US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Chawa wote wauawe
 
Currency value appreciation sio instrumental factor ya ukujaji wa uchumi, acha ushamba wewe... Kuna sababu nyingi sana zinazoweza kupelekea thamani ya sarafu kupanda ama kushuka ikiwemo uchumi wa nchi husika ya sarafu unayojilinganisha nao!

Kwanza unashingilia nini? Eti hakuna kama Samia, huyo Samia si alikuta $1 ni sawa na 2,370/=? Kwenye awamu yake hii ameipandisha mpaka 2,800/= haya leo hii imeshuka hadi 2,460/= halafu unaanza kumsifia?

Ndio Yale Yale ya kufuta bima ya toto Afya kisha kuirudisha halafu mnataka mpigiwe makofi.
Kunywa maji mengi
 
Dola yenyewe imeshuka wala sio kwamba thaman ya pesa yetu imepanda, sasa kushangilia na kujisifu kwenye hamna ni ujinga mkubwa sana huu mfumo wa uchawa huu ndio umekuja kuliua kabisa taifa hili
Sasa mbona ilipopanda hamkusema ni yenyewe imepanda?

Niliweka tanbihi kwamba
Ukijua kuponda, ujue na kusifu
 
Kuna jamii imeumia sana humu, mpaka wengine wanatukana matusi ya nguoni humu, kisa tu mama ameinua uchumi wa Tanzania

Basi badooo, mtaumia sana

NA
Hakuna raisi aliwahi kuishusha us dola Tanzania tangu tupate uhuru isipokua Samia pekee
 
Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .

Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Kwa kuwa tu hutaki kumsifu Samia? Mbona ilipopanda mlimponda?

Samia ni mpaka achoke mwenyewe
 
Back
Top Bottom