Urusi walalamika kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani wanaoelekeza namna ya matumizi ya HIMARS

Urusi walalamika kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani wanaoelekeza namna ya matumizi ya HIMARS

Mauwaji yoyote yale ni ukatili, ila ulichoelezea ndo tofauti ya Marekani na Urusi, Urusi anatumia maguvu uku US anatumia akili
Jamaa nimeshampa ukweli kuhusu hili..,nimemuuliza kwa nini urusi anaamini katika matumizi ya nguvu Ili kutimiza malengo yake?? Kwa nini asitumie ushawishi kama marekani?? Mpaka Sasa hajanipa majibu!
 
Naamini pia kuwa kwa sasa USA na UK wako karakana kurefusha reach ya HIMARS ili kadude katue Moscow na kumsalimia Klemlin. Inasemekana Putin sasa anaishi katika makazi maalum yaliyochini ya bahari

Hawawezi, walisema wanatoa siraha za kujilinda, hawawezi kutoa silaha za kufikia ardhi ya Russia, na kuna kifungu cha kutoa hizo silaha ni kwamba wasizitumie kupiga ardhi ya Russia, excluding Crimea bdw
 
Jamaa nimeshampa ukweli kuhusu hili..,nimemuuliza kwa nini urusi anaamini katika matumizi ya nguvu Ili kutimiza malengo yake?? Kwa nini asitumie ushawishi kama marekani?? Mpaka Sasa hajanipa majibu!

Hawezi kujibu hilo
 
Naamini pia kuwa kwa sasa USA na UK wako karakana kurefusha reach ya HIMARS ili kadude katue Moscow na kumsalimia Klemlin. Inasemekana Putin sasa anaishi katika makazi maalum yaliyochini ya bahari
Mkuu HIMARS ina maroketi ya kuweza kupiga mpaka 300km lakini Biden anahofia kuwapa Ukraine kwakua ana wasiwasi watashambulia ndani ya Urusi na kusababisha Vita kua kubwa hata kugeuka kua nuclear war.
 
Naamini pia kuwa kwa sasa USA na UK wako karakana kurefusha reach ya HIMARS ili kadude katue Moscow na kumsalimia Klemlin. Inasemekana Putin sasa anaishi katika makazi maalum yaliyochini ya bahari

Mbona sio muda mrefu ataikimbia nchi, Warusi ni watu wenye kiburi sana na kuwaingiza kwenye aibu wanayopitia kwa sasa inawauma sana, soon watamgeukia huyo Putin kadiri wanajeshi wa Urusi wanavyozidi kupokea mapigo ya kainchi kadogo na kuitia Urusi aibu kubwa.
 
1659360971740.png

UNEXPLAINED ANCIENT STRUCTURE
 
Ndio nzuri kwa upande wa mrusi coz wanajeshi wa ukraine wanajifichaga nyuma ya raia
Mrusi alivyo mwoga hupiga na kusambaratisha kila kitu bila kujali raia, Ukraine wamekua wakimuachia ashinde maeneo maana hawakutaka maafa kwa watu wao, sasa wakiondoa raia inabaki kufyatuliana kijeda, na sasa Mrusi keshahemeshwa atapigika tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko pro Russia mnasema tena kuwa Putin ndo anataka vita iwe ya mda mrefu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani aneumia haonekani hadi wameanza kupuyanga kusaka huruma
 
Mrusi alivyo mwoga hupiga na kusambaratisha kila kitu bila kujali raia, Ukraine wamekua wakimuachia ashinde maeneo maana hawakutaka maafa kwa watu wao, sasa wakiondoa raia inabaki kufyatuliana kijeda, na sasa Mrusi keshahemeshwa atapigika tu.
Wanaojificha nyuma ya raia wanajulikana na mrusi ana huruma sana
 
Naamini pia kuwa kwa sasa USA na UK wako karakana kurefusha reach ya HIMARS ili kadude katue Moscow na kumsalimia Klemlin. Inasemekana Putin sasa anaishi katika makazi maalum yaliyochini ya bahari
Hawahitaji kurefusha kitu. Kuna roketi mbalimbali kwa ajili ya HIMARS. Ukraine wanapewa zile zenye GPS (yaani uwezo wa kupiga kwa umakini mkubwa) hadi umbali wa kilomita 90 hivi. Kuna aina mbili nyingine zinafika mbali, hadi kilomita 500. Lakini Marekani haitoi hizo kwa sababu haitaki kutisha Urusi moja kwa moja.

Jisomee hapa: M142 HIMARS - Wikipedia
 
ProRussia vichwa vyao ni kama matikiti maji, hata hawaelewi wanachoshadadia.
Unanataka rais zelensiky afanye mazungumzo na mtu aliyetaka kuipindua serikali yake? Hivi unakumbuka rais Putin aliwahi kuwaambia wanajeshi wa Ukraine waweke siraha chini na kujisalimisha??
Na asikari katika nchi yoyote wakishaweka silaha chini na kujisalimisha maana yake nini ??
Naomba nikwambie kwamba Ukraine ni kweli itachakaa sana kutokana na hii vita inayoendelea lakini mwisho wa siku urusi itafurushwa tu,
Hata marekani aliichakaza sana Vietnam,akaua raia wasio na hatia,kama ni miji aliiteka mingi ya kutosha na kuikalia kimabavu kama anavyofanya Russia huko Ukraine, lakini kilichofuatia wote tunafahamu.., udhalim haujawai kushinda ndugu, this is nature! Hata ukiwa na teknolojia Bora kiasi gani madam unafanya udhalim na " nature imeshakataa hautatoboa!
Mwisho naomba nikwambie kwamba nguvu ya Russia aliyokuwa nayo mwezi wa 2 wakati hii operesheni ikiwa ya moto kwelikweli,sio hii Sasa ,kubali kataa lakini huo ndio ukweli mchungu,
Na hizo HIMARS zitaendelea kumsumbua sana tu maana silaha hambayo Russia hajatumia huko Ukraine labda ni nyukria tu, hypersonic zote ameshajaribu lakini hajafua dafu.., hivyo unaposema urusi katumia asilimia sijui 15 tu ya nguvu zake huko Ukraine wenye akili tunakushangaa sana
 
Back
Top Bottom