. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Huyu Covax unajua wanajeshi au watu 30,000/- military personnel kuuwa na kuchukua bankut ni ktu kirahis hivyoKwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
Kwamba unazo hizo siri ukiwa mJumbe wa NAT0 huko buza na kinondon B[emoji16][emoji16]5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Hebu tupia ushahidi unaoonyesha kuwa majeshi ya NATO yanapigana Ukraine au NATO Arsenal zinazotumika Ukraine.Punguza hasira Mkuu. Mpaka sasa hali halisi ya uwanja wa mapambano inajulikana. NATO wanaisaidia Ujkraine kwa silaha na kila kitu lakini hakuna cha maana walichofanikiwa zaidi ya kuharibu uchumi wa nchi za Magharibi.
Hakuna Leopard 2 Tank inayotumiwa na NATO iliyopelekwa Ukraine.Bro acha uongo! Hivi Leopard tanks siyo advanced weapon ya NATO? Patriot Missile System haimo kwenye NATO arsenal?
Patriot missile battery operators whom killed by Russian force being sent home from Kiev.1. Kwa hiyo hawa ndo wanajeshi wa NATO. Inaelekea hata combat za NATO huzijui.
2. Unataka kuwadanganya watu kuwa ni majeneza ya wanajeshi waliouawa Ukraine. Usichokijua ni kuwa technolgy imekua sana. Picha inaweza kuwa geolocated na ukajua imepigwa wapi.
Na wewe umeyajuaje haya, upo Russia, au ndo wale wale wa buzaKupitia uchangiaji kwenye jukwaa hili (jamiiforums) nimejifunza mambo yafuatayo;
1. Watu wengi wapiga propaganda na porojo (Both Pro Russia and Pro Ukraine) wanaojifanya wanaijua hii vita hawana military skills na hawajui hata uwanja wa vita huwa ukoje? Wanafikiri ni kama sinema za Rambo.
2. Hawajui kwa nini USA, German, UK & Allies waliamua kumuunga Ukraine na kumsaidia kwa kumpa silaha na maarifa (Skills) za kivita.
3. Hawajui lengo la Putin kuivamia Ukraine kuanzia Crimea na sasa Ukraine yote. Pro Russia wengi wamekalili Special Military Operation (SMO) na hawajui hata SMO ni nini kwa muktadha wa Kijeshi na malengo yake huwa ni nini hasa.
4. Pro Russia wengi wanaamini kuwa majeshi ya NATO yanapigana Ukraine, kumbe ni propaganda tu za Russia. NATO hajapeleka hata silaha moja ya NATO wala wanajeshi wa NATO zaidi ya kushiriki kwenye vikao vya maamuzi ya nchi washirika (joint coordination committee) kutengeneza strategies (strategic level)
5. PRO Russia wengi wanaamini kuwa USA imepeleka wanajeshi wake frontline kupigana. Wakisikia Raia wa marekani kafa wanaamini kuwa mwanajeshi ambaye yuko in service. Hawajui kuwa Ukraine naye ana wanajeshi wa kujitolea (waliostaafu) kwenye majeshi ya nchi mbali mbali na wameenda kuomba ajira ili wapigane. Hawajui kuwa Ukraine nao wana mercenaries kama walivyo wagner.
6. Hawajui kuwa USA, German & allies wanapeleka wanajeshi wao (in service) si kwa ajili ya kupigana la hasha ni kwa ajili ya kutoa technical support yaani knowlege transfer ili Ukraine wapate uzoefu kuanzia installation, maintenance and support.
Hebu tulia kijana usijiaibishe mbele ya kadamnasi maana wanajua uwezo wako ulipokomea. Tulia ujifunze kwanza. Porojo weka pembeni hapa ni facts tuMbona hapa umeshajibu kila kitu; Wagner ni irregular troops, kama irregular troops ikiondoka na kukabidhi regular troops mbona hapo ndipo mambo yatakuwa rahisi zaidi.
Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kudhoofisha, asithubutu kuweka upinzani huko kunakotakiwa; hili nalo wewe huna akili ya kulitambua?Kama mleta mada ni dhaifu, wewe utakuwa ni dhaifu mara 4 yake.
Mashambulizi ya mwanzo ya Russia yalikuwa wapi? Kwa kushambulia mji mkuu wa Ukraine, alilenga kitu gani? Ukijibu maswali hayo mawili itajulikana kama unaujua huo mgogoro au unausikia juu juu tu.
Huyo mleta mada hana ufahamu wowote wa vipimo hivi.SQM 53.9??? Hili ni eneo dogo hata nusu ya uwanja wa mpira halifiki.
Kwa akili yako Square miles 53.9 ni eneo ambalo halizidi uwanja wa mpira. ? Tupe takwimu za total eneo ya Bakhmut na Soledar. Kama huna hoja ukalale. The reality is 53.9 SQKMHuyo mleta mada hana ufahamu wowote wa vipimo hivi.
Sasa atakuja hapa kutetea kwamba alikuwa na maana ya "Square Mile".
Na hata kama angekuja na maana hiyo, maelezo yake kivita bado yatakuwa hayana msingi kabisa.
Hebu tulia kijana usijiaibishe mbele ya kadamnasi maana wanajua uwezo wako ulipokomea. Tulia ujifunze kwanza. Porojo weka pembeni hapa ni facts tu
Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.
Takataka hii imeandika uoze..mswahili alishashiba kisamvu na dagaa mchele..baas kutwa kucha ni kucheza vigoma tu! Wewe unasiri kuzid KGB wewe! Ebu tuondolee bangi za msovera hapa.5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Peleka ujinga wako huko....Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.
Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.
Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.
Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.
Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.
Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.
Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQKM 53.9. Bakhmut ina SQKM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;
1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQKM 53.9 zimempa hasara au faida?
2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQKM 53.9 ambao ni wastani wa SQKM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQKM 482,960 ?
3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?
4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?
5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
ulivyoandika kishabiki! utafikiri shabiki wa Yanga!Kwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
Mataifa ya Magharibi wanatoa ziada kuisaidia Ukraine lakini Urusi inatoa kile kinachohitajika sana kwa maendeleo ya nchi yake na maisha ya watu wake.Kwa akili yako unadhani ni Urusi pekee inayopoteza rasilimali kwenye hii vita. Vipi Marekani na nchi nyingine za NATO hawapotezi rasilimali na kuharibu uchumi wao kwa kutuma mabilioni ya fedha na silaha Ukraine yaliyo nje ya bajeti zao?
Vyote ulivyovitaja siyo advanced weapons za NATO. NATO wana sera yao, hawauzi silaha yoyote ya latest technology kwa Taifa lolote. Watakapoiweka kwenye market, tayari wanayo iliyo na uwezo mkubwa zaidi.Bro acha uongo! Hivi Leopard tanks siyo advanced weapon ya NATO? Patriot Missile System haimo kwenye NATO arsenal?
Na huo mji, warusi wameuawa kama kuku hadi kiongozi wa Wagner kutamka wazi kuwa wapiganaji wake wameisha, waliosalia anataka wakapumzike, na majeshi ya Urusi yakachukue nafasi zao.Lini NATO uliwauliza wakakwambia Urusi ana nguvu? Natamani watu wawe wanakuja na reasoning kama hii ya jamaa aliyeweka mambo logically kwamba kama Urusi imetumia muda mwingi kwa eneo dogo kama hilo, je kwa eneo kubwa zaidi itakuwaje? Hiyo ndo logic. Siyo mtu anakuja na ushabiki tu ambao hatuwezi kupima physically wala logically!