Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

Ajabu ni kwamba pamoja na ubabe wake wote, [emoji631] hawezi kulianzisha popote duniani bila washirika wake kuwa upande wake. Bila [emoji632], [emoji629], [emoji636], [emoji1063] kuwa pamoja na kuunga juhudi [emoji631] hana mbavu za kulianzisha. Asimame mwenyewe tuone kama galazwi chali chap kwa haraka..
Atachapika mchana kweupe. Anategemea TAG kupigana. Kama. Kidume alianzishe halafu aone kama kuna mtu atazingatia articles 5 🤣🤣🤣 kwenye mkataba wa NATO. Ujerumani anaujua uchungu wa kipigo cha Mrusi.😀😀😀
 
Jina lako na ulichoandika ni tofauti kabisa. Militaly base zenye nuclea zipo usa pekee, militaly base yzenye hypersonic zipo usa pekee, usidhani hii vita watatumia bunduki mkuu ni mabomu kwa kwenda mbele tena yakilenga miundo mbinu. So kaa ufikirie upya
USA Hypersonic kaitoa wapi wakati mwaka wa 5 huu anaishia kwenye kuijaribisha inafeli 🤣🤣🤣
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Mwanzo wa kuanguka huyo beberu na washirika wake wa ulaya umefika na mwangushaji ni mwamba .Mr.Moscovistch🤔.Rejelea ya Silicon valley, Signature,akina Credit suisse,sasa akina Dotsch bank acha mengine yanayofichwa kwa maslahi ya hao mabeberu 😂.
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Wala haihitaji muungano wa RUSSIA na China, kama wakimpa yule dogo wa Noth Korea dk 15,, USA Hayupo,,
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Story za vijiwe vya kahawa bana utazijua tuu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Mwaka 1944 Wamarekani waliwasaidia Wa-Russia Vifaa Vya vita na baadhi ya technology za vita.
Mmarekani na Mrusi wanajuana vizuri. Walipotoka, walipo na wanakoenda.
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
We Dogo,acha bangi
 
Mtu yoyote anayefikiria US inaweza kuvamiwa, kupigwa na kushindwa kijeshi na taifa lolote kwa sasa hana akili, ni wa kupuuzwa tu.
Maisha ya Marekani yamejengwa kwenye vita na ndo itavyokuwa kwa muda mrefu sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Acha kuwa poyoyo, hakuna Taifa liko vizuri kama Marekani kwenye logistics za kijeshi, ndio maana wanaweza ku project power na kupigana popote duniani kwa muda mrefu sana. Urusi hapo mpaka kwake tu Ukraine panamtoa kamasi unaenda mwaka wa pili sasa.
Waliweza ondoa watu 10,000 kutoka Afghan ndani ya Masaa 24

Hakuna nchi ina huo uwezo, kwa jumla iliondoa watu 120,000 kwa siku 20

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Halafu usa hawezipeleka silaha nzito kwenye nchi washirika wa NATO sababu nchi inawza kujiondoa NATO na kuwa adui wa marekani anytime na ikatumia silaha hizo hizo kujilinda hivo mtoa post fanya analysis zako upya
Hivi unadhani silaha zinapelekwa pelekwa tu bila mikataba?

Hujajiuliza kwanini kuna silaha nchi zinashindwa peleka Ukraine kisa hawana ruhusa kutoka nchi iliyowauzia?



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Huku kote unakofurahia alikimbia, ni kwa sababu tu ujitambui, huko marekani kachafua balaa watu wa huko ndo wanaojua mziki wa American huko kwao, USA ndani wiki tu tayari kashakalia ikulu yenu

Sasa kawambiaje wakati Afghanistan kakalia ikulu kwa miaka 21, Iraq hadi leo ebu twambie ulitaka akae milele kwenye nchi hizo?

Mrusi mwaka sasa kashindwa kuifikia Kyiv, alafu unakuja humu ujamba et mrusi ni hatari toa ujinga wako hapa wa kimahaba bwashee, USA walitumia wiki 3 tu kufika Baghdad, wiki kadhaa sijui 1 kifika Kabul sasa sijui unatumia akili gani kutwambia et mrusi ni hatari labda kwako bwashee
 
Kuweza kupata washirika wa kukuunga mkono vitani ni akili kubwa pia katika military strategy . Kwenye vita watu hawaendi kuuza sura, ni suala la kufa na kupona, sasa kama kuna watu wako tayari kukusaidia kupunguza vita vya wanajeshi wako na gharama utakuwa mpuuzi kujidai hutaki mchango wao.
Ajabu ni kwamba pamoja na ubabe wake wote, [emoji631] hawezi kulianzisha popote duniani bila washirika wake kuwa upande wake. Bila [emoji632], [emoji629], [emoji636], [emoji1063] kuwa pamoja na kuunga juhudi [emoji631] hana mbavu za kulianzisha. Asimame mwenyewe tuone kama galazwi chali chap kwa haraka..
 
Wewe kwa uelewa wako kabisa unafikiri Urusi inapigana na nani pale Ukraine??
Kwani Urusi inapata madolari mangapi kutoka nchi za Umoja wa Ulaya?
Kwa uelewa wako unaona kabisa Ukraine anazichapa na Russia? Uliza [emoji631], [emoji629], [emoji636], [emoji632] na nchi umoja wa nato wametumia madolari mangapi hadi leo ili kumsafocate huyo mrusi.
 
Back
Top Bottom