Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Umeandika theory nyingi humu huna tofauti na profesa majalala kwa ground mambo tofauti
Umejikalia zako kwenye gawha unajamba jamba humu
 
A typical
A typical Tanzanian....a lot of blah blah...no analysis but too much shouting....and no substance at all in regards to argument...
Mbona una hasira sana.
Uanao undugu na Putin wewe mrusi wa mchongo?🤔
 
Mbona una hasira sana.
Uanao undugu na Putin wewe mrusi wa mchongo?🤔
Niwe na hasira kwanini?!?! Halafu Putin anaingiaje hapa?!?! Watu makini hujadili issues na siyo mtu....ila ni kweli baadhi ya wenzetu humu wamekuwa brainwashed na vyombo vya habari vya magharibi wakidhani mgogoro wa Russia na Ukraine tatizo ni Putin ...no way ...Putin is just a reflection of millions of Russians ambao wana patriotism ya Hali ya juu...Ndiyo maana annexation ya majimbo hayo manne ya Ukraine imepitia ngazi zote na ambazo zimeunga mkono....
Ukisikiliza debate ya mgogoro huu ndani ya Russia you will enjoy it....
 

Sema unachotaka, mnacho sahau ni kwamba "Ivan the terrible" si binadamu wa kuchukulia kimzaaa zaa hata kidogo - atakuja kuwashangaza wengi - nawakumbuseni kila mara kwamba Putin kapeleka wanajeshi 200,000 tu wa Urusi kwenda Ukraine - bado ana akiba ya wananajeshi karibu 2.3 millioni na zana zao nzito zaidi ambazo kaziweka kiporo kuwasubiri NATO/US wafanye fyoko - hapo ndipo mtatambua umahili wa jeshi la Urusi - msione hawasemi mengi mkadhani ni mbumbumbu - nyie subirini tu NATO/US wa-cross threshold walio jiwekea wao -patachimbika nawambieni - jamaa watatimka kushinda mbio walizo timuka huko VietNam,Kabul Afghanistan na Syria, likumbekeni sana hilo.
 
Una funza kwenye Ubongo wako? Au unawaza na kutengeneza hoja kwa kutumia makalio?
hizo ulizozitaja ni sifa zako ww ambaye mpaka leo hujui nchi ambayo/ambazo ni super power
Tumia google vizuri.
 
Alafu kuna Choko raa mmoja yupo kwa mto gole anasema eti Russia sio Super Power Nation

Baelezee baelewe mkuu
 

Mkuu husipoteza precious time yako ukijaribu schooling some adamant nembers ambao main stream media za magharabin zilisha wachota akili miaki mingi tu iliyopita.
 
hizo ulizozitaja ni sifa zako ww ambaye mpaka leo hujui nchi ambayo/ambazo ni super power
Tumia google vizuri.
Ushaelewa nilichoandika wewe baki na Google yako mimi ntabaki na nnachokijua na kukitambua, narudia tena RUSSIA THE SUPER POWER NATION
 
True say, tell them wakuelewe hawa mbumbumbu wazungu wa reli, hawaelewi wanafuata mihemko yao tu
 
Ushaelewa nilichoandika wewe baki na Google yako mimi ntabaki na nnachokijua na kukitambua, narudia tena RUSSIA THE SUPER POWER NATION, gay mmoja wahi US ukapakuliwe
-hicho unakitambua ww kwa uelewa wako ww ambao ni uelewa wa kiwango cha chini
- unatumia matusi kama mbinu ya kujenga hoja, jipange utumie akili kwemye mambo ya kutumia akili, kama mambo ya kutumia akili huyawezi achana nayo.
 
Hakuna lolote labda awalete wachinjwe na Himars Tu basi na kuchomwa mishkaki na vijana WA Azov battalion ,Maana wanatembeza kipondo hao si poa .Muulize huyo mnywa ulanzi wenu Putin habari anayo
Na wale makomando uchwara wenu na Ile misululu ya km 70 kuelekea Kiev sijui ilishia wapi ,yaani nikikaa na kukumbuka nacheka Sana , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imagine vifaru ,malori , makomando kipensi , dah halafu kipindi like hata Himars hazikuwepo pale Ukraine , Imagine javellins Tu zikawaponda ponda kama nyanya mbichi mkapoteana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Urusi ni kilaza hata alete jeshi lake Zima pale wanachinjwa kama kuku nakwambia . Huwezi kuwa na jeshi la watu wapuuz ,undisciplined wanaiba washing machines ,nguo na vyakula wanapakia kwenye malori halafu unasema Una jeshi ,lazima uwe kichaa mwenye kamasi kichwani .

Jeshi ambalo halina strategy wala logistics za kueleweka ,linaendeshwa kama mgambo , na hii mentality ya kusacrifice watu kwenye battle field bila strategy na logistics za kueleweka ndio iliyosababisha Russia kupoteza wanajeshi wengi hata WW2 dhidi ya Nazi Germany ,kuna kipindi mpaka walikuwa wanaishiwa mpaka vitu bafic kama risasi na chakula ,wanakula mizoga ya farasi waliofia battle front ,too bad hawajabadilika mpaka leo na kuendana na modern military strategies ,yaani hii vita imeexpose weakness nyingi Sana za wale wanamgambo WA Russia ,hamna kitu pale .


Vita ni actions ,plans ,strategies na logistics si bla bla bla za kipuuz kama za hao wanywa gongo wenu toka Urusi
 
Uchambuzi mzuri

Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…