisiasa nchini Uingereza na katika uhalisia wake. Sidhani kama umenisoma vizuri katika post yangu iliyopita. Hiyo ni hoja nyingine kabisa na impact yake ni ndogo sana kwenye ushiriki wa majeshi ya Uingereza tangu mgogoro wa Syria ulipoanza. Zingatia timeline!

Nimekwisha eleza sababu hapa kwamba, ushiriki wa majeshi ya Uingereza kwa mara ya kwanza katika operation dhidi ya ISIL nchini Iraq na Syria uliidhinishwa na bunge. Kabla ya hapo, kulikuwa na humanitarian aid na surveillance kulingana na ripoti. Masuala ya humanitarian aid na surveillance sio military intervention. Military interventions zinahusisha upelekaji wa majeshi katika eneo husika.

Kama Uingereza ingeingia katika mgogoro huyo moja kwa moja kupitia military intervention ya Waziri Mkuu bila ridhaa ya bunge, hoja ya Waziri Mkuu kutolazimika kupata kibali cha bunge kuhusu majeshi ingekuwa na impact katika uamuzi wa Uingereza kuingia katika mgogoro huo. Lakini, hilo ni tofauti kabisa maana tumeshuhudia Uingereza ikiingilia kijeshi kwa mara ya kwanza nchini Syria baada ya idhini ya bunge. Waziri Mkuu wa wakati huo hakulikwepa bunge katika suala hilo, hivyo hiyo hoja katika hizo links ulizoleta, haina impact hapa.

Huyo Theresa May unayesema kuwa alifanya maamuzi bila bunge kuridhia, nafikiri unafahamu upinzani aliokutana nao kisiasa nchini Uingereza. Hata hivyo, maamuzi yake hayana impact yoyote katika suala la kuanzishwa kwa Operation Shader nchini Syria kwa sababu Uingereza tayari ilikwisha ingia kijeshi nchini Syria kuanzia siku ile ya Disemba 3, 2015. Nilisema, zingatia timeline!

Ndiyo maana mwanzoni katika andiko hili nimesema kwamba, sijaona hoja ya msingi kutokana na kile ulichosema.

Pia, ile taarifa uliyoileta hapa ya shambulizi la drone, nilisema haikidhi kigezo cha kuwa military intervention nchini Syria. By the way, wakati bunge linaidhinisha mashambulizi nchini Iraq mwaka 2014, Waziri Mkuu alisema bungeni kuwa serikali ina haki ya kufanya shambulizi sehemu nyingine tofauti na Iraq pale tu maslahi ya Uingereza na raia wake yatakapokuwa katika hatari kubwa.

Alitamka: "critical British national interest at stake". Isome hiyo taarifa uliyoileta hapa kuhusu lile shambulizi la drone, hiyo kauli imenukuliwa humo.

Ni wazi kabisa hiyo kauli aliyoitoa bungeni mwaka 2014, imetumika kuhalalisha hilo shambulizi, ukisoma vizuri hiyo statement ya Waziri Mkuu baada ya shambulizi lenyewe. Isitoshe, ni shambulizi dhidi ya mtu mmoja ambaye ndiye alikuwa 'target' licha ya kwamba walikufa watu wawili katika hilo gari.

Hiyo inakuambia kwamba, hilo shambulizi lilikuwa covert operation, ukizingatia mlengwa wa shambulizi hilo na jinsi ambavyo limefanyika (usiri). Jambo la pili! Shambulio hilo sio military intervention kwa sababu hakuna majeshi ya Uingereza yaliyopelekwa kwenda kutekeleza shambulio la namna hiyo katika eneo hilo. Nafikiri nimeeleweka!
 
Nimepitia na kusoma kila link uliyoleta humu. Sijaacha chochote ndugu! Pia, nimekuambia nafahamu kuwa kuna mjadala mkubwa kuhusu mamlaka ya bunge juu ya masuala mbalimbali ya kijeshi.

Kwa kweli, sijaiona hoja ya msingi kwa hiki ulichoandika hapa kwa sasa. Mjadala ulikuwa ni kuhusu mpango wa direct military intervention wa Marekani na washirika wake katika mgogoro wa Syria. Hapo ni lazima ufuate timeline kuhusu mgogoro huo. Nimeeleza vizuri tu kwamba mpango ulikuwepo muda mrefu lakini haukuungwa mkono kikamilifu. Nimeeleza pia ni jinsi gani ulishindwa kuungwa mkono kikamilifu.

Kuhusu suala la Waziri Mkuu kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, nimeshalitolea ufafanuzi. Kwamba, operations zilizokuwa zikifanyika hapo kabla kuhusu Syria zilikuwa za siri (covert operations). Hapajawahi kuwa na deployment yoyote ile ya majeshi ya Uingereza kufanya intervention nchini Syria dhidi ya ISIS kabla ya Disemba 3, 2015.

Hiyo siku baada ya bunge kuidhinisha, ndio msingi wa uhusika wa Uingereza nchini Syria kijeshi na ndio uamuzi uliopanua wigo wa hiki kinachoitwa 'Operation Shader' dhidi ya ISIS iliyokuwa ikifanyika Iraq iweze kufanyika pia Syria. Operation zote mbili ziliidhinishwa na bunge katika vipindi viwili tofauti.

Hiyo paragraph yako ya nne inaonesha kuwa kuna haja ya kuanza kufundishana kiingereza hapa. Mjadala wa msingi tuuweke pembeni kwanza. Ndio maana nilisema upazingatie hapo sana maana nilihisi tu kwamba patakuchanganya.

Soma hiyo sentensi ya pili baada ya hiyo operation ya Iraq. Katika sentensi ya kwanza inasema hivi: "their first airstrikes". Hiyo sentensi inayofuata inasema: "the first offensive operation". Mpaka hapo bado haujaona utofauti? Tofautisha kati ya "their" na "the". Ni kiingereza rahisi tu. Kuna shida gani?

Hilo suala la airstrikes bila approval ya bunge lina mgogoro mkubwa sana nchini Uingereza. Ndio maana nilisema kuwa uhusika wa Uingereza unapaswa kutazamwa pia kisiasa nchini Uingereza na katika uhalisia wake. Sidhani kama umenisoma vizuri katika post yangu iliyopita. Hiyo ni hoja nyingine kabisa na impact yake ni ndogo sana kwenye ushiriki wa majeshi ya Uingereza tangu mgogoro wa Syria ulipoanza. Zingatia timeline!

Nimekwisha eleza sababu hapa kwamba, ushiriki wa majeshi ya Uingereza kwa mara ya kwanza katika operation dhidi ya ISIL nchini Iraq na Syria uliidhinishwa na bunge. Kabla ya hapo, kulikuwa na humanitarian aid na surveillance kulingana na ripoti. Masuala ya humanitarian aid na surveillance sio military intervention. Military interventions zinahusisha upelekaji wa majeshi katika eneo husika.

Kama Uingereza ingeingia katika mgogoro huyo moja kwa moja kupitia military intervention ya Waziri Mkuu bila ridhaa ya bunge, hoja ya Waziri Mkuu kutolazimika kupata kibali cha bunge kuhusu majeshi ingekuwa na impact katika uamuzi wa Uingereza kuingia katika mgogoro huo. Lakini, hilo ni tofauti kabisa maana tumeshuhudia Uingereza ikiingilia kijeshi kwa mara ya kwanza nchini Syria baada ya idhini ya bunge. Waziri Mkuu wa wakati huo hakulikwepa bunge katika suala hilo, hivyo hiyo hoja katika hizo links ulizoleta, haina impact hapa.

Huyo Theresa May unayesema kuwa alifanya maamuzi bila bunge kuridhia, nafikiri unafahamu upinzani aliokutana nao kisiasa nchini Uingereza. Hata hivyo, maamuzi yake hayana impact yoyote katika suala la kuanzishwa kwa Operation Shader nchini Syria kwa sababu Uingereza tayari ilikwisha ingia kijeshi nchini Syria kuanzia siku ile ya Disemba 3, 2015. Nilisema, zingatia timeline!

Ndiyo maana mwanzoni katika andiko hili nimesema kwamba, sijaona hoja ya msingi kutokana na kile ulichosema.

Pia, ile taarifa uliyoileta hapa ya shambulizi la drone, nilisema haikidhi kigezo cha kuwa military intervention nchini Syria. By the way, wakati bunge linaidhinisha mashambulizi nchini Iraq mwaka 2014, Waziri Mkuu alisema bungeni kuwa serikali ina haki ya kufanya shambulizi sehemu nyingine tofauti na Iraq pale tu maslahi ya Uingereza na raia wake yatakapokuwa katika hatari kubwa.

Alitamka: "critical British national interest at stake". Isome hiyo taarifa uliyoileta hapa kuhusu lile shambulizi la drone, hiyo kauli imenukuliwa humo.

Ni wazi kabisa hiyo kauli aliyoitoa bungeni mwaka 2014, imetumika kuhalalisha hilo shambulizi, ukisoma vizuri hiyo statement ya Waziri Mkuu baada ya shambulizi lenyewe. Isitoshe, ni shambulizi dhidi ya mtu mmoja ambaye ndiye alikuwa 'target' licha ya kwamba walikufa watu wawili katika hilo gari.

Hiyo inakuambia kwamba, hilo shambulizi lilikuwa covert operation, ukizingatia mlengwa wa shambulizi hilo na jinsi ambavyo limefanyika (usiri). Jambo la pili! Shambulio hilo sio military intervention kwa sababu hakuna majeshi ya Uingereza yaliyopelekwa kwenda kutekeleza shambulio la namna hiyo katika eneo hilo. Nafikiri nimeeleweka!
Kama umesoma hizo links ni wazi umetoka kapa sababu unachokisema hapa ni mijadala ya bunge ambayo kimsingi hiyo link ya kwanza ndio imejibu kwa kuelezea mamlaka ya serikali kikatiba kuwa hata bunge lisingeidhinisha mashambulizi ya anga bado serikali ingeweza kuyatekeleza kama ingeamua kufanya hivyo na bado ingekuwa haijavunja katiba na kiukweli iliyatekeleza kabla hata ya dec. 2015. Shida ninayoiona hapa ni kwamba unaegemea kwenye maneno mazuri ya kijeshi yaliyokuja dec. 2015(operation shader) wakati unajua kabisa mashambulizi yalikuwepo kabla hata ya dec. 2015.

Swala la kutumia national interest kama sababu ya kutolitaarifu bunge limejadiliwa kwenye link ya kwanza na wameelezea kikatiba imekaaje. Ipitie.

Hivi inabidi ujitoe akili kiasi gani kutokujua kilichokuwa kinaendelea Syria. Hii hapa series of events kabla ya dec. 3
1)wametangaza vita dhidi ya ISIL nchini Syria
2)wameweka ndege za uchunguzi_inajulikana.
3)wamefanya shambulio la kwanza kwa kutumia drone
4) wameshambulia tena kwa drone.

Hilo tukio la tatu linapotokea,litakushtua nini wakati tayari wameshatangaziwa vita na surveillance drones zipo tayari bila kuruhusiwa na serikali ya Syria. Kwa mfano, bunge lisingepiga kura hiyo dec. 3 lakini mashambulizi bado yanaendelea, kwa tafsiri yako bado ungeendelea kuyaita ni covert operations tu. Samahani ila siwezi kujitoa akili kujifanya nashtuka kila tukio la mashambulizi wakati tayari vita imeshatangazwa na kuna vifaa vya kijeshi Syria.

Tukija kwenye maana ya millitary intervention. tafsiri yako ni hii,kuweka surveillance drones na kufanya mashambulizi kwa kutumia drones kwenye nchi ambayo hujaalikwa bado sio millitary intervention mpaka kuwe na deployment of troops. Pia Sijajua kwenye hiyo tafsiri yako inabdi washambuliwe watu wangapi ili iwe millitary intervention. Hata zingekuwa drones 1000 za jeshi la uingereza nchini Syria bado hiyo haitoshi kuiita military intervention kwa hiyo tafsiri uliyotoa.

Definition uliyoleta ya intervention inasema"using force to interfere with other nations affairs in a way that affects that nation's control over its territory or population" . Swali kwako, yale mashambulizi ya anga kabla ya dec. 2015 kwa kutumia drones yanakuwaje sio millitary intervention?

Tafsiri yangu ni , bila kujali kuna idhini ya bunge au lah ilimradi jeshi la Uingereza linafanya operations za kijeshi kwenye nchi ambayo hawajaruhusiwa hiyo ni millitary intervention tayari. Hakuna utofauti kati kuuliwa na drone,ndege ya rubani au mwanajeshi wa ardhini kwa kuwa mwisho wa siku mtekelezaji wa mashambulizi yote haya ni jeshi la Uingereza na kufa ni kulekule tu.

Kuhusu Raf tornardo aircraft, huna haja ya kuzunguka sentensi hii hapa, " Raf Tornardo aircraft conducted the first offensive operation in syria". Tafsiri.
 
Kama umesoma hizo links ni wazi umetoka kapa sababu unachokisema hapa ni mijadala ya bunge ambayo kimsingi hiyo link ya kwanza ndio imejibu kwa kuelezea mamlaka ya serikali kikatiba kuwa hata bunge lisingeidhinisha mashambulizi ya anga bado serikali ingeweza kuyatekeleza kama ingeamua kufanya hivyo na bado ingekuwa haijavunja katiba na kiukweli iliyatekeleza kabla hata ya dec. 2015. Shida ninayoiona hapa ni kwamba unaegemea kwenye maneno mazuri ya kijeshi yaliyokuja dec. 2015(operation shader) wakati unajua kabisa mashambulizi yalikuwepo kabla hata ya dec. 2015.

Swala la kutumia national interest kama sababu ya kutolitaarifu bunge limejadiliwa kwenye link ya kwanza na wameelezea kikatiba imekaaje. Ipitie.

Hivi inabidi ujitoe akili kiasi gani kutokujua kilichokuwa kinaendelea Syria. Hii hapa series of events kabla ya dec. 3
1)wametangaza vita dhidi ya ISIL nchini Syria
2)wameweka ndege za uchunguzi_inajulikana.
3)wamefanya shambulio la kwanza kwa kutumia drone
4) wameshambulia tena kwa drone.

Hilo tukio la tatu linapotokea,litakushtua nini wakati tayari wameshatangaziwa vita na surveillance drones zipo tayari bila kuruhusiwa na serikali ya Syria. Kwa mfano, bunge lisingepiga kura hiyo dec. 3 lakini mashambulizi bado yanaendelea, kwa tafsiri yako bado ungeendelea kuyaita ni covert operations tu. Samahani ila siwezi kujitoa akili kujifanya nashtuka kila tukio la mashambulizi wakati tayari vita imeshatangazwa na kuna vifaa vya kijeshi Syria.

Tukija kwenye maana ya millitary intervention. tafsiri yako ni hii,kuweka surveillance drones na kufanya mashambulizi kwa kutumia drones kwenye nchi ambayo hujaalikwa bado sio millitary intervention mpaka kuwe na deployment of troops. Pia Sijajua kwenye hiyo tafsiri yako inabdi washambuliwe watu wangapi ili iwe millitary intervention. Hata zingekuwa drones 1000 za jeshi la uingereza nchini Syria bado hiyo haitoshi kuiita military intervention kwa hiyo tafsiri uliyotoa.

Definition uliyoleta ya intervention inasema"using force to interfere with other nations affairs in a way that affects that nation's control over its territory or population" . Swali kwako, yale mashambulizi ya anga kabla ya dec. 2015 kwa kutumia drones yanakuwaje sio millitary intervention?

Tafsiri yangu ni , bila kujali kuna idhini ya bunge au lah ilimradi jeshi la Uingereza linafanya operations za kijeshi kwenye nchi ambayo hawajaruhusiwa hiyo ni millitary intervention tayari. Hakuna utofauti kati kuuliwa na drone,ndege ya rubani au mwanajeshi wa ardhini kwa kuwa mwisho wa siku mtekelezaji wa mashambulizi yote haya ni jeshi la Uingereza na kufa ni kulekule tu.

Kuhusu Raf tornardo aircraft, huna haja ya kuzunguka sentensi hii hapa, " Raf Tornardo aircraft conducted the first offensive operation in syria". Tafsiri.
Soma hizi sentensi mbili hapa chini kisha tambua utofauti!

1. RAF Tornado aircraft conducted the first offensive operation in Syria.

2. RAF Tornado aircraft conducted its first offensive operation in Syria.

Kama unashindwa kuielewa sentensi ndogo tu kama hiyo, masuala mengine makubwa zaidi ya kijeshi utayaelewa?

Unasema, walitangaza vita dhidi ya ISIL! Kutangaza vita kuna uhusiano gani na military intervention. Unaweza kutangaza vita na usiingie vitani directly, ama ukaingia vitani baadaye sana.

Suala la ISIL limeanza kuzungumziwa muda mrefu. Uingereza imekuja kuingia vitani kijeshi dhidi ya ISIL nchini Iraq kwa mara ya kwanza kabisa, mwezi Septemba, 2014. Hiyo ni baada ya Iraq kupeleka maombi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikihitaji msaada wa kupambana na ISIL.

Kabla ya hapo, kulikuwa na masuala ya msaada wa kibinadamu (humanitarian aid) na surveillance. Waziri wa Ulinzi, Michael Fallon, alipoulizwa kipindi hicho kuhusiana na suala la kwenda kushambulia kijeshi kwa maana ya military intervention, alisema wazi hadharani kuwa hawakuombwa kufanya hivyo na kwamba hawatafanya hivyo.

Kuhusu Syria, kipindi hichohicho cha mwaka 2014, Wizara ya Ulinzi iliweka wazi kuwa kulikuwa na operation za surveillance ambazo zilikuwa zikiendelea ndani ya Syria (nilileta ripoti hapa). Drones zilikuwa zinarushwa kutoka nchini Cyprus kwenda kufanya uchunguzi kisha zinarudishwa. Hakuna military intervention iliyofanyika kipindi hicho.

Hilo shambulizi moja la drone nchini Syria dhidi ya hao raia wawili wa Kiingereza lilitolewa ufafanuzi. Halihusiani na operation ya Uingereza nchini Syria dhidi ya ISIL ama ISIS, bali ni shambulizi ambalo mlengwa ama 'target' ni mtu aliyekuwa akitafutwa kwa madai ya kupanga mashambulizi Uingereza. Ile taarifa uliyoileta hapa mwenyewe, inathibitisha hilo. Ni vyema ukarejea katika hiyo taarifa!

Operation pekee ya Uingereza directly dhidi ya ISIL inaitwa OPERATION SHADER. Na ilianza Disemba 3, 2015 kwa upande wa Syria, baada ya kuidhinishwa na bunge. Pia, ni vyema ukasoma kuhusu hiyo operation!

Kwanini unazungumza mambo ambayo hayakuwepo? Unasema kwamba "bunge lisingepiga kura" wakati inafahamika kuwa bunge lilipiga kura kuidhinisha hiyo operation kwa mara ya kwanza kabisa, Hivyo ni kuzungumza mambo ambayo hayana uhalisia. Ndio maana nilisema, sioni hoja yoyote hapo. Hayo masuala ya drones 1000 yametoka wapi? Zungumza uhalisia wa mambo.

Kuhusu definition ya military intervention (hapa panahitaji umakini sana):
Kwanza, nilitoa definition ya neno 'intervention' kwamba: is the term for the use of force by one country or sovereign state in the internal or external affairs of another.

Mara hii, ninaleta tafsiri ya military intervention.

Ukitafuta kwa urahisi definitions kutoka Google, definition ya 'military intervention' inasema hivi: The deliberate act of a nation or a group of nations to introduce its military forces into the course of an existing controversy.

Kutokana na hiyo definition, existing controversy ni mgogoro wa Syria (Syrian civil war). Military forces ni majeshi. Military intervention ni kitendo cha nchi au kundi lenye nchi nyingi kuingiza majeshi yao katika uelekeo wa mgogoro uliopo.

Shambulizi la drone dhidi ya wale Waingereza wawili, haliko katika "course of an existing controversy" ndani ya Syria kwa sababu mlengwa katika yale mashambulizi alikuwa targeted muda mrefu akipanga mashambulizi katika ardhi ya Uingereza, kwa mujibu wa taarifa. Waziri Mkuu alisema bungeni kuwa, shambulizi hilo ni "act of self defence" kulingana na sheria za kimataifa. Isitoshe, Wizara ya Ulinzi ilitoa official statement kuwa, shambulizi hilo halihusiani kabisa na Operation Shader.

Kwa kifupi tu ni kwamba, hilo shambulizi halikuingilia mgogoro wa Syria kijeshi, bali lilikuwa ni tendo la kujilinda dhidi ya uwepo wa mashambulizi yaliyokuwa yakipangwa ndani ya ardhi ya Uingereza. Hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi.

Hiyo tafsiri yako ya military intervention sio sahihi. Military intervention lazima iwe katika course of an existing controversy. Pia, inaweza kuruhusiwa vilevile na nchi iliyokumbwa na mgogoro huo. Jaribu kusoma kwa makini kile nilichosema. Pia, usisahau kutambua utofauti wa zile sentensi mbili nilizoanza nazo.
 
Hawana hiyo budget Marekani mziki mwingine..
China na Urus watapata tabu sana.
Large group of Russian warships with Caliber missiles spotted off UK
A group of Russian warships — large anti-submarine ship Vice Admiral Kulakov, missile cruiser Marshal Ustinov, frigate Admiral Fleet Kasatonov and a group of escort ships - were spotted off the east coast of Great Britain. The appearance of a large number of ships carrying various types of missile weapons, including Caliber cruise missiles, near the borders of the United Kingdom forced London to send its ships and aircraft to monitor the movement of the Russian warships.
1644510596813.jpeg

Reportedly, the Russian warships are moving towards the English Channel at a speed of about 10 knots. Noteworthy, a patrol anti-submarine aircraft was seen to the west off Ireland. This may well indicate that a Russian nuclear submarine could also move from the Atlantic Ocean to the area of the naval exercises, although there is no official confirmation to such an assumption.
Russian exercises near the borders of NATO countries stirred up vivid discussions. A number of Western media outlets reported that the Russian Navy was conducting the exercises to practice an attack on NATO from the "black yard".
Russian Navy in the Norwegian Sea
Author`s name: Editorial Team
Topics
Popular
WORLD
Russian submarine with 160 nukes on board surfaces off US coast
Russian nuclear submarine of the Borey project, which carries 16 Bulava ballistic missiles on board, unexpectedly appeared off the coast of the United States
RUSSIA
Mission-ready nuclear submarines of Russian Pacific Navy urgently leave port
WORLD
Murmansk-BN systems turn F-35 fighters into scrap metal near Russian borders
HOTSPOTS AND INCIDENTS
Russian Su-30SM fighter attacks NATO's F-35 over Black Sea
 
Large group of Russian warships with Caliber missiles spotted off UK
A group of Russian warships — large anti-submarine ship Vice Admiral Kulakov, missile cruiser Marshal Ustinov, frigate Admiral Fleet Kasatonov and a group of escort ships - were spotted off the east coast of Great Britain. The appearance of a large number of ships carrying various types of missile weapons, including Caliber cruise missiles, near the borders of the United Kingdom forced London to send its ships and aircraft to monitor the movement of the Russian warships.
View attachment 2115111
Reportedly, the Russian warships are moving towards the English Channel at a speed of about 10 knots. Noteworthy, a patrol anti-submarine aircraft was seen to the west off Ireland. This may well indicate that a Russian nuclear submarine could also move from the Atlantic Ocean to the area of the naval exercises, although there is no official confirmation to such an assumption.
Russian exercises near the borders of NATO countries stirred up vivid discussions. A number of Western media outlets reported that the Russian Navy was conducting the exercises to practice an attack on NATO from the "black yard".
Russian Navy in the Norwegian Sea
Author`s name: Editorial Team
Topics
Popular
WORLD
Russian submarine with 160 nukes on board surfaces off US coast
Russian nuclear submarine of the Borey project, which carries 16 Bulava ballistic missiles on board, unexpectedly appeared off the coast of the United States
RUSSIA
Mission-ready nuclear submarines of Russian Pacific Navy urgently leave port
WORLD
Murmansk-BN systems turn F-35 fighters into scrap metal near Russian borders
HOTSPOTS AND INCIDENTS
Russian Su-30SM fighter attacks NATO's F-35 over Black Sea
Russia Noma Sana huu ni uzuri wa kuwekeza kwenye sayansi.
 
Soma hizi sentensi mbili hapa chini kisha tambua utofauti!

1. RAF Tornado aircraft conducted the first offensive operation in Syria.

2. RAF Tornado aircraft conducted its first offensive operation in Syria.

Kama unashindwa kuielewa sentensi ndogo tu kama hiyo, masuala mengine makubwa zaidi ya kijeshi utayaelewa?

Unasema, walitangaza vita dhidi ya ISIL! Kutangaza vita kuna uhusiano gani na military intervention. Unaweza kutangaza vita na usiingie vitani directly, ama ukaingia vitani baadaye sana.

Suala la ISIL limeanza kuzungumziwa muda mrefu. Uingereza imekuja kuingia vitani kijeshi dhidi ya ISIL nchini Iraq kwa mara ya kwanza kabisa, mwezi Septemba, 2014. Hiyo ni baada ya Iraq kupeleka maombi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikihitaji msaada wa kupambana na ISIL.

Kabla ya hapo, kulikuwa na masuala ya msaada wa kibinadamu (humanitarian aid) na surveillance. Waziri wa Ulinzi, Michael Fallon, alipoulizwa kipindi hicho kuhusiana na suala la kwenda kushambulia kijeshi kwa maana ya military intervention, alisema wazi hadharani kuwa hawakuombwa kufanya hivyo na kwamba hawatafanya hivyo.

Kuhusu Syria, kipindi hichohicho cha mwaka 2014, Wizara ya Ulinzi iliweka wazi kuwa kulikuwa na operation za surveillance ambazo zilikuwa zikiendelea ndani ya Syria (nilileta ripoti hapa). Drones zilikuwa zinarushwa kutoka nchini Cyprus kwenda kufanya uchunguzi kisha zinarudishwa. Hakuna military intervention iliyofanyika kipindi hicho.

Hilo shambulizi moja la drone nchini Syria dhidi ya hao raia wawili wa Kiingereza lilitolewa ufafanuzi. Halihusiani na operation ya Uingereza nchini Syria dhidi ya ISIL ama ISIS, bali ni shambulizi ambalo mlengwa ama 'target' ni mtu aliyekuwa akitafutwa kwa madai ya kupanga mashambulizi Uingereza. Ile taarifa uliyoileta hapa mwenyewe, inathibitisha hilo. Ni vyema ukarejea katika hiyo taarifa!

Operation pekee ya Uingereza directly dhidi ya ISIL inaitwa OPERATION SHADER. Na ilianza Disemba 3, 2015 kwa upande wa Syria, baada ya kuidhinishwa na bunge. Pia, ni vyema ukasoma kuhusu hiyo operation!

Kwanini unazungumza mambo ambayo hayakuwepo? Unasema kwamba "bunge lisingepiga kura" wakati inafahamika kuwa bunge lilipiga kura kuidhinisha hiyo operation kwa mara ya kwanza kabisa, Hivyo ni kuzungumza mambo ambayo hayana uhalisia. Ndio maana nilisema, sioni hoja yoyote hapo. Hayo masuala ya drones 1000 yametoka wapi? Zungumza uhalisia wa mambo.

Kuhusu definition ya military intervention (hapa panahitaji umakini sana):
Kwanza, nilitoa definition ya neno 'intervention' kwamba: is the term for the use of force by one country or sovereign state in the internal or external affairs of another.

Mara hii, ninaleta tafsiri ya military intervention.

Ukitafuta kwa urahisi definitions kutoka Google, definition ya 'military intervention' inasema hivi: The deliberate act of a nation or a group of nations to introduce its military forces into the course of an existing controversy.

Kutokana na hiyo definition, existing controversy ni mgogoro wa Syria (Syrian civil war). Military forces ni majeshi. Military intervention ni kitendo cha nchi au kundi lenye nchi nyingi kuingiza majeshi yao katika uelekeo wa mgogoro uliopo.

Shambulizi la drone dhidi ya wale Waingereza wawili, haliko katika "course of an existing controversy" ndani ya Syria kwa sababu mlengwa katika yale mashambulizi alikuwa targeted muda mrefu akipanga mashambulizi katika ardhi ya Uingereza, kwa mujibu wa taarifa. Waziri Mkuu alisema bungeni kuwa, shambulizi hilo ni "act of self defence" kulingana na sheria za kimataifa. Isitoshe, Wizara ya Ulinzi ilitoa official statement kuwa, shambulizi hilo halihusiani kabisa na Operation Shader.

Kwa kifupi tu ni kwamba, hilo shambulizi halikuingilia mgogoro wa Syria kijeshi, bali lilikuwa ni tendo la kujilinda dhidi ya uwepo wa mashambulizi yaliyokuwa yakipangwa ndani ya ardhi ya Uingereza. Hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi.

Hiyo tafsiri yako ya military intervention sio sahihi. Military intervention lazima iwe katika course of an existing controversy. Pia, inaweza kuruhusiwa vilevile na nchi iliyokumbwa na mgogoro huo. Jaribu kusoma kwa makini kile nilichosema. Pia, usisahau kutambua utofauti wa zile sentensi mbili nilizoanza nazo
Ulishasema tayari nimekosea kutafsiri hiyo sentensi, Post iliyopita nilikuambia utafsiri wewe na nilitegemea niione hiyo tafsiri nashangaa umerudi na vijembe badala ya tafsiri.

Kuna mambo ni mepesi tu, kitendo cha Uingereza kwenda kuua watu Syria, hapo tayari tunazungumzia international law, na kusema lile tukio ni la kujihami kwa kuwa tu waziri mkuu amesema hivyo, huo unakuwa ni ukasuku. Tuangalie sheria tuone je ni kweli tukio lile haliendi kinyume na sheria za kimataifa.

Kama kuna mhalifu Uingereza inamtaka kuna taratibu maalum za kuwasiliana na serikali ya nchi husika kufanikisha hilo sio kupeleka drones.

hiyo definition ya military intervention uliyoileta mbona mapungufu sana."to introduce its military forces into another nation in the course of existing controversy"
1)endapo itatokea nchi moja imeivamia nyingine kijeshi bila kuwa na mgogoro wowote basi hiyo sio military intervention kwa mujibu wa hiyo definition.swali ni kuwa uvamizi wa aina hii tutauitaje?

Pia, ningependa kujua hii definition uliyoileta ya military intervention umeitoa wapi?

Zamani majeshi ya anga yalikuwa yanatumia binadamu tu kuendesha ndege lakini kutokana na mabadiliko ya teknolojia sasa hivi huhitaji mtu ndani ya ndege kufanya mashambulizi.

kutumia drones nasema ni military intervention kwa kuwa hazijipeleki zenyewe kwenda kufanya mashambulizi, kuna watu wanazoindesha wapo chini. wewe unasema mashambulizi ya drones sio military intervention sasa huo uvamizi tunauitaje?

Nilitoa mfano wa drones 1000 kuonesha mapungufu ya tafsiri yako ya military intervention kuwa hata endapo itatokea nchi fulani imetuma drones 1000 kwenda nchi nyingine kushambulia bado tukio hili hatuwezi kuliita military intervention kwa mujibu wa tafsiri uliyoitoa.

Pia hapo niliposema hata bunge lisingepiga kura, nilikuwa naelezea sheria za uingereza baada ya kuona mwenzangu mweupe.
 
Ulishasema tayari nimekosea kutafsiri hiyo sentensi, Post iliyopita nilikuambia utafsiri wewe na nilitegemea niione hiyo tafsiri nashangaa umerudi na vijembe badala ya tafsiri.

Kuna mambo ni mepesi tu, kitendo cha Uingereza kwenda kuua watu Syria, hapo tayari tunazungumzia international law, na kusema lile tukio ni la kujihami kwa kuwa tu waziri mkuu amesema hivyo, huo unakuwa ni ukasuku. Tuangalie sheria tuone je ni kweli tukio lile haliendi kinyume na sheria za kimataifa.

Kama kuna mhalifu Uingereza inamtaka kuna taratibu maalum za kuwasiliana na serikali ya nchi husika kufanikisha hilo sio kupeleka drones.

hiyo definition ya military intervention uliyoileta mbona mapungufu sana."to introduce its military forces into another nation in the course of existing controversy"
1)endapo itatokea nchi moja imeivamia nyingine kijeshi bila kuwa na mgogoro wowote basi hiyo sio military intervention kwa mujibu wa hiyo definition.swali ni kuwa uvamizi wa aina hii tutauitaje?

Pia, ningependa kujua hii definition uliyoileta ya military intervention umeitoa wapi?

Zamani majeshi ya anga yalikuwa yanatumia binadamu tu kuendesha ndege lakini kutokana na mabadiliko ya teknolojia sasa hivi huhitaji mtu ndani ya ndege kufanya mashambulizi.

kutumia drones nasema ni military intervention kwa kuwa hazijipeleki zenyewe kwenda kufanya mashambulizi, kuna watu wanazoindesha wapo chini. wewe unasema mashambulizi ya drones sio military intervention sasa huo uvamizi tunauitaje?

Nilitoa mfano wa drones 1000 kuonesha mapungufu ya tafsiri yako ya military intervention kuwa hata endapo itatokea nchi fulani imetuma drones 1000 kwenda nchi nyingine kushambulia bado tukio hili hatuwezi kuliita military intervention kwa mujibu wa tafsiri uliyoitoa.

Pia hapo niliposema hata bunge lisingepiga kura, nilikuwa naelezea sheria za uingereza baada ya kuona mwenzangu mweupe.
Hiyo sentensi nilikwisha ielezea mwanzoni kabisa wakati nimeileta hiyo taarifa. Unahitaji tafsiri ya lugha gani? Maana nilieleza kwa kiswahili cha kawaida tu, lakini ukaja kubisha kabla ya kusoma vizuri.

Nilisema hivi (kwa lugha ya kiswahili):
Mashambulizi ya kwanza kabisa ya majeshi ya Uingereza dhidi ya ISIL ama ISIS nchini Syria ni baada ya approval ya bunge mwezi Disemba mwaka 2015. Rejea post namba 195. Hayo maneno, "mashambulizi ya kwanza kabisa ya Uingereza", ndio tafsiri nyepesi ya hiyo sentensi inayokupa shida. Hilo jina la ndege iliyotumika si jambo la msingi.

Hiyo habari ya shambulizi kama lilikidhi vigezo vya kisheria sio hoja ya msingi hapa. By the way, hiyo kauli ya Waziri Mkuu ya "act of self defence" imetokana na Article 51 ya UN Charter. Kutumia maneno kama "ukasuku" ni dalili za kupungukiwa hoja!

Kuhusu hilo swali lako (umelipa namba 1):
Hakuna military intervention mahali ambapo hapana mgogoro wowote. Lazima mgogoro uwepo.

Intervention kwa kiswahili ni kuingilia kati. Huwezi kuingilia kati kijeshi mahali ambapo hakuna ugomvi au mgogoro. Kwenda kushambulia mahali pasipo na mgogoro ni uvamizi wa kawaida tu. Kwa kiingereza tunaita, invasion. Military intervention na invasion ni vitu viwili tofauti.

Pia, kumbuka kwamba katika military intervention, upelekaji majeshi au mashambulizi ya kijeshi vinapaswa kuwa katika uelekeo ama mkondo wa mgogoro uliopo (course of an existing controversy). Kuhusu upatikanaji wa definitions, nilisema kuwa unaweza kuzipata Google. Au tembelea websites maarufu kama vile definitions.net ama The Free Dictionary.
 
Hiyo sentensi nilikwisha ielezea mwanzoni kabisa wakati nimeileta hiyo taarifa. Unahitaji tafsiri ya lugha gani? Maana nilieleza kwa kiswahili cha kawaida tu, lakini ukaja kubisha kabla ya kusoma vizuri.

Nilisema hivi (kwa lugha ya kiswahili):
Mashambulizi ya kwanza kabisa ya majeshi ya Uingereza dhidi ya ISIL ama ISIS nchini Syria ni baada ya approval ya bunge mwezi Disemba mwaka 2015. Rejea post namba 195. Hayo maneno, "mashambulizi ya kwanza kabisa ya Uingereza", ndio tafsiri nyepesi ya hiyo sentensi inayokupa shida. Hilo jina la ndege iliyotumika si jambo la msingi.

Hiyo habari ya shambulizi kama lilikidhi vigezo vya kisheria sio hoja ya msingi hapa. By the way, hiyo kauli ya Waziri Mkuu ya "act of self defence" imetokana na Article 51 ya UN Charter. Kutumia maneno kama "ukasuku" ni dalili za kupungukiwa hoja!

Kuhusu hilo swali lako (umelipa namba 1):
Hakuna military intervention mahali ambapo hapana mgogoro wowote. Lazima mgogoro uwepo.

Intervention kwa kiswahili ni kuingilia kati. Huwezi kuingilia kati kijeshi mahali ambapo hakuna ugomvi au mgogoro. Kwenda kushambulia mahali pasipo na mgogoro ni uvamizi wa kawaida tu. Kwa kiingereza tunaita, invasion. Military intervention na invasion ni vitu viwili tofauti.

Pia, kumbuka kwamba katika military intervention, upelekaji majeshi au mashambulizi ya kijeshi vinapaswa kuwa katika uelekeo ama mkondo wa mgogoro uliopo (course of an existing controversy). Kuhusu upatikanaji wa definitions, nilisema kuwa unaweza kuzipata Google. Au tembelea websites maarufu kama vile definitions.net ama The Free Dictionary.
Tuanze na military intervention, Kwa hiyo tafsiri yako maana nzima ya neno lenyewe intervention inakufa.

Intervention" use of force to interfere with other nation's affairs in a way that affects that nation's control over its territory or population".

" other nation's affairs" - mambo ya nchi nyingine hapa sio lazima kuwe na mgogoro kwenye hiyo nchi.

"Use of force"- hapa ndipo utofauti ulipo kati ya maana ya kawaida ya intervention na military intervention. Unapoongeza neno "military" maana yake ni matumizi ya nguvu za kijeshi kuingilia mambo ya nchi nyingine.

Invasion ni tendo la uvamizi tu haina uhusiano na uwepo au kutokuwepo kwa mgogoro.

Mfano. Marekani ikituma jeshi kuja kumtoa Rais wa Tanzania aliepo madarakani kwa sababu ni mjamaa na kutaka kumuweka mwingine ambae ni bepari hiyo ni military intervention tayari kwa kuwa wameingilia mambo ya ndani ya nchi. Hapo kulikuwa hakuna mgogoro kati ya Rais na wananchi.

Kitendo cha uingereza kusema wazi kuwa haimtaki Assad na wakawa wanapanga rebels waje kuchukuchua nchi, baadae wakaweka surveillance drones, hii peke yake inatosha kabisa kuita military intervention.

Utetezi wa waziri mkuu ni wa kipuuzi kwa kuwa kuna taratibu za kufata kama unatafuta mhalifu kwenye nchi ngeni sio kupeleka drones. Uingereza ilitakiwa iwasiliane na Serikali ya Syria ili imtafute huyo mhalifu au lah Syria watoe ruhusa kwa Uingereza kumtafuta au kumuua.

Vita vya ndani ya Syria haviondoi uhalali wa serikali iliyopo madarakani.
Hivi kama Uingereza ingekuwa inamtafuta mhalifu anaishi Marekani ingepeleka drone pia, isingeweza.

Nilikwambia ni ukasuku kwa kuwa umerudia kitu kile kile alichokisema waziri mkuu na umekileta kama vile huo ndio ukweli wenyewe ambao haupingwi. Waziri mkuu ni mtekelezaji wa hilo shambulio huwezi kutumia kauli zake kama facts.

Pia kutaja article ya utetezi haitoshi. Labda nikwambie wahalifu pia utetezi wao huwa unatoka kwenye sheria ila sasa kujua kama kinachosemwa ni kweli au lah hiyo inahitaji mtu mwingine aamue kwa kuangalia ushahidi uliopo.

Hoja yako ya kwanza, Nakubali nilipitiwa kwenye tafsiri lakini nilikataa hiyo hoja ya kusema hilo ni shambulizi la kwanza na nilikuambia sababu.
 
Tuanze na military intervention, Kwa hiyo tafsiri yako maana nzima ya neno lenyewe intervention inakufa.

Intervention" use of force to interfere with other nation's affairs in a way that affects that nation's control over its territory or population".

" other nation's affairs" - mambo ya nchi nyingine hapa sio lazima kuwe na mgogoro kwenye hiyo nchi.

"Use of force"- hapa ndipo utofauti ulipo kati ya maana ya kawaida ya intervention na military intervention. Unapoongeza neno "military" maana yake ni matumizi ya nguvu za kijeshi kuingilia mambo ya nchi nyingine.

Invasion ni tendo la uvamizi tu haina uhusiano na uwepo au kutokuwepo kwa mgogoro.

Mfano. Marekani ikituma jeshi kuja kumtoa Rais wa Tanzania aliepo madarakani kwa sababu ni mjamaa na kutaka kumuweka mwingine ambae ni bepari hiyo ni military intervention tayari kwa kuwa wameingilia mambo ya ndani ya nchi. Hapo kulikuwa hakuna mgogoro kati ya Rais na wananchi.

Kitendo cha uingereza kusema wazi kuwa haimtaki Assad na wakawa wanapanga rebels waje kuchukuchua nchi, baadae wakaweka surveillance drones, hii peke yake inatosha kabisa kuita military intervention.

Utetezi wa waziri mkuu ni wa kipuuzi kwa kuwa kuna taratibu za kufata kama unatafuta mhalifu kwenye nchi ngeni sio kupeleka drones. Uingereza ilitakiwa iwasiliane na Serikali ya Syria ili imtafute huyo mhalifu au lah Syria watoe ruhusa kwa Uingereza kumtafuta au kumuua.

Vita vya ndani ya Syria haviondoi uhalali wa serikali iliyopo madarakani.
Hivi kama Uingereza ingekuwa inamtafuta mhalifu anaishi Marekani ingepeleka drone pia, isingeweza.

Nilikwambia ni ukasuku kwa kuwa umerudia kitu kile kile alichokisema waziri mkuu na umekileta kama vile huo ndio ukweli wenyewe ambao haupingwi. Waziri mkuu ni mtekelezaji wa hilo shambulio huwezi kutumia kauli zake kama facts.

Pia kutaja article ya utetezi haitoshi. Labda nikwambie wahalifu pia utetezi wao huwa unatoka kwenye sheria ila sasa kujua kama kinachosemwa ni kweli au lah hiyo inahitaji mtu mwingine aamue kwa kuangalia ushahidi uliopo.

Hoja yako ya kwanza, Nakubali nilipitiwa kwenye tafsiri lakini nilikataa hiyo hoja ya kusema hilo ni shambulizi la kwanza na nilikuambia sababu.
Huo mfano wako wa rais wa Tanzania hauna uhusiano wowote na intervention. Hiyo ni invasion kwa lengo la subjugation ama conquest. Haina utofauti na kile kilichokuwa kikifanywa na wakoloni ama wafalme wa miaka ya nyuma. Ni uvamizi wenye lengo la kuangusha mamlaka ama tawala zilizopo, kisha kuweka tawala zitakazofanya kazi kwa maslahi ya mvamizi.

Nilisema kwamba; intervention maana yake kwa kiswahili ni kuingilia kati. Sio kuingilia tu! Usisahau neno "kati". Mfano rahisi wa kuingilia kati ni pale ambapo unapowakuta watu wawili wakifanya jambo fulani, kisha wewe ukajiingiza kwa lengo la kulizuia jambo lile ama ukajiingiza na kuanza kulitumia jambo lilelile kwa maslahi yako.

Kuna namna nyingi za kufanya intervention. Inaweza kufanyika pia bila matumizi ya jeshi (ukirejea ule mfano nilioutoa mwanzo). Ndio maana katika definition yake kuhusu masuala ya kimataifa, inaishia tu kusema: "internal or external affairs". Lakini, pale ambapo nguvu za kijeshi zitatumika kwa maana ya military intervention, ni lazima kuwepo na mgogoro unaoendelea.

Katika tafsiri ya kimataifa, kuingilia kati kunakofanywa na majeshi, ni tendo linalofanyika katika migogoro hasa ya kivita. Nilileta definitions mbili hapa kutofautisha kati ya 'intervention' na 'military intervention'. Naona umeunganisha neno "military" pamoja na "intervention" kisha ukajitungia definition yako mwenyewe. Sio sahihi! Nilikupa vyanzo vya kwenda kutafuta maana ya military intervention; umetafuta?

Kuhusu military intervention, ScienceDirect nao wanasema hivi:
Military interventions are military operations intended to alter the course or outcome of an ongoing war in favor of the interests of the intervening party.

Hawa wamekuwa specific zaidi kwamba, military interventions ni operesheni za kijeshi zenye lengo la kubadili uelekeo au matokeo ya vita iliyopo kwa maslahi ya upande unaoingilia kati. Maana yake, lazima kuwe na mgogoro ama vita inayoendelea kabla ya military intervention kufanyika.

Definition kutoka chanzo kingine inasema:
International military intervention is the movement of troops or forces of one country into the territory or territorial waters of another country, or military action by troops already stationed by one country inside another, in the context of some political issue or dispute.

Vyanzo vinavyotoa maana za maneno ni vingi tu mtandaoni, na mara kadhaa vimezungumzia kuhusu suala la upelekaji majeshi directly kwenda eneo husika, pia vimezungumzia kuhusu ulazima wa kuwepo kwa mgogoro unaoendelea kwa wakati huo.

Umesema kwamba Uingereza ilitangaza kuwa haimtaki Assad. Sioni hoja hapo! Unaweza kumkataa Assad kwa sababu zozote zile ukiwa mahali popote pale, bila hata ya kuingilia kati kijeshi mgogoro wa Syria. Shida iko wapi? Unasema walipanga rebels; hao rebels ni majeshi ya Uingereza?

Kwa mujibu wa taarifa, Uingereza ilikuwa ikitoa misaada kwa makundi ya upinzani nchini Syria kabla ya bunge kuidhinisha mashambulizi dhidi ya ISIS Disemba 3, 2015. Misaada ambayo haikuhusiana na silaha za mauaji. Mostly, ilikuwa ni misaada ya kibinadamu na kitabibu. Hapakuwa na shambulizi lolote lile kwa malengo ya kuingilia kati kijeshi mgogoro huo. Ripoti zinadai kuwa "hapakuwa na ruhusa ya kufanya hivyo".

Military intervention ni lazima majeshi ya nchi yahusike moja kwa moja kuingilia kati mgogoro uliopo. Sio kupeleka kisirisiri watu wengine wakapigane badala ya wao wenyewe kuingia vitani. Hao watu wenyewe, hata ukiombwa ushahidi juu ya identity zao tu ni kizungumkuti. Tunaishia kuambiwa tu kuwa, ni classified!

Unaposema nimeleta maneno ya Waziri Mkuu bila facts, mtu mwingine naye ataomba facts juu ya lile shambulizi moja la drone kama kweli lilifanywa na drone ya Uingereza ndani ya Syria, maana mtu huyohuyo mmoja (Waziri Mkuu) ndiye aliyetoa taarifa zote hizo bungeni. Je, unafahamu hata intelligence basis ya hilo shambulizi? Mpaka hapo, shambulizi lenyewe lina utata!

Na umesema mwenyewe hapa kwamba: "huwezi kutumia kauli zake [Waziri Mkuu] kama facts". Hata kama lilifanyika, kwa mujibu wa kauli rasmi, bado haliko katika uelekeo wa mgogoro wa Syria, kwa mujibu wa hiyohiyo kauli rasmi. Ndio maana hoja zangu zimejikita zaidi katika uhalisia wa kile kinachoweza kuthibitika wazi kuhusiana na uhusika wa Uingereza kijeshi katika mgogoro huo.
 
Mwanzoni mwa vita zote ujerumani alikuwa anaelekea kushinda vita , Marekani kudandia vita ndo kuliwaokoa hao warusi , waingereza , wafaransa nk so vita zote aliyebadili upepo ni Marekani na ndo aliwapa morali hao waungwaba kuamka na kuanza kupambana upya na ujerumani
[emoji23][emoji23][emoji23]acha uongo wewe baridi ndo liliwaokoa warusi sio marekani
 
Huo mfano wako wa rais wa Tanzania hauna uhusiano wowote na intervention. Hiyo ni invasion kwa lengo la subjugation ama conquest. Haina utofauti na kile kilichokuwa kikifanywa na wakoloni ama wafalme wa miaka ya nyuma. Ni uvamizi wenye lengo la kuangusha mamlaka ama tawala zilizopo, kisha kuweka tawala zitakazofanya kazi kwa maslahi ya mvamizi.

Nilisema kwamba; intervention maana yake kwa kiswahili ni kuingilia kati. Sio kuingilia tu! Usisahau neno "kati". Mfano rahisi wa kuingilia kati ni pale ambapo unapowakuta watu wawili wakifanya jambo fulani, kisha wewe ukajiingiza kwa lengo la kulizuia jambo lile ama ukajiingiza na kuanza kulitumia jambo lilelile kwa maslahi yako.

Kuna namna nyingi za kufanya intervention. Inaweza kufanyika pia bila matumizi ya jeshi (ukirejea ule mfano nilioutoa mwanzo). Ndio maana katika definition yake kuhusu masuala ya kimataifa, inaishia tu kusema: "internal or external affairs". Lakini, pale ambapo nguvu za kijeshi zitatumika kwa maana ya military intervention, ni lazima kuwepo na mgogoro unaoendelea.

Katika tafsiri ya kimataifa, kuingilia kati kunakofanywa na majeshi, ni tendo linalofanyika katika migogoro hasa ya kivita. Nilileta definitions mbili hapa kutofautisha kati ya 'intervention' na 'military intervention'. Naona umeunganisha neno "military" pamoja na "intervention" kisha ukajitungia definition yako mwenyewe. Sio sahihi! Nilikupa vyanzo vya kwenda kutafuta maana ya military intervention; umetafuta?

Kuhusu military intervention, ScienceDirect nao wanasema hivi:
Military interventions are military operations intended to alter the course or outcome of an ongoing war in favor of the interests of the intervening party.

Hawa wamekuwa specific zaidi kwamba, military interventions ni operesheni za kijeshi zenye lengo la kubadili uelekeo au matokeo ya vita iliyopo kwa maslahi ya upande unaoingilia kati. Maana yake, lazima kuwe na mgogoro ama vita inayoendelea kabla ya military intervention kufanyika.

Definition kutoka chanzo kingine inasema:
International military intervention is the movement of troops or forces of one country into the territory or territorial waters of another country, or military action by troops already stationed by one country inside another, in the context of some political issue or dispute.

Vyanzo vinavyotoa maana za maneno ni vingi tu mtandaoni, na mara kadhaa vimezungumzia kuhusu suala la upelekaji majeshi directly kwenda eneo husika, pia vimezungumzia kuhusu ulazima wa kuwepo kwa mgogoro unaoendelea kwa wakati huo.

Umesema kwamba Uingereza ilitangaza kuwa haimtaki Assad. Sioni hoja hapo! Unaweza kumkataa Assad kwa sababu zozote zile ukiwa mahali popote pale, bila hata ya kuingilia kati kijeshi mgogoro wa Syria. Shida iko wapi? Unasema walipanga rebels; hao rebels ni majeshi ya Uingereza?

Kwa mujibu wa taarifa, Uingereza ilikuwa ikitoa misaada kwa makundi ya upinzani nchini Syria kabla ya bunge kuidhinisha mashambulizi dhidi ya ISIS Disemba 3, 2015. Misaada ambayo haikuhusiana na silaha za mauaji. Mostly, ilikuwa ni misaada ya kibinadamu na kitabibu. Hapakuwa na shambulizi lolote lile kwa malengo ya kuingilia kati kijeshi mgogoro huo. Ripoti zinadai kuwa "hapakuwa na ruhusa ya kufanya hivyo".

Military intervention ni lazima majeshi ya nchi yahusike moja kwa moja kuingilia kati mgogoro uliopo. Sio kupeleka kisirisiri watu wengine wakapigane badala ya wao wenyewe kuingia vitani. Hao watu wenyewe, hata ukiombwa ushahidi juu ya identity zao tu ni kizungumkuti. Tunaishia kuambiwa tu kuwa, ni classified!

Unaposema nimeleta maneno ya Waziri Mkuu bila facts, mtu mwingine naye ataomba facts juu ya lile shambulizi moja la drone kama kweli lilifanywa na drone ya Uingereza ndani ya Syria, maana mtu huyohuyo mmoja (Waziri Mkuu) ndiye aliyetoa taarifa zote hizo bungeni. Je, unafahamu hata intelligence basis ya hilo shambulizi? Mpaka hapo, shambulizi lenyewe lina utata!

Na umesema mwenyewe hapa kwamba: "huwezi kutumia kauli zake [Waziri Mkuu] kama facts". Hata kama lilifanyika, kwa mujibu wa kauli rasmi, bado haliko katika uelekeo wa mgogoro wa Syria, kwa mujibu wa hiyohiyo kauli rasmi. Ndio maana hoja zangu zimejikita zaidi katika uhalisia wa kile kinachoweza kuthibitika wazi kuhusiana na uhusika wa Uingereza kijeshi katika mgogoro huo.
Mfano wangu una utofauti na hicho unachokisema. Wewe unamaanisha Occupation. Kwenye Intervention serikali inakuwa ya wazawa isipokuwa wanakosa nguvu ya kujiamulia mambo yao(sio lazima yawe yote).

Mfano mwingine wa military intervention ni Opium wars. Hakukuwa na mgogoro ndani ya China kabla ya Uingereza kuivamia kwa sababu serikali ya China imezuia uuzwaji wa Opium, wachina walipigwa na baadae wakalazimishwa kusaini mikataba ya kuruhusu uuzwaji wa Opium ndani ya China.


Neno Military intervention limekuja baada ya neno intervention sasa ikiwa military intervention inabadilisha tafsiri ya intervention maana yake umekosea.

Angalia huyo mwandishi alivyodefine.Intervention and Use of Force

Interference sio kuingilia kati ni kuingilia tu. Kwa hapo ina maana ya kuingilia mambo ya nchi nyingine sio lazima kuwe kuna mgogoro. Ukilazimisha kuwepo na mgogoro maana yake uikane definition ya intervention.

1)Definition yako kwanza ina makosa makubwa,

military interventions are military operations intended to alter the course or outcome of an ongoing war in favour of the intervenenig party.

A) mgogoro sio lazima uwe vita.
B)sio lazima kuwe na mgogoro.
C) lazima serikali au nchi ikose uwezo wa kutawala kama inavyotaka.

Mfano, Mgogoro wa Ethiopia unafanana na hiyo definition. Serikali ya Ethiopia ilikuwa na mgogoro na waasi wa Tigray, baadae serikali ikaipa ruhusa Eritrea walete jeshi lao ili wasaidiane kupambana na waasi. Hapa huwezi kusema Eritrea ilifanya military intervention kwa sababu serikali ya Ethiopia bado ilikuwa na uwezo wa kuamua itakavyo.

2)Definition ya pili pia ina makosa lukuki,

Movement of troops or forces of one country in to the territory or territorial waters of another country or military troops already stationed in inside another country, in context of political issue or dispute.

A) hakuna sehemu wamesema nchi imekosa nguvu ya kuamua mambo yake.

"in context of political issue or dispute" - sijaelewa hata mwandishi anamaanisha nini hapa.

Tukija kwenye mgogoro wa Syria.

Unasema huoni hoja kwa serikali ya Uingereza kutomtambua Assad, me nakwambia kuna hoja hapa kwa kuwa Assad amechaguliwa na wananchi na serikali yake ni halali sasa Uingereza ina sababu gani ya kutoitambua. Uingereza inazitambua serikali za kifashisti kama za Saudi Arabia na UAE ambazo hazijui hata maana ya neno uchaguzi lakini huyu aliyechaguliwa anaitwa majina yote mabaya.

Hayo makundi ya upinzani unayoyasema yalikuwa yanapewa msaada unayajua ni makundi gani? Je serikali ya Syria ilitoa ruhusa kwa Serikali ya Uingereza kutoa msaada. Mfano, Mgogoro wa Ethiopia juzi tu hapa tuliona serikali ya Ethiopia ikitoa ruhusa kwa UN kutoa msaada kwenye maeneo ya waasi, je Uingereza iliomba hiyo ruhusa.

Misaada ya kibinadamu na kitabibu unayoizunguzia ndio hizi armoured vehicles walizopewa "makundi ya upinzani" mwaka 2013.
UK sends armoured vehicles to Syria - BBC News.

Kuhusu kipeleka majeshi kabla ya dec. 2015 nilikwambia surveillance drones walizoweka Syria ni za jeshi la Uingereza, hiyo peke inatosha kusema ni military intervention kwa kuwa jeshi la Uingereza halikupewa ruhusa ya kufanya hivyo na serikali ya Syria na kitendo hicho kinaifanya serikali ya Syria ikose nguvu ya kutawala eneo lake. Kumbuka military intervention sio lazima watu wafe. Lakini pia natambua mauaji yaliyofanywa ndani ya Syria na drones za Uingereza, hii pia ni sehemu ya military intervention.

Kuhusu utetezi wa waziri mkuu.

Kufanyika kwa shambulizi ni fact kwa kuwa bomu halijifichi.

Sababu ya shambulizi hapa kuna tatizo.
 
Mfano wangu una utofauti na hicho unachokisema. Wewe unamaanisha Occupation. Kwenye Intervention serikali inakuwa ya wazawa isipokuwa wanakosa nguvu ya kujiamulia mambo yao(sio lazima yawe yote).

Mfano mwingine wa military intervention ni Opium wars. Hakukuwa na mgogoro ndani ya China kabla ya Uingereza kuivamia kwa sababu serikali ya China imezuia uuzwaji wa Opium, wachina walipigwa na baadae wakalazimishwa kusaini mikataba ya kuruhusu uuzwaji wa Opium ndani ya China.


Neno Military intervention limekuja baada ya neno intervention sasa ikiwa military intervention inabadilisha tafsiri ya intervention maana yake umekosea.

Angalia huyo mwandishi alivyodefine.Intervention and Use of Force

Interference sio kuingilia kati ni kuingilia tu. Kwa hapo ina maana ya kuingilia mambo ya nchi nyingine sio lazima kuwe kuna mgogoro. Ukilazimisha kuwepo na mgogoro maana yake uikane definition ya intervention.

1)Definition yako kwanza ina makosa makubwa,

military interventions are military operations intended to alter the course or outcome of an ongoing war in favour of the intervenenig party.

A) mgogoro sio lazima uwe vita.
B)sio lazima kuwe na mgogoro.
C) lazima serikali au nchi ikose uwezo wa kutawala kama inavyotaka.

Mfano, Mgogoro wa Ethiopia unafanana na hiyo definition. Serikali ya Ethiopia ilikuwa na mgogoro na waasi wa Tigray, baadae serikali ikaipa ruhusa Eritrea walete jeshi lao ili wasaidiane kupambana na waasi. Hapa huwezi kusema Eritrea ilifanya military intervention kwa sababu serikali ya Ethiopia bado ilikuwa na uwezo wa kuamua itakavyo.

2)Definition ya pili pia ina makosa lukuki,

Movement of troops or forces of one country in to the territory or territorial waters of another country or military troops already stationed in inside another country, in context of political issue or dispute.

A) hakuna sehemu wamesema nchi imekosa nguvu ya kuamua mambo yake.

"in context of political issue or dispute" - sijaelewa hata mwandishi anamaanisha nini hapa.

Tukija kwenye mgogoro wa Syria.

Unasema huoni hoja kwa serikali ya Uingereza kutomtambua Assad, me nakwambia kuna hoja hapa kwa kuwa Assad amechaguliwa na wananchi na serikali yake ni halali sasa Uingereza ina sababu gani ya kutoitambua. Uingereza inazitambua serikali za kifashisti kama za Saudi Arabia na UAE ambazo hazijui hata maana ya neno uchaguzi lakini huyu aliyechaguliwa anaitwa majina yote mabaya.

Hayo makundi ya upinzani unayoyasema yalikuwa yanapewa msaada unayajua ni makundi gani? Je serikali ya Syria ilitoa ruhusa kwa Serikali ya Uingereza kutoa msaada. Mfano, Mgogoro wa Ethiopia juzi tu hapa tuliona serikali ya Ethiopia ikitoa ruhusa kwa UN kutoa msaada kwenye maeneo ya waasi, je Uingereza iliomba hiyo ruhusa.

Misaada ya kibinadamu na kitabibu unayoizunguzia ndio hizi armoured vehicles walizopewa "makundi ya upinzani" mwaka 2013.
UK sends armoured vehicles to Syria - BBC News.

Kuhusu kipeleka majeshi kabla ya dec. 2015 nilikwambia surveillance drones walizoweka Syria ni za jeshi la Uingereza, hiyo peke inatosha kusema ni military intervention kwa kuwa jeshi la Uingereza halikupewa ruhusa ya kufanya hivyo na serikali ya Syria na kitendo hicho kinaifanya serikali ya Syria ikose nguvu ya kutawala eneo lake. Kumbuka military intervention sio lazima watu wafe. Lakini pia natambua mauaji yaliyofanywa ndani ya Syria na drones za Uingereza, hii pia ni sehemu ya military intervention.

Kuhusu utetezi wa waziri mkuu.

Kufanyika kwa shambulizi ni fact kwa kuwa bomu halijifichi.

Sababu ya shambulizi hapa kuna tatizo.
Naona hakuna tena mjadala wa kuujadili hapa maana nitakuwa narudia kilekile nilichokisema. Nakushauri; nenda kafanye kwanza utafiti wa kutosha kabla ya kujadili usichokijua vizuri!

Umekariri definition hiyohiyo moja tangu mwanzoni kutoka katika chanzo hicho, wakati kwa upande wangu mimi, nimeleta hapa definitions za hilo neno zaidi ya mara moja kutoka vyanzo vingi. Usichojua ni kwamba, hata huyo aliyetoa hiyo maana kwenye chanzo chako, amesahau tu kuwa zipo 'military interventions by request' ambapo nchi huwa zinaziomba nchi zingine kuingilia kati migogoro yao ya ndani.

Umekariri kwamba military intervention inafanyika tu pale ambapo hapana ruhusa ya serikali ya nchi husika. Kosa hilo!

Isitoshe, unajaribu kuzikosoa definitions zangu kadhaa kutoka katika vyanzo mbalimbali vinavyofahamika kwa kutumia hiyo definition yako moja tu ambayo unaona ni sahihi? Mpaka hapo, bado unataka tuendelee kujadili? Tunajadili nini?

Hii ni tafrisi ya neno 'military' kwa mujibu wa Wikipedia:
A military, also known collectively as armed forces, is a heavily armed, highly organized force primarily intended for warfare.

Military intervention inahusisha matumizi ya nguvu kijeshi zikiwemo silaha. Hata hiyo definition yako inataja neno, "military force". Military force kwa tafsiri ya kiswahili ni jeshi lenye silaha "nzito" za kivita (heavily armed). Kuhusisha surveillance na majeshi yenye silaha za kivita ni kosa jingine hilo! Surveillance drones haziko kama combat drones ambazo zinabeba silaha zinazotumika katika mashambulizi ya kivita, hivyo hakuna nguvu za kijeshi na za kivita zinazotumika katika surveillance.

Military intervention haibadilishi maana ya neno 'intervention' bali inakwenda 'more specific' katika migogoro kama moja ya hizo 'affairs' zinazosemwa. Nimeleta uthibitisho wa hilo kutoka vyanzo vingi. Unasema, wakati wa Opium Wars, hapakuwa na mgogoro wowote wa ndani ya China, hapohapo unasema kulikuwa na zuio la uuzwaji wa opium. Huo sio mgogoro? Kwa kifupi, haueleweki!

Umeleta tena taarifa kutoka BBC inayozungumzia Uingereza kupeleka 'armoured vehicles' nchini Syria. Hakuna hoja yoyote ya msingi hapo! Kwa maana hiyo, ninabaki kurudia yale niliyosema mwanzoni.

Nilisema, misaada iliyopelekwa Syria haikuhusiana na silaha za mauaji (lethal-equipments). Mostly, narudia, mostly, ilikuwa ni misaada ya kibinadamu na kitabibu. Hiyo taarifa imezungumzia non-lethal equipments. Pia imezungumzia disease-prevention materials. Unajua maana ya 'non-lethal equipments' pamoja na disease-prevention materials? Kuna haja ya kuendelea na huu mjadala hapa? Maana hata vitu vidogo tu vinakushinda kuvielewa!

Narudia; unajua maana ya non-lethal equipments pamoja na disease-prevention materials? Hiyo taarifa umeileta mwenyewe hapa, wala sio mimi niliyeileta! Nakushauri kwa mara nyingine; uwe unazisoma kwanza taarifa zako kwa makini kabla ya kuzileta humu.

Hakuna hoja yoyote ya maana juu ya Uingereza kutangaza kumkataa Assad na uhusiano wa Uingereza kuingilia kati kijeshi mgogoro wa Syria. Nimesema, unaweza kumkataa Assad bila hata ya kuingilia kati kijeshi mgogoro wa ndani ya Syria. Pia, unaweza kutangaza kutomtambua Assad kidiplomasia bila hata ya kupeleka majeshi kwenda kumtoa madarakani. Hivyo, hiyo hoja yako haina mashiko!

Kuhusu hilo shambulizi moja la drone, nimesema, kama hakuna facts juu ya sababu za msingi za kufanyika kwa hilo shambulizi, iweje kuwe na facts kwamba lilifanywa na Uingereza? Maana mtoa taarifa ni huyohuyo mtu mmoja. Unasema bomu halifichiki; kwani Uingereza pekee ndio nchi yenye mabomu? Nilisema, hata kama ni kweli lilifanyika (kulingana na taarifa ya Waziri Mkuu), shambulizi hilo haliko katika course ya mgogoro wa Syria (kulingana na taarifa ya huyohuyo Waziri Mkuu). Hivyo, hakuna hoja ya msingi hapo.

Jambo la msingi linaloweza kuthibitika kupitia facts ni kuwa, Uingereza iliingilia kati kijeshi mgogoro wa Syria kwa mara ya kwanza tarehe 3 Disemba, mwaka 2015 baada ya bunge kuidhinisha. Ambapo, ndio mwanzo wa operation ya Uingereza dhidi ya ISIS nchini Syria, almaarufu kama Operation Shader. Narudia kukushauri; nenda kafanye kwanza utafiti wa kutosha kabla ya kujadili usichokijua vizuri!
 
Naona hakuna tena mjadala wa kuujadili hapa maana nitakuwa narudia kilekile nilichokisema. Nakushauri; nenda kafanye kwanza utafiti wa kutosha kabla ya kujadili usichokijua vizuri!

Umekariri definition hiyohiyo moja tangu mwanzoni kutoka katika chanzo hicho, wakati kwa upande wangu mimi, nimeleta hapa definitions za hilo neno zaidi ya mara moja kutoka vyanzo vingi. Usichojua ni kwamba, hata huyo aliyetoa hiyo maana kwenye chanzo chako, amesahau tu kuwa zipo 'military interventions by request' ambapo nchi huwa zinaziomba nchi zingine kuingilia kati migogoro yao ya ndani.

Umekariri kwamba military intervention inafanyika tu pale ambapo hapana ruhusa ya serikali ya nchi husika. Kosa hilo!

Isitoshe, unajaribu kuzikosoa definitions zangu kadhaa kutoka katika vyanzo mbalimbali vinavyofahamika kwa kutumia hiyo definition yako moja tu ambayo unaona ni sahihi? Mpaka hapo, bado unataka tuendelee kujadili? Tunajadili nini?

Hii ni tafrisi ya neno 'military' kwa mujibu wa Wikipedia:
A military, also known collectively as armed forces, is a heavily armed, highly organized force primarily intended for warfare.

Military intervention inahusisha matumizi ya nguvu kijeshi zikiwemo silaha. Hata hiyo definition yako inataja neno, "military force". Military force kwa tafsiri ya kiswahili ni jeshi lenye silaha "nzito" za kivita (heavily armed). Kuhusisha surveillance na majeshi yenye silaha za kivita ni kosa jingine hilo! Surveillance drones haziko kama combat drones ambazo zinabeba silaha zinazotumika katika mashambulizi ya kivita, hivyo hakuna nguvu za kijeshi na za kivita zinazotumika katika surveillance.

Military intervention haibadilishi maana ya neno 'intervention' bali inakwenda 'more specific' katika migogoro kama moja ya hizo 'affairs' zinazosemwa. Nimeleta uthibitisho wa hilo kutoka vyanzo vingi. Unasema, wakati wa Opium Wars, hapakuwa na mgogoro wowote wa ndani ya China, hapohapo unasema kulikuwa na zuio la uuzwaji wa opium. Huo sio mgogoro? Kwa kifupi, haueleweki!

Umeleta tena taarifa kutoka BBC inayozungumzia Uingereza kupeleka 'armoured vehicles' nchini Syria. Hakuna hoja yoyote ya msingi hapo! Kwa maana hiyo, ninabaki kurudia yale niliyosema mwanzoni.

Nilisema, misaada iliyopelekwa Syria haikuhusiana na silaha za mauaji (lethal-equipments). Mostly, narudia, mostly, ilikuwa ni misaada ya kibinadamu na kitabibu. Hiyo taarifa imezungumzia non-lethal equipments. Pia imezungumzia disease-prevention materials. Unajua maana ya 'non-lethal equipments' pamoja na disease-prevention materials? Kuna haja ya kuendelea na huu mjadala hapa? Maana hata vitu vidogo tu vinakushinda kuvielewa!

Narudia; unajua maana ya non-lethal equipments pamoja na disease-prevention materials? Hiyo taarifa umeileta mwenyewe hapa, wala sio mimi niliyeileta! Nakushauri kwa mara nyingine; uwe unazisoma kwanza taarifa zako kwa makini kabla ya kuzileta humu.

Hakuna hoja yoyote ya maana juu ya Uingereza kutangaza kumkataa Assad na uhusiano wa Uingereza kuingilia kati kijeshi mgogoro wa Syria. Nimesema, unaweza kumkataa Assad bila hata ya kuingilia kati kijeshi mgogoro wa ndani ya Syria. Pia, unaweza kutangaza kutomtambua Assad kidiplomasia bila hata ya kupeleka majeshi kwenda kumtoa madarakani. Hivyo, hiyo hoja yako haina mashiko!

Kuhusu hilo shambulizi moja la drone, nimesema, kama hakuna facts juu ya sababu za msingi za kufanyika kwa hilo shambulizi, iweje kuwe na facts kwamba lilifanywa na Uingereza? Maana mtoa taarifa ni huyohuyo mtu mmoja. Unasema bomu halifichiki; kwani Uingereza pekee ndio nchi yenye mabomu? Nilisema, hata kama ni kweli lilifanyika (kulingana na taarifa ya Waziri Mkuu), shambulizi hilo haliko katika course ya mgogoro wa Syria (kulingana na taarifa ya huyohuyo Waziri Mkuu). Hivyo, hakuna hoja ya msingi hapo.

Jambo la msingi linaloweza kuthibitika kupitia facts ni kuwa, Uingereza iliingilia kati kijeshi mgogoro wa Syria kwa mara ya kwanza tarehe 3 Disemba, mwaka 2015 baada ya bunge kuidhinisha. Ambapo, ndio mwanzo wa operation ya Uingereza dhidi ya ISIS nchini Syria, almaarufu kama Operation Shader. Narudia kukushauri; nenda kafanye kw1anza utafiti wa kutosha kabla ya kujadili usichokijua vizuri!

Najadili mambo nisiyojajua wakati tangu mwanzo nakupa lecture, Mambo mengi tuliyoyajadili ulikuwa mweupe kabisa sasa hivi mjuaji wewe. Hicho ni kiburi cha wazi. Umeongea nini kingine nje ya operation shader.

Sijui unatafsiri vipi haya mambo, "hakuna nguvu ya kijeshi inayotumika kwenye surveillance drone"- surveillance drone ya jeshi inaingia nchi nyingine na inafanya military operations bado unasema hakuna nguvu ya jeshi iliyotumika. Drone inaendeshwa na mwanajeshi ambae yupo chini, inapoingia ndani ya nchi nyingine maana yake lile jeshi la nchi nyingine limeingia. Military Surveillance drone inapelekea Nchi au serikali kukosa utawala wa eneo lake.

Lakini kwa kuwa unasema hakuna nguvu ya kijeshi inayotumika kwenye military surveilance drone, niambie nguvu gani inayotumika hapa Au hili tendo linaitwaje?

Kuhusu definitions, Sio kila kitu unachokipata google kipo sawa , we unaokota tu unaleta na unataka nizikubali kwa kuwa zipo google, mbaya zaidi we mwenyewe unashindwa kuzitetea. Unapokuwa more specific alafu unaharibu maana unakuwa unayumba. Mfano wa Opium wars upo hivi, China kuzuia uuzwaji wa opium ndani ya mipaka yake huo sio mgogoro, hayo ni maamuzi yaliyo ndani ya mamlaka yake, kama ambavyo Tanzania imezuia uuzwaji wa madawa ya kulevya ndani ya mipaka yetu.


Kung'ang'ania kujadili lile shambulio la Uingereza nchini Syria ni self defence huo ni uwendawazimu, usinipeleke huko.

Kuhusu lini Uingereza iliingia Syria_ hapa umeamua kujitoa akili. Sina la kuongeza nilishakupa kila kitu.

Kuhusu misaada, haihitaji rocket science kujua kwanini armored vehicles wamepewa waasi. Non lethal equipment zipo nyingi kwa nini iwe hayo magari.
 
BREAKING: The US will remove nearly all of its remaining soldiers from Ukraine
 
Kama kawaida yake huyu mshenzi

Now they push Ukraine into War and run away like always
I think they forget Afghanistan's scene
 
Back
Top Bottom