mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Na hakuna alowahi kuipandisha kw kasi hivyo bila sababuHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Dola yenyewe imeshuka wala sio kwamba thaman ya pesa yetu imepanda, sasa kushangilia na kujisifu kwenye hamna ni ujinga mkubwa sana huu mfumo wa uchawa huu ndio umekuja kuliua kabisa taifa hiliHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Wafuasi wa Mbowe watabisha Samia mitano tena CCM DAIMAHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Yaan mpaka nimeona aibu eti naye mume wa mtu upupu tu na kuwaza ukuu wa wilayaHalafu unakuta nyumbani kuna mtu anamwita mume wangu na watoto wanamwita baba
Usinitapishe bure kwa uchawa na uzwazwa uchwara mwanangu.Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Embu kuwa na shukrani jitihada za mama zimezaa matundaDola yenyewe imeshuka wala sio kwamba thaman ya pesa yetu imepanda, sasa kushangilia na kujisifu kwenye hamna ni ujinga mkubwa sana huu mfumo wa uchawa huu ndio umekuja kuliua kabisa taifa hili
Naona umekuja kulazimisha msifiwe. Hakuna wa kuwasifia boss, lipeni machawa wawasifie.Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza