ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] putin kakutana na meli ya vibwengo ila Russia vita hii wangeshinda ila naona wananchi pia hata jeshi hawajui wanapigana kwa nn ndo maana morali hakuna .Putin ni Mandonga aliye changamka.
Ushashiba gongo yako hapo kwa mtogole?Putin hana jeshi la kufanya lolote kwa sasa
Wangeshinda mara ngap?Russia vita hii wangeshinda
Wewe ndio unajiona una ufahamu? Emu malizia gongo yako ukalaleAcha kujitoa ufahamu
Litapigwa Jitu hadi utasikitika, haya maliizia hiyo bangi yako sasa ukasizi maana umezidi kujidanganyaPutin ni Mandonga aliye changamka.
Wewe nawe una akili butu niakili yako ni USA vs RUSSIA
Nakazia...Putin ni kiboko ya mabeberu wa Ulaya na Marekani.
Wewe ngoja kituo kinachofuata, litachafuka Jitu kwa kichapo mpaka ubaki domo waziMimi simuamini Putin tena sijui hao majenerali wanafanyaje kazi na mtu wa aina hiyo.
Mpaka sasa wanajeshi zaidi ya elfu 60wamepoteza maisha Ukraine.
Warusi kama wana akili timamu wamgeuzie kibao Putin badala ya kupigana na Ukraineš¤
Ushasizi?Labda manzese atarudisha
Kwa yaliyofanyika tukubaliane kwa ukweli. Kukataa kwetu hakubadilishi mazingira. Tusiyatambue hakubadilishi mazingira. Tayari hayo majimbo yameshajiunga Russia na Russia imelitambua hilo na kwa sasa ni sehemu ya Russia na kwa ujumla ndipo mipaka ya nchi ya Russia itakapoishia kuchorwa.Yaani wewe kwa dhati kabisa unaamini kuwa Kherson ni sehemu ya Urusi kwa sababu eti Putin katia saini sehemu?
- umeandika mengi lakini Putin amefeli mpaka sasaLabda nikusaidie kidogo - chunga sana propaganda za kitoto zinazo sambazwa na inept western media - hawaelezi ukweli kwamba wanajeshi wa Urusi wanao pigana front line hawazidi 200,000 hao ndio wako Ukraine wakipigana bega kwa bega na wana mgamb.
Kwa taarifa yako idadi kamili ya wanajeshi wa Urusi ni 2,500,000 (millioni mbili na nusu),mpaka sasa Putin hajatangaza vita kamili - siku akihamua kutangaza Ukraine nzima itakuwa haikaliki nawabieni, hakuna cha: Jeshi la Zelensky,mamuluki wa magharibi au wanajeshi wa NATO/US walio valia sare za jeshi la Ukraine wataweza kupambana ana kwa ana na jeshi la Urusi wakalishinda -wote watanyonyolewa manyoya na Putin, watakao pona watakwenda makwao kusimulia ubaya wa vita.
sio kweli kwamba Russia ni Super power nation, super power nations ni US na CHINA Kwa sasa.Wewe nawe una akili butu ni
Ukraine+USA+NATO+EU vs RUSSIA THE SUPER POWER NATION
- umeandika mengi lakini Putin amefeli mpaka sasa
Mrusi WA mchambawima ,endelea Kuota hivyo hivyo , kama wameletwa spetnaz wamelambishwa mchanga wiki iliyopita we sijui unaongea rubbish gani ,aisee Ukraine mlidhania ni Burundi sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mashine zinakuja mtaona balaa lake kuanzia wiki ijayo mwishoniLabda nikusaidie kidogo - chunga sana propaganda za kitoto zinazo sambazwa na inept western media - hawaelezi ukweli kwamba wanajeshi wa Urusi wanao pigana front line hawazidi 200,000 hao ndio wako Ukraine wakipigana bega kwa bega na wana mgamb.
Kwa taarifa yako idadi kamili ya wanajeshi wa Urusi ni 2,500,000 (millioni mbili na nusu),mpaka sasa Putin hajatangaza vita kamili - siku akihamua kutangaza Ukraine nzima itakuwa haikaliki nawabieni, hakuna cha: Jeshi la Zelensky,mamuluki wa magharibi au wanajeshi wa NATO/US walio valia sare za jeshi la Ukraine wataweza kupambana ana kwa ana na jeshi la Urusi wakalishinda -wote watanyonyolewa manyoya na Putin, watakao pona watakwenda makwao kusimulia ubaya wa vita.
A typical Tanzanian....a lot of blah blah...no analysis but too much shouting....and no substance at all in regards to argument...Mimi simuamini Putin tena sijui hao majenerali wanafanyaje kazi na mtu wa aina hiyo.
Mpaka sasa wanajeshi zaidi ya elfu 60wamepoteza maisha Ukraine.
Warusi kama wana akili timamu wamgeuzie kibao Putin badala ya kupigana na Ukraineš¤
Most of Tanzanians they frontier chokolization that make them be like fool's on the other part of the planetarium, give them lecturing may be they will understand the meaningA typical
A typical Tanzanian....a lot of blah blah...no analysis but too much shouting....and no substance at all in regards to argument...
Bahati mbaya umeliangalia kwenye angle moja.Hii vita mwambie Russia itakuwa active hata Kwa miaka 10 ijayo. Russia alipga hesabu zake vibaya.
Biden kama Putin angejua kinachofuatia asingejiingiza kwenye hii vita. Kwa hizi fedha zinazotokewa na USA kusuport hii vita Russia ajiandae uchumi wake kuporomoka vya kutosha !
Wanachokifanya westerners ni kumuharibia Putin uchumi wake kupitia vita!
Wiki hii Jeshi la Urusi limepita Hadi mitaaani kushinikiza vijana waingie jeshini lakini wamekutwa wengi hawana sifa za Jeshi. Sasa itakuaje baada ya miaka miwili au mitatu ?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Utaweweseka mpaka ukome mlisema masaa 72 mnaichukua kyiv baada ya kichapo kikali mmehamia kuongeza muda mtapigwa kichapo cha mbwa koko kuanzia donbas hadi humu jfNa bado - akiwageuzia kibao wale wote wanao mbeza beza wataanza kumtafuta kwa udi na uvumba na aibu juu, ni suala la muda tu - kabla ya January Zelensky na familia yake watakua wamekwisha kimbilia uhamishoni Miami Florida kwenye Mansion yake - amekwisha tajirika kupitia dubious deals zake za uuuzaji silaha nk. Zelensky hana uchungu wowote kuhusu Taifa la Ukraine wala Waukraine wenzake.
Unaweza kuukataa ukweli lakini hautoweza kukataa athari ya matokeo ya ukweli.Labda manzese atarudisha