Urusi yaunda jeshi baada ya kuazimia kukalia moja kwa moja mikoa ya Ukraine iliyoiteka

MMimi
Mimi niliwashangaa mabeberu wa NATo na wale wa ukraine wa buza kuwa wamemshinda mrusi na kuyateka maeneo yayoyachukua awali Kwa walichokiita lighting fast counteroffensive kumbe Mwamba anawachora TU,na watashanga Donmbas yote inavyoondoka na Bado wakileta jeuri ,Mwamba avuke nje ya Donmbas🤔
 
Baada ya hivi vita aridhi ya Ukraine itakuwa nna rutuba ya kutosha kutokana na hii mizoga anayoileta Putin [emoji848]
 
Huyu mzee vita hii ilishanshinda, anatisha watu tu. Si apige tu maana yeye ndo alivamia analalamikia nini?
 
Ila huyu Putin kwenye mikawala anatisha sanasana!!! Unaweza ukajifungia ndani usitoke
anachokifanya hapo ndicho alichokifanya georgia na crimea, zikishaingizwa urusi tayari inakua ardhi ya urusi, na silaha yoyote itakayorushwa humo itakua imerushwa kwenye ardhi ya urusi, a direct provocation,

kama ambavyo Ukraine wameambiwa wasiipige crimea, ndivyo itakua huko pia...... SMO inaelekea mwishoni
 
Ina maana direct provocation anataka ifanywe mara ngapi..,wakati Leo hii majeshi ya Ukraine yanazidi ku-advance kwenye hayo maeneo hambayo yameshapiga kura[emoji848]
 
Ina maana direct provocation anataka ifanywe mara ngapi..,wakati Leo hii majeshi ya Ukraine yanazidi ku-advance kwenye hayo maeneo hambayo yameshapiga kura[emoji848]
hayo maeneo yamepiga kura lini?
mkuu nadhani ni sahihi kuchambua haya mambo bila kuwa na ushabiki, jipe muda urejee historia namna gorgia na crimea alivofanya,....huu ndio mtindo mrusi huutumia,

umejiuliza ni kwanini crimea haijashambuliwa licha ya zele kudai ni eneo lake?,

nikupe tu kitu cha kukufikirisha, kuanzia sasa, na baada ya kura kupigwa na hatimaye matokeo kutolewa, naomba uanze kufuatilia mienendo ya ujerumani na ufaransa......... crimea ilikua hivi hivi, labda kama hukufuatilia kipindi hicho
 
Achga kuleta mawazo Mgando hapa; hakuna eneo la asili ya watu fulani katika dunia ya leo. Kuna mipaka ya kimataifa inayojulikana halafu watu wanaweza kuhamia popote wanapotaka wao wenyewe. Kama hao watu wa asili ya Urusi hawataki kuwa kwenye himaya ya Ukraine basi wahamie urusi, siyo kulazimisha kumega mipaka ya ukraine.

Huyu Putin kaishiwa sasa anaanza kutapatapa. Ngoja tusubiri ataishiwa wapi. Kutoka special military operation sasa sijui anakwenda wapi.
 
Huyo Dogo Yuko chimbo,hajui hata kipindi Gani kinaendelea kule darasani,anaandika baada ya story za chimbo🏃🏃
Akifeli analaumu mitaala migumu
Baada ya hivi vita aridhi ya Ukraine itakuwa nna rutuba ya kutosha kutokana na hii mizoga anayoileta Putin [emoji848]
Maeneo yote ya vita yaliyonyakuliwa ndio bye bye kwa Ukraine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…