Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Hizi habar nmezipokea kwa masikitiko na majonzi makubwa sn,Yaan hadi mikono inanitetemeka[emoji26]
Mshukuruni Yushenko wa Belarus amemshawishi Kiongozi wa Wegner kusitisha kuingia Moscow.

Kwa taarifa yenu huyu jamaa ana ushawishi kwa wanajeshi wengi kuliko waziri wa ulinzi ndio maana hana upinzani mkubwa
 
Kuna watu wanasema Wagner wamechukua mji bila upinzani..
Yaani walitaka Russia ashambulie wakati ukishawaua masharti kwenye meza ya mazungumzo yatakuwa magumu zaidi na huenda wasije kabisa mezani.
Hapa Russia katumia akili sana.
Nadhani kweli Wagner walikuwa na madai si kama ambavyo watu wanasema ni propaganda.
Ila wamecheza karata dume Russia ilikuwa inaanguka.
Ila wagner wajiangalie hakuna mtawala atapenda kukaa na watu wa aina yake.
Inawezekna Russia wakaanza kushughulika na mmoja baada ya mwingine.
Russia naye kapata somo kubwa sana kuhusu hivi vikundi vya binafsi. Hawana la kupoteza hao ukizingua wanageukia NATO mkono uende kinywani.
 
Ngoma inogile
 
Wewe matako kweli. Ngozi nyeusi inaingiaje hapo?
Ni dunia nzima ilikuwa inafatilia hilo jambo.

Kama hujala tafuta hela ule sio unalaum ngozi za watu pumbavu.
 
Kwamba mpaka awe msemaji na sio mwana habari mwabarishaji ya kinachoendelea?

Hili nj tatizo letu kubwa "ushabiki" kilizwa kwani wewe ni mtu wa huko na unayokea wapi? Ukrein au urusi sijui utajibuje?

Kazi yetu kubwa ni kufanya analysis kulingana na ufuatiaji wetu wa taarifa na sio ukanda wala kabila a utaifa wa hko mbali.

Ombi letu wamalize vita maisha ya wananchi yao arudi kama kawaida hasa hale maeneo yanaopiganwa vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…