Na Guerilla iko Russia na China. πππKilichosababisha ishindwe ni alikuwa anapigana guerilla war, unapigana na wasio na millitary regalia, ngumu kujua huyu na yule nani yupi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Atachapika mchana kweupe. Anategemea TAG kupigana. Kama. Kidume alianzishe halafu aone kama kuna mtu atazingatia articles 5 π€£π€£π€£ kwenye mkataba wa NATO. Ujerumani anaujua uchungu wa kipigo cha Mrusi.πππAjabu ni kwamba pamoja na ubabe wake wote, [emoji631] hawezi kulianzisha popote duniani bila washirika wake kuwa upande wake. Bila [emoji632], [emoji629], [emoji636], [emoji1063] kuwa pamoja na kuunga juhudi [emoji631] hana mbavu za kulianzisha. Asimame mwenyewe tuone kama galazwi chali chap kwa haraka..
USA Hypersonic kaitoa wapi wakati mwaka wa 5 huu anaishia kwenye kuijaribisha inafeli π€£π€£π€£Jina lako na ulichoandika ni tofauti kabisa. Militaly base zenye nuclea zipo usa pekee, militaly base yzenye hypersonic zipo usa pekee, usidhani hii vita watatumia bunduki mkuu ni mabomu kwa kwenda mbele tena yakilenga miundo mbinu. So kaa ufikirie upya
Mwanzo wa kuanguka huyo beberu na washirika wake wa ulaya umefika na mwangushaji ni mwamba .Mr.Moscovistchπ€.Rejelea ya Silicon valley, Signature,akina Credit suisse,sasa akina Dotsch bank acha mengine yanayofichwa kwa maslahi ya hao mabeberu π.I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
USA Hypersonic kaitoa wapi wakati mwaka wa 5 huu anaishia kwenye kuijaribisha inafeli π€£π€£π€£
Hii Russia inayobamizwa makofi na Ukraine Mkuu?Nchi yenye tekinolojia kubwa ni urusi hata nuke zao matekani hana.
Huyu usingemjibu ungemkaushia tu hajui lolote kuhusu military base USANew york ya Tanzania
Vietnam was powerful than US those days?Whatever means of war the powerful part will win
Wala haihitaji muungano wa RUSSIA na China, kama wakimpa yule dogo wa Noth Korea dk 15,, USA Hayupo,,I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Story za vijiwe vya kahawa bana utazijua tuuI will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Usipinge bila hoja, ilipaswa umuulize ushaidi wa hizo tafiti,, ndipo tungekuona unayetafuta maarifa vinginevyo utakuwa shabiki maandaziHii ni story
Mwaka 1944 Wamarekani waliwasaidia Wa-Russia Vifaa Vya vita na baadhi ya technology za vita.Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Ndiyo anakuja kuitawala ulaya (upande wa kaskazini mwa dunia).Urusi haijawahi kutawala dunia, hata Ulaya tu haijawahi kutawala.
We Dogo,acha bangiI will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Maisha ya Marekani yamejengwa kwenye vita na ndo itavyokuwa kwa muda mrefu sanaMtu yoyote anayefikiria US inaweza kuvamiwa, kupigwa na kushindwa kijeshi na taifa lolote kwa sasa hana akili, ni wa kupuuzwa tu.
Waliweza ondoa watu 10,000 kutoka Afghan ndani ya Masaa 24Acha kuwa poyoyo, hakuna Taifa liko vizuri kama Marekani kwenye logistics za kijeshi, ndio maana wanaweza ku project power na kupigana popote duniani kwa muda mrefu sana. Urusi hapo mpaka kwake tu Ukraine panamtoa kamasi unaenda mwaka wa pili sasa.
Hivi unadhani silaha zinapelekwa pelekwa tu bila mikataba?Halafu usa hawezipeleka silaha nzito kwenye nchi washirika wa NATO sababu nchi inawza kujiondoa NATO na kuwa adui wa marekani anytime na ikatumia silaha hizo hizo kujilinda hivo mtoa post fanya analysis zako upya
Huku kote unakofurahia alikimbia, ni kwa sababu tu ujitambui, huko marekani kachafua balaa watu wa huko ndo wanaojua mziki wa American huko kwao, USA ndani wiki tu tayari kashakalia ikulu yenuYaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Ajabu ni kwamba pamoja na ubabe wake wote, [emoji631] hawezi kulianzisha popote duniani bila washirika wake kuwa upande wake. Bila [emoji632], [emoji629], [emoji636], [emoji1063] kuwa pamoja na kuunga juhudi [emoji631] hana mbavu za kulianzisha. Asimame mwenyewe tuone kama galazwi chali chap kwa haraka..
Kwa uelewa wako unaona kabisa Ukraine anazichapa na Russia? Uliza [emoji631], [emoji629], [emoji636], [emoji632] na nchi umoja wa nato wametumia madolari mangapi hadi leo ili kumsafocate huyo mrusi.